Swahili: New Testament

Paite

Luke

18

1Basi, Yesu aliwasimulia mfano kuonyesha kwamba ni lazima kusali daima bila kukata tamaa.
1Huan, lungke louin a thum gige ding uh ahi chih theihna dingin akiang uah gentehna a gen a:
2Alisema: "Katika mji mmoja kulikuwa na hakimu ambaye hakuwa anamcha Mungu wala kumjali binadamu.
2Koilai khua hiamah thukhenmi khat a oma, huai min Pathian a lau keia, mihing leng a khawksa kei;
3Katika mji huohuo, kulikuwa pia na mama mmoja mjane, ambaye alimwendea huyo hakimu mara nyingi akimwomba amtetee apate haki yake kutoka kwa adui yake.
3huan, huai khuaah meithai khat a oma; aman, Ka lang tungah phu honlaksak in, chiin, a kiangah a hoh zihzeh a.
4Kwa muda mrefu huyo hakimu hakupenda kumtetea huyo mjane; lakini, mwishowe akajisemea: Ingawa mimi simchi Mungu wala simjali binadamu,
4Huan, amah tuh sawt khop a ut keia; himahleh, a nungin a lungsimin, Pathian lau louin mihing khawksa kei mah leng;
5lakini kwa vile huyu mjane ananisumbua, nitamtetea; la sivyo ataendelea kufika hapa, na mwisho atanichosha kabisa!"
5hiai meithaiin honhihbuai jiakin a phu ka lak sak mai ding, huchilouin jaw, a hong zihzeh leh a honhih gim ek kha ding, a chi a.
6Basi, Bwana akaendelea kusema, "Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.
6Huan, Toupa mahin, Thukhenmi diktatlou thugen ja un.
7Je, ndio kusema Mungu hatawatetea wale aliowachagua, ambao wanamlilia mchana na usiku? Je, atakawia kuwasikiliza?
7A tunguah dohzou tadih mahleh leng a mitel, a sun a jana amah samte phu tuh Pathianin a lak sak kei dia hia?
8Nawaambieni atawatetea upesi. Hata hivyo, je, kutakuwako na imani duniani wakati Mwana wa Mtu atakapokuja?"
8Ka honhilh ahi, a phu uh a lak sak pah ding. Himahleh Mihing Tapa a hongpai hun chiangin leitungah tuabang ginna a honmu nadiam? a chi a.
9Halafu Yesu aliwaambia pia mfano wa wale ambao walijiona kuwa wema na kuwadharau wengine.
9Huan, mi diktat hih kigingta a, mi dang tengteng musit kuate hiam kiangah hiai gentehna thu leng a gen a:
10"Watu wawili walipanda kwenda Hekaluni kusali: mmoja Mfarisayo, na mwingine mtoza ushuru.
10Mi nih Pathian biakin ah thum dingin a hoh tou ua; khat tuh Pharisai ahi a, khat tuh siahkhonmi ahi.
11Huyo Mfarisayo akasimama, akasali kimoyomoyo: Ee Mungu, nakushukuru kwa vile mimi si kama watu wengine: walafi, wadanganyifu au wazinzi. Nakushukuru kwamba mimi si kama huyu mtoza ushuru.
11Pharisai tuh a dinga, amah kiain hichibangin a thum a: Pathian, mi dang, a negute, dikloute, angkawmte bang ka hih louh jiak leh, hiai siahkhonmi bang leng ka hih louh jiakin na tungah ka kipak hi.
12Nafunga mara mbili kwa juma, natoa zaka sehemu ya kumi ya pato langu.
12Nipikal khat tengin nihvei an ka ngawl jel; ka neih teng sawm ah khat ka pe jela, a chi a.
13Lakini yule mtoza ushuru, akiwa amesimama kwa mbali bila hata kuinua macho yake mbinguni, ila tu akijipiga kifua kwa huzuni, alisema: Ee Mungu, unionee huruma mimi mwenye dhambi.
13Siahkhonmin bel gamla taka dingin, van lam leng a dak ngam keia, Pathian, kei mi khial, ka tungah zahngai in, chiin, a awm a kitum a.
