Swahili: New Testament

Paite

Luke

4

1Yesu alitoka katika mto Yordani akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akaongozwa na Roho mpaka jangwani.
1Huan, Jesu tuh Kha Siangthouin a dima, Jordan lui akipan a kik nawna, diabol khem kawmin gamdai ah ni sawm li Kha piin a om a.
2Huko alijaribiwa na Ibilisi kwa muda wa siku arubaini. Wakati huo wote hakula chochote, na baada ya siku hizo akasikia njaa.
2Huan, huai ni khawngin bangmah a ne kei a;
3Ndipo Ibilisi akamwambia, "Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili liwe mkate."
3Huan, a tawpin a gil a hongkialta a. Huan, diabolin a kiangah, Pathian Tapa na hih leh hiai suang tanghou suak dingin thupia in, a chi a.
4Yesu akamjibu, "Imeandikwa: Mtu haishi kwa mkate tu."
4Huan, Jesun a kiangah, Mihing tanghou kiain a hing kei ding, chih gelh ahi, a chi a, a dawng a.
5Kisha Ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. Huyo Shetani akamwambia,
5Huan, a pi tou a, mit phiat kallouin khovel gam tengteng a ensaka.
6"Nitakupa uwezo juu ya falme zote hizi na fahari zake, kwa maana nimepewa hivi vyote; nikitaka kumpa mtu ninaweza.
6Huan, a kiangah, Hiai tengteng tunga thuneihna leh a thupina ka honpe ding; ka kianga piak a hita ngala, ka ut peuh kiangah leng ka pe jel a.
7Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu."
7Huchiin, honbia inla, a vekin nanga ahi ding, a chi a.
8Yesu akamjibu, "Imeandikwa: Utamwabudu Bwana Mungu wako, na utamtumikia yeye peke yake."
8Huan, Jesun a kiangah, Toupa na Pathian na biak dinga amah kia na na sep ding ahi, chih gelh ahi, a chi a, a dawng a.
9Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu, kwenye mnara wa Hekalu, akamwambia, "Kama wewe ni Mwana wa Mungu,
9Huan, diabolin Jerusalem khua ah a pi a, Pathian biakin tungzum ah a koiha, huan, a kiangah, Pathian Tapa na hih leh, hiai akipanin ke khe sukin;
10kwa maana imeandikwa: Atawaamuru malaika wake wakulinde,
10Nangmah honhumbit dingin na tungthu ah jaw a angelte thu a pe ding,
11na tena, Watakuchukua mikononi mwao usije ukajikwaa mguu wako kwenye jiwe."
11chih leh, a khut un hondom ding ua, huchilou injaw na khein suang na sui khading, chih gelh ahi ngala, a chi a.
12Lakini Yesu akamjibu, "Imeandikwa: Usimjaribu Bwana Mungu wako."
12Huan, Jesun a kiangah, Toupa na Pathian zeet ken, chih ahi, chiin a dawnga.
13Ibilisi alipokwishamjaribu kwa kila njia, akamwacha kwa muda.
13Huan, diabolin a khemna ding tenga a khem khitin a lemtan hun chiang dingin a paisanta hi.
14Yesu alirudi Galilaya akiwa amejaa nguvu za Roho Mtakatifu, na habari zake zikaenea katika sehemu zote za jirani.
14Huan, Jesu tuh Kha thilhihtheihnain Galili gamah a pai nawnta a; huan, a tanchin huai kim gam tengah a thangta.
15Naye akawa anawafundisha watu katika masunagogi yao, akasifiwa na wote.
15Huan, a kikhopna in uah thu a hilh jela, mi tengteng phatin a om hi.
16Basi, Yesu alikwenda Nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya Sabato, aliingia katika sunagogi, kama ilivyokuwa desturi yake. Akasimama ili asome Maandiko Matakatifu kwa sauti.
16Huan, a khanletna khua Nazaret a hongtunga; huan Khawlnia a hihdan ngeina bangin kikhopna in ah a luta; sim dingin a dinga.
