1Baada ya hayo, Bwana aliwachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawiliwawili, wamtangulie katika kila kijiji na mahali ambapo yeye mwenyewe alitaka kwenda.
1Huan, huai khitin Toupan mi dang sawmsagih a sepa, a paina ding kho tengah leh mun tengah, a maah nihnihin a sawla,
2Akawaambia, "Mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache. Kwa hivyo, mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake.
2Huan, a kiang uah, Buh lak ding a tam mahmaha, himahleh a semte a tawm uh, huchiin a buh la dinga sem dingte sawl dingin buh Neipa kiangah ngen un.
3Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma ninyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwa mwitu.
3Pai un; ngai un nge laka belamnou om bangin ka honsawl ahi.
4Msichukue mfuko wa fedha, mkoba, wala viatu; msimsalimu mtu yeyote njiani.
4Dangka ip khawng, kawljal khawng, khedap khawng tawi kei unla, lampi ah kuamah chibai buk kei un.
5Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: Amani iwe katika nyumba hii!
5Huan, in na lutna peuh uah a masapen, Hiai in ah khamuanna tung hen, chi unla.
6Kama akiwako mwenye kupenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.
6Huan, huaiah khamuanna ta a om leh na khamuanna thu uh a tungah a om dinga; a omkei leh na ang uah a hongkik nawn ding.
7Kaeni katika nyumba hiyo mkila na kunywa wanavyowapeni, maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msiende mara nyumba hii mara nyumba ile.
7Huai in ngen ah om nilouh unla, a honpiak peuh uh nein dawn un; nasemmi tuh loh mu tak ahi. In tengah banhoh kei un.
8Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.
8Huan, khua na lutna peuh uah honkipahpih uleh, honlui peuh uh na ne ding ua; huaia damlou omte leng na hihdam ding ua;
9Ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu.
9a kiang uah, Pathian gam na kiang nai uah hongtungta, na chi ding uh.
10Lakini mkiingia katika mji wowote, wasipowakaribisheni, tokeni; nanyi mpitapo katika barabara zao semeni:
10Khua na lutna peuh uah honkipahpih kei uleh a kongzing uah pai khia unla,
11Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu tunawakung'utieni. Lakini, jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
11Na kho leivui uh ka khepek ua bang leng na tunguah tat siang ung e; himahleh Pathian gam hongnaita chih thei un, na chi ding uh
12Hakika nawaambieni, siku ile mji huo utapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Sodoma.
12Ka honhilh ahi, huai ni chiangin huai khuate thuak sangin Sodom kho thuak ding adan a om zo ding,
13"Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwenu ingalifanyika kule Tiro na Sidoni, watu wake wangalikwishavaa mavazi ya gunia kitambo, na kukaa katika majivu kuonyesha kwamba wametubu.
13Korazin, na tung a gik e; Bethsaida, na tung a gik e; Noumaua thil lamdangpi kihihte Tura leh Sidon khuaa hih hileh, saiip puan silhin, vut laka tuin a kisik khin thamta ding uh.
14Hata hivyo, Siku ya Hukumu ninyi mtapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Tiro na Sidoni.
14Himahleh thukhenni chiangin nou thuak sangin Tura leh Sidon kho thuak ding a dan a om zo ding.
15Na wewe Kafarnaumu, unataka kujikweza mpaka mbinguni? La; utaporomoshwa mpaka Kuzimu."
15Huan, nang Kapernaum, van tana pahtawi na hi dia hia? misi kho tana sawn khiak eive na hih ding.
16Halafu akasema, "Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule aliyenituma."
16Kuapeuh na thu uh ngai khia, keimah thungaikhia ahi a; kuapeuh nou hodeih lou tuh, kei hondeih lou ahi a; kuapeuh nou honngai lou tuh kei honngai lou ahi a, kuapeuh kei honngai lou tuh, honsawlpa ngai lou ahi, a chi.
17Baadaye, wale sabini na wawili walirudi wamejaa furaha, wakisema, "Bwana, hata pepo wametutii tulipolitaja jina lako."
17Huan, sawmsagihte tuh kipak takin a hongkik nawn ua, TOUPA, dawite leng na min jiakin ka thuthu un a om uh, a chi a.
18Yeye akawaambia, "Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.
18Huan, aman, a kiang uah, Khophia bangin Setan Van akipan a hong kia ka mu.
19Naam, nimewapeni uwezo wa kukanyaga nyoka na ng'e, na uwezo juu ya nguvu zote za yule adui; hakuna chochote kitakachowadhuru.
19Ngai un, gulte, aikamte sikdenna thu leh, melma thilhihtheihna tengteng tunga thu neihna ka hon pia ahi; bangmahin a honhihna kei hial ding,
20Hata hivyo, msifurahi kwa sababu pepo wamewatii, bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni."
20Himahleh, dawite na thuthu ua a omjiak un kipak kei un; vana na min uh gelh ahih jiakin kipak jaw un, a chi a.
21Saa ileile, Yesu akafurahi kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akasema, "Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa kuwa umewaficha wenye hekima na elimu mambo haya, ukawafumbulia wadogo. Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza."
21Huan, huailaitakin Jesu tuh Kha Siangthouin a kipak mahmaha, Pa aw, lei leh van Toupa, nang mi pil leh mi bengvakte kiangah hiai thu na ima, naungekte kianga na than jiakin ka honphat ahi; ahi, Pa, huchibang hih nang ngaihin a hoih ahi.
22Kisha akasema, "Baba yangu ameweka yote mikononi mwangu. Hakuna amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala amjuaye Baba ni nani ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana anataka kumfunulia hayo."
