Swahili: New Testament

Paite

Mark

8

1Wakati huo umati mkubwa wa watu ulikusanyika tena, na hawakuwa na chakula. Basi, Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia,
1Huai ni khawngin, mipi tampitak a hongom nawn ua, nek ding bangmah a neikei ua, aman a nungjuite a sama, a kiang uah,
2"Nawahurumia watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu, wala hawana chakula.
2Mipi honte tuin ka kiangah ni thum a omta ua, nek ding bangmah a neih louh jiak un ka hehpih mahmah hi;
3Nikiwaacha waende nyumbani wakiwa na njaa watazimia njiani, maana baadhi yao wametoka mbali."
3Anngawlin a in uah pai sak leng lam kalah a bah kha ding uh; khenkhatte khol houh a hongpaina uh a gamla mahmah ngala, a chi a.
4Wanafunzi wake wakamwuliza, "Hapa nyikani itapatikana wapi mikate ya kuwashibisha watu hawa wote?"
4Huan, a nungjuiten, min hiai gamdai ah koia tanghouin ahia hiai khawngte a hihtai theih ding uh? chiin, amah a dawng ua.
5Yesu akawauliza, "Mnayo mikate mingapi?" Nao wakamjibu, "Saba."
5Huan, aman, Tanghouphel bangzah na nei ua? chiin, amau a donga. Huan, amau, Phel sagih, a chi ua.
6Basi, akawaamuru watu wakae chini. Akaitwaa ile mikate saba, akamshukuru Mungu, akaimega, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu, nao wakawagawia.
6Huan, mipite leia tu dingin thu a pia a; tanghouphel sagih a la-a, kipahthu a gen khitin a balkhama, ama ua lui dingin a nungjuite kiangah a piaa; huan, mipite ma ah a luita uh.
7Walikuwa pia na visamaki vichache. Yesu akavibariki, akaamuru vigawiwe watu vilevile.
7Ngasa tawmchik leng a nei ua; aman vual a jawl a, huaite leng a ma ua lui dingin thu a pia a.
8Watu wakala, wakashiba. Wakaokota mabaki yaliyosalia wakajaza makapu saba.
8Huchin, a ne ua, a kham chiat ua; a khamval nen u leng bawm sagih dimin a luak uh.
9Nao waliokula walikuwa watu wapatao elfu nne. Yesu akawaaga,
9Amau tuh sang li khawng ahi ua; huan, aman amaute a paisakta hi.
10na mara akapanda mashua pamoja na wanafunzi wake, akaenda wilaya ya Dalmanutha.
10Huan, amah tuh a nungjuite kiangah long ah a tuangpah ngala, Dalmanutha gam a tungta.
11Mafarisayo walikuja, wakaanza kujadiliana na Yesu. Kwa kumjaribu, wakamtaka awafanyie ishara kuonyesha anayo idhini kutoka mbinguni.
11Huan, Pharisaite a hongsuak ua, amah zeetna dingin, amah laka van akipana chiamtehna zongin amah a selta uh.
12Yesu akahuzunika rohoni, akasema, "Mbona kizazi hiki kinataka ishara? Kweli nawaambieni, kizazi hiki hakitapewa ishara yoyote!"
12Huan, amah tuh a lungsimin nakpiin a thum a, Bang achia tulai khangthakten chiamtehna zong uh ahia? Chihtaktakin ka hon hilh ahi, tulai khangthakte kiangah chiamtehna himhim piak ahi kei ding, a chi a.
13Basi, akawaacha, akapanda tena mashua, akaanza safari kwenda ng'ambo ya pili ya ziwa.
13Huan, amaute a pai sana, long ah a tuang nawna, gal khat lamah a paita a.
14Wanafunzi walikuwa wamesahau kuchukua mikate; walikuwa na mkate mmoja tu katika mashua.
14Huan, a nungjuiten tanghou a tawi mangngilh ua, tanghouphel khat kia lou ngal longah tanghou dang himhim lah a nei ngal kei ua.
15Yesu akawaonya, "Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode."
15Huan, aman, a kiang uah, Pharisaite silngou leh Herod silngou lakah kiveng unla, pilvang un, a chi a.
16Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, "Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate."
16Huan, amau, Tanghou i nei het kei, chiin, a kingaihtuah ua.
17Yesu alitambua hayo, akawaambia, "Mbona mnajadiliana juu ya kutokuwa na mikate? Je, bado hamjafahamu, wala hamjaelewa? Je, mioyo yenu imeshupaa?
17Huan, Jesun huai a theihin, a kiang uah, Bangdia tanghou na neih louh jiakua kingaihtuah na hi ua? Tu nangawnin na theithei sam kei u-maw? theisiam sam loulai maw? na lungtang uh na taksakta ua hia?
18Je, Mnayo macho na hamwoni? Mnayo masikio na hamsikii? Je, hamkumbuki
18Mit nei napiin na mu kei ua hia? bil nei napiin na za kei ua hia? Theigige lou maw?
19wakati ule nilipoimega ile mikate mitano na kuwapa watu elfu tano? Mlikusanya vikapu vingapi vya mabaki ya makombo?" Wakamjibu, "Kumi na viwili."
19Sangnga laka tanghouphel nga ka balkhap laiin a nen bawm bangzah ahia na luah dim uh? a chi a. Huan, amau a kiangah, Sawm leh nih, a chi uh.
20"Na nilipoimega ile mikate saba na kuwapa watu elfu nne, mlikusanya makapu mangapi ya makombo?" Wakamjibu, "Saba."
20Huan, sangli lak sagih ka balkhap laiin, a nen bawm bangzah ahia na luah dim uh? a chi a. Huan, amau a kiangah, Sagih, a chi ua.