17Akapokea kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na akakuta mahali palipoandikwa:
17Huan, jawlnei Isai laibu a kiangah a pia ua. Huan, laibu jial tuh a phel a, hiai thu kigelhna lai tak a sim a,
18"Roho wa Bwana yu juu yangu, kwani amenipaka mafuta niwahubirie maskini Habari Njema. Amenituma niwatangazie mateka watapata uhuru, vipofu watapata kuona tena; amenituma niwakomboe wanaoonewa,
18Liangvaite kiangah Tanchin Hoih hilh dinga non seh jiakin Toupa Kha tuh ka tungah a om; Aman a honsawl, salte kiangah pawtna thu leh, mittote kianga mit vak neih nawnna thu gen ding, simmoh thuakte pawt sakna ding.
19na kutangaza mwaka wa neema ya Bwana."
19Toupa lungkim kum thu gen dingin, chih.
20Baada ya kusoma, akafunga kile kitabu, akampa mtumishi, kisha akaketi; watu wote wakamkodolea macho.
20Huan, laibu tuh a jiala, nasepsakpa a pe nawna, a tuta a. Huan, kikhopna ina mi tengteng mit tuh a tungah a tu a.
21Naye akaanza kuwaambia, "Andiko hili mlilosikia likisomwa, limetimia leo."
21Huan, a kiang uah, Hiai Laisiangthou thu tuniin na jak un a tangtungta, chiin a genpan a.
22Wote wakavutiwa sana naye, wakastaajabia maneno mazuri aliyosema. Wakanena, "Je, huyu si mwana wa Yosefu?"
22Huan, a vek un amah a phat ua, a kam suak hehpihna thute lamdang a sa mahmah uh. Huan, Hiai Joseph tapa ahi ka hia? a chi uh.
23Naye akawaambia, "Bila shaka mtaniambia msemo huu: Mganga jiponye mwenyewe, na pia mtasema: Yote tuliyosikia umeyafanya kule Kafarnaumu, yafanye hapa pia katika kijiji chako."
23Huan, aman a kiang uah, Nou hiai gentehna thu, Daktor, nang leh nang kihihdamin, Kapernaum khuaa na thilhih ka najak peuh uh, hiai ah nangmah kholam ah leng hih in, chiin, honchi khongkhong ding jaw neive ua, a chi a.
24Akaendelea kusema, "Hakika nawaambieni, nabii hatambuliwi katika kijiji chake.
24Huan, amahmahin, Chihtaktakin, ka honhilh ahi, Jawlnei kuamah amah kholamah min a kipahpih ngei kei.
25Lakini, sikilizeni! Kweli kulikuwa na wajane wengi katika nchi ya Israeli nyakati za Eliya. Wakati huo mvua iliacha kunyesha kwa muda wa miaka mitatu na nusu; kukawa na njaa kubwa katika nchi yote.
25Huchiin, diktakin ka honchi ahi, Elija dam laia, kum thum leh kha guk van a bina, khovela kial nakpitaka a hongtunin, Israel gamah meithai tampi a om ua;
26Hata hivyo, Eliya hakutumwa kwa mjane yeyote ila kwa mwanamke mjane wa Sarepta, Sidoni.
26Himahleh a lak ua kuamah kiangah Elija sawl ahi kei, Sidon gam lama Sarepta khuaa numei khat meithai kiangah kia sawl a hijaw.
27Tena, katika nchi ya Israeli nyakati za Elisha kulikuwa na wenye ukoma wengi. Hata hivyo, hakuna yeyote aliyetakaswa ila tu Naamani, mwenyeji wa Siria."
27Huan, jawlnei Elisa dam laiin leng Israel gamah phak tampi a om ua; himahleh a lak uah kuamah hihsiangthouin a om kei, Naaman, Suria mi kia hihsiangthouin a om zota ve, a chi a.
28Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia hayo walikasirika sana.
28Huan, kikhopna ina mi tengtengin, huai thute a jak tak un, a heh mahmah ua,
29Wakasimama, wakamtoa nje ya mji wao uliokuwa umejengwa juu ya kilima, wakampeleka mpaka kwenye ukingo wa kilima hicho ili wamtupe chini.
29a ding suausuau ua, khua akipanin a sawn khia ua, paih khiak dingin a kho omna kawlkhou uah a pita ua.
30Lakini Yesu akapita katikati yao, akaenda zake.
30Himahleh, amah tuh a kikal uah a pai suaka, a paimangta.
31Kisha Yesu akashuka mpaka Kafarnaumu katika mkoa wa Galilaya, akawa anawafundisha watu siku ya Sabato.
31Huan, Galili gama khua khat, Kapernaum ah vahoh suk a. Huan, Khawlniin mite thu a hilha;
32Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.
