Swahili: New Testament

Paite

Matthew

16

1Mafarisayo na Masadukayo walimwendea Yesu, na kwa kumjaribu, wakamwomba afanye ishara itokayo mbinguni.
1Huan, Pharisaite leh Saddukaite a hongpai ua, amah ze etna ding in van a kipan chiamtehna amaute ensak ding in a ngen ua.
2Lakini Yesu akawajibu, "Wakati wa jioni ukifika ninyi husema: Hali ya hewa itakuwa nzuri kwa maana anga ni jekundu!
2Himahleh, aman a kiang uah, Nitaklam a hong hih in, Khua a pha dia a ding meisan a suak, na chi nak uh.
3Na alfajiri mwasema: Leo hali ya hewa itakuwa ya dhoruba, maana anga ni jekundu na tena mawingu yametanda! Basi, ninyi mnajua sana kusoma majira kwa kuangalia anga, lakini kutambua dalili za nyakati hizi hamjui.
3Huan, jingsang in, Tunin khua se dia a ding e, meisan a suak a, a niam kai, na chi nak uh. Van omdan na thei siam ngal ua, himahleh, hun chiamtehnate na thei siam theikei uh.
4Kizazi kiovu kisicho na uaminifu! Mnataka ishara, lakini hamtapewa ishara yoyote isipokuwa tu ile ya Yona." Basi, akawaacha, akaenda zake.
4Khangthak giloutak leh angkawm hatten chiamtehna a zong ua, himahleh, Jona chiamtehna lou ngal a kiang uah chiamtehna himhim piak a hikei ding, a chi a, a dawng a. Huan, amaute a paisan a, a pawt kheta.
5Wanafunzi wake walipokwisha vukia upande wa pili wa ziwa, walijikuta wamesahau kuchukua mikate.
5Huan, nungjuite gal khatlam a a tun un tanghou a po mangngilh ua,
6Yesu akawaambia, "Muwe macho na mjihadhari na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo!"
6Huan, Jesun a kiang uah, Pharisaite leh Saddukaite silngou lak ah kiveng unla, pilvang un, a chi a.
7Lakini wao wakawa wanajadiliana: "Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate."
7Huan, amau, Tanghou i po hetkei, chi in a kingaihtuah ua.
8Yesu alijua mawazo yao, akawaambia, "Enyi watu wenye imani haba! Mbona mnajadiliana juu ya kutokuwa na mikate?
8Huan, Jesun huai a thei a, Gin tawmte aw, bang achia tanghou na neihlouh ziak ua kingaihtuah na hi ua?
9Je, hamjaelewa bado? Je, hamkumbuki nilipoimega ile mikate mitano kwa ajili ya wale watu elfu tano? Je, mlijaza vikapu vingapi vya makombo?
9Tu nangawn in na lungsim un na thei naikei lailai umaw? Mi sangnga tanghou phel nga leh, na bawmpi dimsak zah uh, na thei gige kei ua hia?
10Au, ile mikate saba waliyogawiwa wale watu elfu nne, je, mlikusanya vikapu vingapi vya mabaki?
10Mi sangli tanghou phel sagih leh, na bawmpi dimsak zah uleng?
11Inawezekanaje hamwelewi ya kwamba sikuwa nikisema juu ya mikate? Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo!"
11Tanghou thu na kiang ua genlou in. Pharisaite leh Saddukaite silngou lak ah, pilvang un, chih gen ka hi jaw chih bang achia theilou na hi ua? A chi a.
12Hapo wanafunzi wakafahamu kwamba aliwaambia wajihadhari siyo na chachu ya mikate, bali na mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo.
12Huaitak in tanghou silngou lak a pilvang ding in a sawlkei a. Pharisaite leh Saddukaite thulhilhna lak a pilvang ding in amau a sawl jaw chih a hon theita uh.
13Yesu alipofika pande za Kaisarea Filipi, aliwauliza wanafunzi wake, "Watu wanasema Mwana wa Mtu kuwa ni nani?"
13Huan, Jesu Philippi Kaisari uk a hongtun in a nungjuite kiang ah, Min Mihing Tapa kua ahi a chi ua? chi in, a dong a.
14Wakamjibu, "Wengine wanasema kuwa ni Yohane mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii."
14Huan, amau, Khenkhat in, Baptispa Johan ahi, a chi ua; khenkhat in, Elija ahi, a chi ua; khenkhat in, Jeremia hiam zawlnei kua hiam ahi, a chi uh, a chi ua.
15Yesu akawauliza, "Na ninyi je, mwasema mimi ni nani?"
15Aman tuh a kiang uah, A hihleh, nou kua ahi non chi ua? a chi a.
16Simoni Petro akajibu, "Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai."
