Swahili: New Testament

Paite

Matthew

27

1Kulipopambazuka, makuhani wakuu wote na wazee wa watu walifanya mashauri juu ya Yesu wapate kumwua.
1Huan jingsang a hong hih in siampu liante leh vantang upate tengteng Jesu hihlum ding in a tung thu ah a kihou ua;
2Wakamfunga pingu, wakamchukua, wakamkabidhi kwa Pilato, mkuu wa mkoa.
2huan, a gak ua, a pi ua, gam ukpa Pilat kiang ah a peta ua.
3Hapo, Yuda ambaye ndiye aliyemsaliti, alipoona kwamba wamekwisha mhukumu Yesu, akajuta, akawarudishia makuhani wakuu zile sarafu thelathini za fedha.
3Huan, Juda a mansakpa'n Jesu siamlouh a tangsak uh chih a theih tak in a kisik a, dangka sawmthum tuh siampu liante leh upate kiang ah a hon tawi nawn a.
4Akawaambia, "Nimekosa kwa kumtoa mtu asiye na hatia auawe." Lakini wao wakasema, "Yatuhusu nini sisi? Hilo ni shauri lako."
4Mi dik sisan ka khot tuh thil ka na hihkhial ahi, a chi a. Amau tuh, Huai kou a ding in bang a khawk dia? Nang na lohloh loh in, a chihsan ua.
5Naye akazitupa zile fedha Hekaluni, akatoka nje, akaenda akajinyonga.
5Huan, aman tuh dangka tuh mun siangthou ah a pailut a, a paimang a; a va awklumta.
6Makuhani wakuu wakazichukua zile fedha, wakasema, "Haifai kuziweka katika hazina ya Hekalu kwa maana ni fedha za damu."
6Huan, siampu liante'n dangka tuh a la ua, Hiai thohlawm bawm a koih a siangkei, sisan man ahi ngal a, a chi ua.
7Basi, wakashauriana, wakazitumia kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni.
7Huchi in, a kihou ua, mikhualte vuina ding in belvelmi mun a leita uh.
8Ndiyo maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu.
8Huaizaik in ahi, huai mun tuh tutan a Sisan Mun a chih uh.
9Hivyo maneno ya nabii Yeremia yakatimia: "Walizichukua sarafu thelathini za fedha, thamani ya yule ambaye watu wa Israeli walipanga bei,
9Huan, jawlnei Jeremia in a na gen, Huan dangka sawmthum, amah man ding a Israel tate lak a kuate hiam in a sak uh tuh, a lata ua;
10wakanunua nazo shamba la mfinyanzi, kama Bwana alivyoniagiza."
10Toupa'n hon hilh bang in belvel mi mun man ding in a pia ua, chih a hong tangtungta.
11Yesu alisimamishwa mbele ya mkuu wa mkoa. Basi, mkuu wa mkoa akamwuliza, "Je, wewe ndiwe Mfalme wa Wayahudi?" Yesu akamwambia, "Wewe umesema."
11Huan, Jesu tuh gam ukpa ma ah a ding a. Huan, gam ukpa'n, Judate kumpipa na hi hia? chi in, a dong a. Huan, Jesu'n a kiang ah, Hi e, a chi a.
12Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.
12Huan, siampu liante leh upate'n a heklai un bangmah in a dawngkei a.
13Hivyo Pilato akamwuliza, "Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?"
13Huchi in, Pilat in a kiang ah, A hon hekna zouzai uh na za ka hia? a chi a.
14Lakini Yesu hakumjibu hata neno moja; hata huyo mkuu wa mkoa akashangaa sana.
14Huan, kamkhat lel in leng a dawngkei a; huchi in gam ukpa'n lamdang a sa mahmah a.
15Ilikuwa kawaida wakati wa Sikukuu ya Pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia Wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka.
15Huan, gam ukpa'n ankuanglui ni in mi henta khat, a deihdeih uh, mipite a ding in a pawtsak jel a.
16Wakati huo kulikuwa na mfungwa mmoja, jina lake Baraba.
16Huan, huailai in mi henta minthang, Barabba a chih uh a nei ua.
17Hivyo, watu walipokusanyika pamoja, Pilato akawauliza, "Mwataka nimfungue yupi kati ya wawili hawa, Baraba ama Yesu aitwae Kristo?"
17Huchi in, a hong kikhop un, Pilat in a kiang uah, Kua hon pawtsak leng na ut ua? Barabba hia, Jesu Kris kichi? a chi a.
18Alisema hivyo maana alijua wazi kwamba walimleta kwake kwa sababu ya wivu.
18Hajatna jiak in amah a mansak uh chih a thei ngal a.
19Pilato alipokuwa amekaa katika kiti cha hukumu, mke wake akampelekea ujumbe: "Usijitie katika shauri la mtu huyu mwema, maana leo nimeteseka sana katika ndoto kwa sababu yake."
19Huan, vaihawmna tutphah a a tutlai in, a ji in, Huai midik tungah bangmah hih ken, tuni in amah jiak in mang in thil tampi ka thuak ahi, chi in thu a khak a.
20Lakini makuhani wakuu na wazee wakawashawishi watu waombe Baraba afunguliwe na Yesu auawe.
20Huan, siampu liante leh upate'n Barabba nget a Jesu hih mangthat ding in, mipite a khem ua.
21Mkuu wa mkoa akawauliza, "Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka nimfungue?" Wakamjibu, "Baraba!"
21Gam ukpa'n bel amau a houpih a, Amau nihte a kua jaw hon pawtsak leng chi na hi ua? a chi nawn a.
22Pilato akawauliza, "Sasa, nifanye nini na Yesu aitwaye Kristo?" Wote wakasema, "Asulubiwe!"