32huan, thunei taka a gen jiakin a thu hilh tuh lamdang a sa mahmah uh.
33Na katika lile sunagogi kulikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na roho ya pepo mchafu; akapiga ukelele wa kuziba masikio:
33Huan, kikhopnain ah dawi nin kha pai mi khat a na om a;
34"We! Yesu wa Nazareti! Kwa nini unatuingilia? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakufahamu wewe ni nani. Wewe ni mjumbe Mtakatifu wa Mungu!"
34amah tuh aw ngaihtakin a kikoua, Ei! Nazaret Jesu, kou leh nang bang ahia i kizolhna om? honhihmangthang dingin na hong maw? Nang kon thei, Pathian Mi Siangthou na hi, a chi a.
35Lakini Yesu akamkemea huyo pepo akisema: "Nyamaza! Mtoke mtu huyu!" Basi, huyo pepo baada ya kumwangusha yule mtu chini, akamtoka bila kumdhuru hata kidogo.
35Huan, Jesun a taia, Dai inla, a sung akipan hongpawt in, a chi a. Huan, dawiin a laiah a hihpuk phota, hihna louin a sunga kipan a hongpawtta a.
36Watu wote wakashangaa, wakawa wanaambiana, "Hili ni jambo la ajabu, maana kwa uwezo na nguvu anawaamuru pepo wachafu watoke, nao wanatoka!"
36Huan, a vek un lamdang a sa mahmah ua, Hiai bang thu ahia le? Thu neitak leh thilhihthei takin dawi ninte thu a pia a, a pawt uh, chiin, a kihou ua.
37Habari zake zikaenea mahali pote katika mkoa ule.
37Huan, huai kim gam kho tengah a tanchin a thangta.
38Yesu alitoka katika lile sunagogi, akaenda nyumbani kwa Simoni. Mama mmoja, mkwewe Simoni, alikuwa na homa kali; wakamwomba amponye.
38Huan, a thou a, kikhopna in akipan a pawta, Simon in ah a lut a. Huan, Simon ji nu nakpitakin a khua a nasik a, huchiin amah adingin a nachial sak ua.
39Yesu akaenda akasimama karibu naye, akaikemea ile homa, nayo ikamwacha. Mara yule mama akainuka, akawatumikia.
39Huan, a kiangah a dinga, khosik tuh a tai a, a daita hi; huan, a thou pahta a, a na uh a sep sakta.
40Jua lilipokuwa linatua, wote waliokuwa na wagonjwa wao mbalimbali waliwaleta kwake; naye akaweka mikono yake juu ya kila mmoja wao, akawaponya wote.
40Huan, ni tum kuanin nat tuamtuam a na, damlou nei peuhmahin a kiangah a honpi ua; huan, a vek un a tunguah a khut a koih chiata, a nahihdam jel.
41Pepo waliwatoka watu wengi, wakapiga kelele wakisema: "Wewe u Mwana wa Mungu!" Lakini Yesu akawakemea, wala hakuwaruhusu kusema, maana walimfahamu kwamba yeye ndiye Kristo.
41Huan, dawite leng, Pathian Tapa na hi, chia kikouin, mi tampi sunga kipanin hongpawt uh. Huan, amau a tai a, Kris tuh ahi chih a theih jiak un a pau uh a phal kei hi.
42Kesho yake asubuhi Yesu aliondoka akaenda mahali pa faragha. Watu wakawa wanamtafuta, na walipofika mahali alipokuwa, wakajaribu kumzuia ili asiondoke kwao.
42Huan, khovak takin a pawta, kuamah omlouhna mun ah a hoha; huan mipiten a zong ua, a kiangah a hong ua, amau a pai san louhna dingin let a tum ua.
43Lakini yeye akawaambia, "Ninapaswa kuhubiri Habari Njema za Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, maana nilitumwa kwa ajili hiyo."
43Himahleh, aman, a kiang uah, Kho dang khawngah leng Pathian gam tanchin Hoih ka hilh ding ahi,huai dinga sawl ka hi ngala, a chi a; huchiin, Galili gama kikhopna in khawngah thu a hilhta.
44Akawa anahubiri katika masunagogi ya Yudea.
44huai dinga sawl ka hi ngala, a chi a; huchiin, Galili gama kikhopna in khawngah thu a hilhta.