21Basi, akawaambia, "Na bado hamjaelewa?"
21Huan, aman, akiang uah, Tu nangawnin na theisiam kei lai uh maw? a chi a.
22Yesu alifika Bethsaida pamoja na wanafunzi wake. Huko watu wakamletea kipofu mmoja, wakamwomba amguse.
22Huan, Bethsaida a hong tung ua. Huan, a kiangah mittaw a honpi ua, amah khoih dingin a ngen ua.
23Yesu akamshika mkono huyo kipofu, akampeleka nje ya kijiji. Akamtemea mate machoni, akamwekea mikono, akamwuliza, "Je, unaweza kuona kitu?"
23Huan, aman mittaw khut a lena, khua a kipanin a pi khia a; huan, a mit ah chil a sia a, a tunga khut a koih khitin, Khua na mu thei hia? chiin a donga.
24Huyo kipofu akatazama, akasema, "Ninawaona watu wanaoonekana kama miti inayotembea."
24Huan, a hondak khia a, Mihing ka mu a; singpai bangin ka mu, a chi a.
25Kisha Yesu akamwekea tena mikono machoni, naye akakaza macho, uwezo wake wa kuona ukamrudia, akaona kila kitu sawasawa.
25Huan, a mitah a khut a koih nawna, huan, aman a en gegu a, a hongdam maimah a, bangkim chiantakin a mutheita.
26Yesu akamwambia aende zake nyumbani na kumwamuru, "Usirudi kijijini!"
26Huan, Jesun, Khua ah leng lut ken, chiin, a in ah a paisakta.
27Kisha Yesu na wanafunzi wake walikwenda katika vijiji vya Kaisarea Filipi. Walipokuwa njiani, Yesu aliwauliza wanafunzi wake, "Watu wanasema mimi ni nani?"
27Huan, Jesu leh a nungjuite a hongpai jel ua, Kaisari Philipi khua te a hongtung ua; huan, pai kawmin a nungjuit kiangah, Miten kei kua ahi a honchi ua? chiin, a donga.
28Wakamjibu, "Wengine wanasema wewe ni Yohane Mbatizaji, wengine Eliya na wengine mmojawapo wa manabii."
28Huan, amau, Baptispa Johan ahi, a honchi uh; midangin, Elija ahi, a honchi ua; khenkhatin bel, Jawlnei kua hiam ahi, a honchi uh, chiin, a hilh ua.
29Naye akawauliza, "Na ninyi je, mnasema mimi ni nani?" Petro akamjibu, "Wewe ndiwe Kristo."
29Huan, aman, a kiang uah, A hihleh nou kei kua ahi non chi ua? chiin, a dong a, Peterin akiangah Kris tuh na hi, chiin, a dawnga.
30Kisha Yesu akawaonya wasimwambie mtu yeyote habari zake.
30Huan, aman a tanchin kuamah hilh louh ding a chi bikbek a.
31Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake: "Ni lazima Mwana wa Mtu apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Atauawa na baada ya siku tatu atafufuka."
31Huan, Mihing Tapain thil tampi a thuak dingte, upate, siampu lalte, laigelhmite deih louh a a om ding khawng, hihlupa a om ding khawng, ni thum nunga a thoh nawn ding khawng amaute a hilh panta a.
32Yesu aliwaambia jambo hilo waziwazi. Basi, Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea.
32Huai thute tuh chian takin a gen ahi. Huan, Peterin amah a pi tuama, a tai a.
33Lakini Yesu akageuka, akawatazama wanafunzi wake, akamkemea Petro akisema, "Ondoka mbele yangu, Shetani! Fikira zako si za kimungu ila ni za kibinadamu!"
33Amah bel a hongkihei a, a nungjuite munin, Peter a tai a, Setan, ka nungah pai in, Pathian thilte ngaihtuah louin, mihing thilte na ngaihtuah jaw ahi, a chi a.
34Kisha akauita umati wa watu pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, "Mtu yeyote akitaka kuwa mfuasi wangu, lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
34Huan, mipite, a nungjuite toh, a sam a, a kiang uah, Kuapeuhin honzuih a ut leh, amah kingaihsak louin, a kros puin honjui hen.
35Maana mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza, lakini mtu atakayepoteza maisha yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema, atayaokoa.
35Kuapeuh ahinna humbit utin a tan dia; kuapeuh keimah jiak leh Tanchin Hoih jiaka a hinna tanin a humbit ding.
36Je, kuna faida gani mtu kuupata ulimwengu wote na kuyapoteza maisha yake?
36Min khovel a pumin a nei henla, a hinna tan jel leh, amah adingin bang a phatuam dia?
37Ama mtu atatoa kitu gani badala ya maisha yake?
37Min a hinna tangdin bang a pe thei dia?Kuapeuh tulai khangthak angkawm leh thil gilou chingte laka keimah leh ka thu zumpih tuh, Mihing Tapain, angel siangthoute toh a Pathupinaa kivana a hong hun chiangin, huai mi tuh a honzumpih thuk sam ding, a chi a.
38Mtu yeyote katika kizazi hiki kiovu na kisichomjali Mungu anayenionea aibu mimi na mafundisho yangu, Mwana wa Mtu atamwonea aibu mtu huyo wakati atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu."
38Kuapeuh tulai khangthak angkawm leh thil gilou chingte laka keimah leh ka thu zumpih tuh, Mihing Tapain, angel siangthoute toh a Pathupinaa kivana a hong hun chiangin, huai mi tuh a honzumpih thuk sam ding, a chi a.