14Nawaambieni, huyu mtoza ushuru alirudi nyumbani akiwa amesamehewa. Lakini yule mwingine, sivyo. Kwa maana kila anayejikweza atashushwa, na kila anayejishusha atakwezwa."
14Ka honhilh ahi, a masa sangin huai mipen tuh siam tangin a in ah a pai kheta. Kingaithupi peuh a niam ding ua, kingainiam tuh pahtawiin a om ding, a chi a.
15Watu walimletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono yake. Wanafunzi walipowaona, wakawazuia kwa maneno makali.
15Huan, a khoih dingin a kiangah a naungekte uh a honpi ua; nungjuiten bel huai a muh tak un a natai ua.
16Lakini Yesu akawaita kwake akisema: "Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mungu ni kwa ajili ya watu kama hawa.
16Himahleh, Jesun amau a sama, Naupang neute ka kiangah honpai sak unla, kham kei un, Pathian gam huchibang mite a ahi ngala.
17Nawaambieni kweli, mtu yeyote asiyeupokea Ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo, hataingia katika Ufalme huo."
17Chihtaktakin ka honhilh ahi, Kuapeuh Pathian gam naupang neuin a kipahpih banga kipahpih lou tuh a sungah alut keihial ding, a chi a.
18Kiongozi mmoja, Myahudi, alimwuliza Yesu, "Mwalimu mwema, nifanye nini ili niweze kuupata uzima wa milele?"
18Huan, vaihawmmi kuahiamin, a kiangah, Sinsakpa hoih, khantawn hinna tanna dingin bang ka hih dia? chiin, a donga.
19Yesu akamwambia, "Mbona waniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake.
19Huan, Jesun a kiangah, Bangdia hoih honchi? mi khat kia ngallou kuamah hoih a om kei, huai tuh Pathian ahi.
20Unazijua amri: Usizini; usiue; usiibe; usitoe ushahidi wa uongo; waheshimu baba yako na mama yako."
20Thupiakte na thei vo oi, Angkawm ken, Tualthat ken, Gu ken, Hek ken, Na nu leh pa pahtawi in, chihte, a chi a.
21Yeye akasema, "Hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu."
21Huan, aman, Huai thu tengteng ka naupan chik a kipan ka jui jel, achia.
22Yesu aliposikia hayo akamwambia, "Unatakiwa bado kufanya kitu kimoja: uza kila ulicho nacho, wagawie maskini, na hivyo utakuwa na hazina yako mbinguni; halafu njoo unifuate."
22Huan, Jesun huai a jakin a kiangah, Tuin leng thil khat na sam hi; na neih tengteng juak inla, tagahte kiangah hawm in, huchiin vanah gou na nei ding; huan, hongpai inla, honjui in, a chi a.
23Lakini huyo mtu aliposikia hayo, alihuzunika sana kwa sababu alikuwa tajiri sana.
23Aman bel, huai thute a jakin a lungkham mahmah a, a hauh mahmah jiakin.
24Yesu alipoona akihuzunika hivyo, akasema, "Jinsi gani ilivyo vigumu kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!
24Huchiin, Jesun amah tuh a ena, Sum haute Pathian gama lut haksa na e:
25Naam, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu."
25Mi sumhau Pathian gama lut sangin sangawngsau phim bila lut suak a nuam jaw ahi, a chi a.
26Wale watu waliposikia hayo, wakasema, "Nani basi, atakayeokolewa?"
26Huan, huai thu zaten, Huchi a hihin kua hotdamin a om thei dia? a chi ua.
27Yesu akajibu, "Yasiyowezekana kwa binadamu, yanawezekana kwa Mungu."
27Aman tuh, Mihing hih vual louh Pathian hih theih ahi, a chi a.
28Naye Petro akamwuliza, "Na sisi je? Tumeacha vitu vyote tukakufuata!"
28Huan, Peterin, ngai in, kou ka in uh leh lou pai sanin kon jui ua, a chi a.
29Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, mtu yeyote aliyeacha nyumba au mke au kaka au wazazi au watoto kwa ajili ya Ufalme wa Mungu,
29Huan, aman, a kiang uah, Chih taktakin ka honhilh ahi, Kuapeuh Pathian gam jiaka, in hiam, ji hiam, unaute hiam, nu le pa hiam, tate hiam paisan photphot,
30atapokea mengi zaidi wakati huu wa sasa, na kupokea uzima wa milele wakati ujao."
30tu dam sung mahmahin a sanga tam jaw mu lou ding kuamah a om kei, hun hongtung lai dinga khantawna hinna toh, a chi a.
31Yesu aliwachukua kando wale kumi na wawili, akawaambia, "Sikilizeni! Tunakwenda Yerusalemu na huko kila kitu kilichoandikwa na manabii kuhusu Mwana wa Mtu kitakamilishwa.
31Huan, sawm leh nihte a kiangah api tuama, a kiang uah, Ngai un, Jerusalem khua a hoh tou ding i hi ua; jawlneite thu gelh tengteng Mihing Tapa tungah a tung ding.
32Kwa maana atakabidhiwa kwa watu wa mataifa nao watamtendea vibaya na kumtemea mate.
32Jentelte kiangah piakin a om ding a, nuihzabawlna din a zang ding uh, zumhuai takin a bawl ding ua, chil a siat ding uh;
33Watampiga mijeledi, watamuua; lakini siku ya tatu atafufuka."
33Huan, a vo ding ua, a hihlum ding uh; huan, ni thum niin a thou nawn ding, a chi a.
34Lakini wao hawakuelewa hata kidogo jambo hilo; walikuwa wamefichwa maana ya maneno hayo, na hawakutambua yaliyosemwa.
34Huan, huai thute himhim a theisiam kei ua, a thu gen tuh a lak uah selin a oma, bang gen ahia chih leng a theikei uh.
35Wakati Yesu alipokaribia Yeriko, kulikuwa na mtu mmoja kipofu ameketi njiani akiomba.
35Huan, hichi ahi a, Jeriko khua a tun kuanin, mittaw kuahiam lam geiah khut dohin a na tu a;
36Aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza, "Kuna nini?"
36huai min tuh mipi pai ging a ja a, bangchi thu a hitaa chih a donga.
37Wakamwambia, "Yesu wa Nazareti anapita."
37Huan amau, Nazaret Jesu a pai ahi chih a hilh ua.
38Naye akapaza sauti akisema, "Yesu, Mwana wa Daudi, nihurumie!"
38Huchiin, aman, Jesu, David Tapa, ka tungah zahngai in, chiin, a kikou a.
39Wale watu waliotangulia wakamkemea wakimwambia anyamaze; lakini yeye akazidi kupaza sauti: "Mwana wa Daudi, nihurumie;"
39Huan, a masaten dai dingin a tai ua, himahleh, David Tapa, honhehpih in, chiin, a kinak kou semsem a.
40Yesu alisimama, akaamuru wamlete mbele yake. Yule kipofu alipofika karibu, Yesu akamwuliza,
40Huchiin, Jesu a dinga, a kianga honpi dingin thu a pia a;
41"Unataka nikufanyie nini?" Naye akamjibu, "Bwana, naomba nipate kuona tena."
41huan, a kiang a hongtun in, Na tungah bangchia ka hih ahia na deih? a chi a, a na donga. Huan, aman, Toupa, muh theih ka ut, a chi a.
42Yesu akamwambia, "Ona! Imani yako imekuponya."
42Huan, Jesun a kiangah, Mu thei ta in, na ginna na dampih ahi, a chi a.Huan, thakhatin a mu thei pahtaa, Pathian phat kawm jelin amah a juita a; huan, mi tengtengin, huai a muh un, Pathian a phat uh.
43Na mara yule aliyekuwa kipofu akapata kuona, akamfuata Yesu akimtukuza Mungu. Watu wote walipoona hayo, wakamsifu Mungu.
43Huan, thakhatin a mu thei pahtaa, Pathian phat kawm jelin amah a juita a; huan, mi tengtengin, huai a muh un, Pathian a phat uh.