16Huan, Simon Peter in, Kris Pathian Hing Tapa tuh na hi, a chi a, a dawng a.
17Yesu akasema, "Heri wewe Simoni mwana wa Yona, kwa maana si binadamu aliyekufunulia ukweli huu, ila Baba yangu aliye mbinguni.
17Huan, Jesun a kiang ah, Simon Bar-Jona, hampha chia; sa leh sisan in a hon theihsak na hikei a, ka Pa van a om in hon theihsak na hi zo ngal a.
18Nami nakwambia: wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala kifo chenyewe hakitaweza kulishinda.
18Huan, ka hon hilh ahi, nang Peter na hi, hiai suangpi tungah ka saptuam ka lamtou ding a, misi kho kulh kongkhakten huai a zoukei ding.
19Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni; kila utakachofunga duniani, kitafungwa pia mbinguni; kila utakachofungua duniani, kitafunguliwa pia mbinguni."
19Vangam tahbite ka hon pe ding a, leitung ah bangpeuh na hen vanah leng hen ahi ding a leitung ah bangpeuh na phel vanah leng phel ahi ding, a chi a.
20Kisha akawaonya wanafunzi wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo.
20Huai zoh in Kris ahi chih kuamah hilhlou ding in nungjuite tuh a chi bikbek a.
21Tangu wakati huo Yesu alianza kuwajulisha waziwazi wanafunzi wake: "Ni lazima mimi niende Yerusalemu, na huko nikapate mateso mengi yatakayosababishwa na wazee, makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Nitauawa, na siku ya tatu nitafufuliwa."
21Huai nungsiah tuh Jesun Jerusalem a a pai dingdan bang, upate, siampu lalte, laigelhmite lak a thil tampi a thuak dingdan bang, hihlup a a om dingdan bang, ni thum ni a kaihthoh a a om dingdan bang a nungjuite a theisak panta a.
22Hapo Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea: "Isiwe hivyo Bwana! Jambo hili halitakupata!"
22Huan, Peter in amah a pituamta a; Toupa, Hi hetkei hen! Huaite na tungah tung ngei hetkei hen! Chi in, a taihilh ta a.
23Lakini Yesu akageuka, akamwambia Petro, "Ondoka mbele yangu Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu. Mawazo yako si ya mungu bali ni ya kibinadamu!"
23Amah bel a kihei a, Peter kiang ah, Setan, ka nung ah pai in; kei a din pukna na hi; Pathian thilte ngaihtuahlou in mihing thilte na ngaihtuah jaw ahi, a chi a.
24Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Kama mtu yeyote anataka kuwa mfuasi wangu, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
24Huan, Jesun a nungjuite kiang ah, Kuapeuh in a hon zuih nop leh, amah gimthuak khawk salou in, a kros pua in hon zui heh.
25Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza;
25Kuapeuh a hin humbit ut in a tan ding a; kuapeuh keimah jiak a a hinna tanin a humbit ding.
26lakini mtu anayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu, atayapata. Je, mtu atafaidi nini akiupata utajiri wote wa ulimwengu na hali amepoteza maisha yake? Au, mtu atatoa kitu gani kiwe badala ya maisha yake?
26Min khovel a pum in nei henla, a hinna tan jel leh, amah a ding in bang a phatuam dia? A hihkeileh, min a hin sikin bang a pe thei a?
27Maana, Mwana wa Mtu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika wake, na hapo ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake.
27Mihing Tapa a angelte toh, a Pa thupina a kizem a a hongpai ding ziak in: huai chiang in mi chih a nasep bang bang un a din chiat ding.Chihtaktakin ka hon chi ahi, hiai a dingte a khen tuh, Mihing Tapa a gam a hongpai a muh ma siah uh, sihna chiamlou hial ding a om uh, a chi a.
28Kweli nawaambieni, wako wengine papahapa ambao hawatakufa kabla ya kumwona Mwana wa Mtu akija katika Ufalme wake."
28Chihtaktakin ka hon chi ahi, hiai a dingte a khen tuh, Mihing Tapa a gam a hongpai a muh ma siah uh, sihna chiamlou hial ding a om uh, a chi a.