22Ka Pan bang kim honkem saka, Tapa kua ahia, Pa loungal kuamahin a theikei, Pa leng kua ahia, Tapa leh a kiang ua Tapain a theihsak nopnate kia loungal kuamah in a theikei, a chi a.
23Halafu akawaelekea wafuasi wake akawaambia, "Heri wanaoona yale mnayoyaona ninyi!
23Huan, nungjuite lam a ngaa, a simin, Na thil muhte uh a mu mitte a hampha e:
24Hakika, manabii na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona ninyi wasiyaone, na kusikia yale mnayoyasikia wasiyasikie."
24Ka honchi ahi, jawlnei tampi leh kumpipa tampiten leng na thil muhte uh muh a kilawp gige ua, himahleh a mu kei uh, bila na jakte uh leng jak a kilawp thei mahmah ua, himahleh a za kei uh, achia.
25Baadaye mwalimu mmoja wa Sheria alisimama akamwuliza akitaka kumtega, "Mwalimu, nifanye nini ili nipate uzima wa milele?"
25Huan, ngai un, dantheimi kuahiam a dinga, amah zeetna din, Sinsakpa, khantawna hinna neihna dingin bang ka hih ding? A chi a.
26Yesu akamwuliza, "Imeandikwa nini katika Sheria? Unaelewaje?"
26Huan aman, a kiangah, Dan laibu ah bang gelh ahia? bang na sim jela ahia? a chi a.
27Akamjibu, "Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."
27Huan aman, Toupa, na Pathian tuh na lungtang tengtengin, na kha tengtengin, na hatna tengtengin, na lungsim tengtengin na it ding ahi; nangmah na kiit bangin na vengte leng na it ding ahi. chih, achi a, a dawng a.
28Yesu akawaambia, "Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi."
28Huan, aman, a kiangah, Na dawng dik ngial e; huchiin hih lechin na hing ding a chi a.
29Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, "Na jirani yangu ni nani?"
29Aman bel kisiamtansak utin, Jesu kiangah, A hihleh, ka innveng kua ahia? a chi a.
30Yesu akamjibu, "Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.
30Jesun a dawnga, Kuahiam Jerusalem khua akipanin Jeriko khuaah a hoh suk deka, suam hatte a tuak zenzena, huaiten a puansilh a phel sak vek ua, a vo ek ua, si dekdekin a pai santa uh.
31Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando.
31Huan, siampu kuahiam huai lampi ah a vapai suk zenzena, a muh takin lampi sik lehlam ah a pel maimaha.
32Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali akamwona, akapita kando.
32Huan, huchibang mahin Levi chi mi khat leng huai mun a hongtunga, a muh takin lampi sik lehlam ah a pel maimaha.
33Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.
33Ahihhangin, Samari gama mi kuahiam a zin pailai a omna a hongtunga, a muh takin a hehpih mahmaha, a kiangah a vahoha,
34Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai; na kuyafunga halafu akampandisha juu ya punda wake akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamuuguza.
34a liamnate thau leh uain a buaka, a tuama, amah gan tungah a tuang saka, khualbuk ah a paipiha, a kemta.
35Kesho yake akatoa fedha dinari mbili akampa yule mwenye nyumba, akamwambia, Muuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa nitakaporudi."
35Huan, a jingin makhai nih a suahkhiaa, khualbuk kempa kiangah a piaa, Amah na kem inlan, hiai ban a na zat teng, ka hongkik nawn chiangin ka hondin ding, a chi a.
36Kisha Yesu akauliza, "Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonyesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?"
36Huai mi thumte lakah, suamhatte tuakpa adin, inveng hipen kua hiin na gingtaa? a chi a.
37Yule mwalimu wa Sheria akamjibu, "Ni yule aliyemwonea huruma." Yesu akamwambia, "Nenda ukafanye vivyo hivyo."
37Huan, aman, a hehpihpa, a chi a. Huan, Jesun a kiangah, Nang leng huai bangmahin vahih in, a chi a.
38Walipokuwa safarini, waliingia katika kijiji kimoja na mwanamke mmoja, aitwaye Martha, alimkaribisha nyumbani kwake.
38Huan, a zin kawm un khua khat ah a luta; huan, numei khat a min Marthain a na zintun a.
39Martha alikuwa na dada yake aitwaye Maria; huyu aliketi karibu na Yesu akisikiliza mafundisho yake.
39Huai nun sanggam numei khat a neia a, a min Mari ahi, huai minu tuh Toupa khe bulah a tu a, a thu a ngaikhia a.
40Lakini Martha alikuwa anashughulika na mambo mengi. Basi, akamwendea Yesu, akamwambia, "Bwana, hivi hujali kwamba dada yangu ameniacha nishughulike peke yangu? Mwambie basi, anisaidie."
40Marthain bel na mah semin a buai mahmah a; huchiin a kiangah, a hongpaia, Toupa, ka sanggamnun kei kia na sem dinga honkhiat khawksa lou na hi maw? Honhuh dingin chi dih ve, a chi a.
41Lakini Bwana akamjibu, "Martha, Martha, unahangaika na kusumbuka kwa mambo mengi.
41Huan, Toupan, Martha, Martha, thil tampi na ngaihtuah a, buai nei ve; thil khat kia a kul ahi;Mariin tan hoih a tel a, huai tuh lak sak ding ahi kei, a chi a, a dawng a.
42Kitu kimoja tu ni muhimu. Maria amechagua kitu bora zaidi ambacho hakuna mtu atakayemnyag'anya."
42Mariin tan hoih a tel a, huai tuh lak sak ding ahi kei, a chi a, a dawng a.