1Baada ya siku ya Sabato, Maria Magdalene, Salome na Maria mama yake Yakobo walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu.
1Huan, khawlni a hongbeiin Mari Magdalini, Mari Jakob nu leh Salomi-te a vahoh ua, amah a nuh ding un banghiam gimlim a lei ua.
2Basi, alfajiri na mapema siku ya Jumapili, jua lilipoanza kuchomoza, walienda kaburini.
2Huan, ni sagih ni masapenin, jingsang piin, ni suah laiin han a vatung ua.
3Nao wakawa wanaambiana, "Nani atakayetuondolea lile jiwe mlangoni mwa kaburi?"
3Huan, Han kong akipan suang kuan honkhuk khiak sak ding a de aw? a kichih laitak un,
4Lakini walipotazama, waliona jiwe limekwisha ondolewa. (Nalo lilikuwa kubwa mno.)
4A dak ualeh, suang tuh khuk khiaksain a muta ua, a lian mahmah ngala.
5Walipoingia kaburini, walimwona kijana mmoja aliyevaa vazi jeupe, ameketi upande wa kulia; wakashangaa sana.
5Huan, han sungah a lut ua, tangval khat puan ngou silh, taklam panga tu a mu ua; lamdang a sa mahmah uh.
6Lakini huyo kijana akawaambia, "Msishangae. Mnamtafuta Yesu wa Nazareti aliyesulubiwa. Amefufuka, hayumo hapa. Tazameni mahali walipokuwa wamemlaza.
6Huchiin, aman tuh a kiang uah, Lamdang sa kei un; Jesu Nazaretmi, a kilhden uh, zong na hihtuak ua; a thou nawnta hi; hiaiah a om takei; en un, a sialna uh!
7Nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro ya kwamba anawatangulieni kule Galilaya. Huko mtamwona kama alivyowaambieni."
7Himahleh, pai unla, a nungjuite leh Peter kiangah, Galili gamah na ma uah a pai ding hi; na kiang ua a chih bang ngeiin huaiah na mu ding uh, a chi a.
8Basi, wakatoka pale kaburini mbio, maana walitetemeka kwa hofu na kushangaa. Hawakumwambia mtu yeyote kitu, kwa sababu waliogopa mno.
8Huchiin, linna leh lamdang sakluatnain amau a phaktak jiakin a pawt ua, han akipan a tai vengveng ua; a lau jiakun kuamah kiangah bangmah a gen kei uh.
9Yesu alipofufuka mapema Jumapili, alijionyesha kwanza kwa Maria Magdalene, ambaye Yesu alikuwa amemtoa pepo saba.
9Huan, ni sagih ni masapen jingsanga a thohnawnin, Mari Magdalini, a sung apat dawi sagih a delh khiaknu kiangah a kilak masapen a.
10Maria Magdalene akaenda, akawajulisha wale waliokuwa pamoja na Yesu, na wakati huo walikuwa wanaomboleza na kulia.
10Huan, amah tuh Jesu ompih jelte kiangah a vahoha, misi suna a kah lai un a vahilhta a.
11Lakini waliposikia ya kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria Magdalene amemwona, hawakuamini.
11Himahleh, amau tuh a hing nawna, muh leng a mu chih a za na ua, a gingta tuan kei uh.
12Baadaye Yesu aliwatokea wanafunzi wawili akiwa na sura nyingine. Wanafunzi hao walikuwa wanakwenda shambani.
12Huan, huai nungin a lak ua mi nih gam lam juana a pai lai un mel dang puin a kiang uah a kilak nawna.
13Nao pia wakaenda wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini.
13Huan, amau tuh nungjui dangte kiang ah a vahilh ua, amau thu leng a gingta tuan kei uh.
14Mwishowe, Yesu aliwatokea wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa pamoja mezani. Akawakemea sana kwa sababu ya kutoamini kwao na ukaidi wao, maana hawakuwaamini wale waliokuwa wamemwona baada ya kufufuka.
14Huan, huai nung nawnin, an a um lai un sawm leh khatte kiang ngeiah a kilaka, a thoh nawn nunga a mute thu a gintak louh uh leh a lung tang khauh thu uah a taihilhta a.
15Basi, akawaambia, "Nendeni ulimwenguni kote mkahubiri Habari Njema kwa kila mtu.
15Huan, a kiang uah, Khovel tengtengah pai unla, thil siamtengteng kiangah Tanchin Hoih hilh un.
16Anayeamini na kubatizwa ataokolewa; asiyeamini atahukumiwa.
16A gingtaa baptisma tang tuh hotdamin a om ding ua; gingtalou tuh siamlouh tangin a om ding uh.
17Na ishara hizi zitaandamana na wale wanaoamini: kwa jina langu watatoa pepo na watasema kwa lugha mpya.
17Huan, hiai chiamtehnaten a gingtate a jui jel ding: Ka minin dawite a delh khe ding ua, pau thak bangin a pau ding uh;
18Wakishika nyoka au wakinywa kitu chochote chenye sumu, hakitawadhuru. Watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona."
18gulte khutin a la ding ua; sihna gu bangchibang dawn mahle uh bangmah a chi kei ding uh; damloute tungah a khut uh a koih ding ua, a dam jel ding uh, a chi a.
19Basi, Bwana Yesu alipokwisha sema nao, akachukuliwa mbinguni, akaketi upande wa kulia wa Mungu.
19Huchiin, Toupa Jesu tuh, a kiang ua thu a gen khitin vana pi touhin a om a, Pathian taklamah a tuta hi.Huchiin, amau tuh a pai khia ua, gam tengah thu a genta ua, Toupan amaute a seppiha, a jui chiamtehnaten thu tuh a hihkip jel hi. Amen.
20Wanafunzi wakaenda wakihubiri kila mahali. Bwana akafanya kazi pamoja nao na kuimarisha ujumbe huo kwa ishara zilizoandamana nao.
20Huchiin, amau tuh a pai khia ua, gam tengah thu a genta ua, Toupan amaute a seppiha, a jui chiamtehnaten thu tuh a hihkip jel hi. Amen.