22Huan, amau tuh, Barabba, a chi ua. Pilat in a kiang uah, Jesu Kris kichi, bang ka chihta dia le? a chi a. Avek un, Amah jaw kros ah kilhden in om heh, a chi ua.
23Pilato akauliza, "Kwa nini? Amefanya kosa gani?" Wao wakazidi kupaaza sauti: "Asulubiwe!"
23Huan, aman, Bang di'n maw? Bang a hihkhial a ahia? a chi a. Himahleh, amau tuh, Kros ah kilhden in om heh, chi in, a kikou vengvung ua.
24Basi, Pilato alipotambua kwamba hafanikiwi chochote na kwamba maasi yalikuwa yanaanza, alichukua maji, akanawa mikono mbele ya ule umati wa watu, akasema, "Mimi sina lawama juu ya kifo cha mtu huyu; shauri lenu wenyewe."
24Huchi in, Pilat in bangmah a hih theikei a, a hong buai deuhdeuh zo ding chih a theih in, tui a la a, mipite ma ah a khut a sil a, Hiai midik sisan ah ka siang e; noumau na lohloh loh un, a chi a.
25Watu wote wakasema, "Damu yake na iwe juu yetu na juu ya watoto wetu!"
25Huan, mipi tengteng in, A sisan jaw koumau tungah leh ka tate uh tungah om heh, chi in a dawng ua.
26Hapo Pilato akawafungulia Baraba kutoka gerezani, lakini akamtoa Yesu asulubiwe.
26Huaikhit in Barabba tuh a pawtsak a; Jesu bel a jep a, kros a kilhden ding in a peta a.
27Kisha askari wa mkuu wa mkoa wakamwingiza Yesu ndani ya ikulu, wakamkusanyikia kikosi kizima.
27Huai khit in, gam ukpa sepaite'n Jesu tuh inpi ah a pilut ua, a pawl ua mi tengteng a kiang ah a hongkhawm ua.
28Wakamvua nguo zake, wakamvika joho la rangi nyekundu.
28Huchi in, a puante khawng a suahsak ua, puan san a silhsak uhi.
29Kisha wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani, wakamwekea pia mwanzi katika mkono wake wa kulia. Wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki wakisema, "Shikamoo mfalme wa Wayahudi!"
29Huan, linglukhu a phan ua, a khusak ua, a khut taklam in sialluang a tawisak ua; a ma ah a khukdin ua, Chibai, Judate kumpipa, chi in nuihza bawlna'n a nei uh.
30Wakamtemea mate, wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani.
30Huan, amah chil a siat ua, sialluang a laksak ua, a lu ah a khen ua.
31Baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.
31Huan, nuihza bawlna dia a neih khit un, puan tuh a suah sak ua, amah puante tuh a silhsak nawn ua, kros a kilhden ding in a pita uh.
32Walipokuwa wakienda, wakamkuta mtu mmoja jina lake Simoni, mwenyeji wa Kurene, wakamlazimisha kuuchukua msalaba wake Yesu.
32Huan, a pai khiak lai un, Kurini khua a mi, a min Simon a mu ua; huai mi tuh a kros po ding in a man ua.
33Walipofika mahali paitwapo Golgotha, maana yake, "Mahali pa Fuvu la kichwa,"
33Huan, Golgotha kichi mun a hongtun un, (Luguh mun chihna a hi)
34wakampa mchanganyiko wa divai na nyongo. Lakini Yesu alipoonja akakataa kunywa.
34uain thuk, bangkhat kha toh hel, dawn ding in a pia ua, himahleh a chep tak in a dawn nuamkei a.
35Walimsulubisha, kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.
35Huan, kros a a kilhden khit un, aisan in a puansilh tuh a kihawm ua.
36Wakaketi, wakawa wanamchunga.
36Huan, huai ah a tu ua a vengta ua.
37Juu ya kichwa chake wakaweka shtaka dhidi yake lilioandikwa, "Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi."
37Huan, a hekna, HIAI JUDATE KUMPIPA JESU A HI, chia gelh, a lu tungah a suang uh.
38Wanyang'anyi wawili walisulubishwa pia pamoja naye, mmoja upande wa kushoto na mwingine upande wa kulia.
38Huan, amah toh, suamhat nih a kilhden lai ua, a taklam ah khat a veilam ah khat.
39Watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana wakitikisa vichwa vyao na kusema,
39Huan, mi vialvak peuh in a enghou ua,
40"Wewe! Si ulijidai kulivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu? Sasa jiokoe mwenyewe. Kama wewe ni Mwana wa Mungu, basi shuka msalabani!"
40a lu uh sinkhum a, Nang Pathian biakin hihsia a ni thum a lam nawnpa, kihihdam in; Pathian Tapa na hih leh kros a kipan hong kumsuk tanla, chi in.
41Hali kadhalika na makuhani wakuu pamoja na walimu wa Sheria na wazee walimdhihaki wakisema,
41Huchimah bang in siampu lalte'n, laigelhmite toh, enghou in,
42"Aliwaokoa wengine, lakini kujiokoa mwenyewe hawezi! Eti yeye ni mfalme wa Wayahudi! Basi, sasa na ashuke msalabani, nasi tutamwamini.
42Mi dang bawn a hihdam jel, amah leh amah kihihdam theilou pi in. Israelte kumpipa a hihngal leh tu in kros a kipan hong kum leh a kei dia, huchi in amah tuh i gingta mai ding.
43Alimtumainia Mungu na kusema eti yeye ni Mwana wa Mungu; basi, Mungu na amwokoe kama anamtaka."
43Pathian a muang na a ka, amah jaw, a ut leh tun ah hondam leh a ke; Pathian Tapa ka hi, a chi ngal a, a chi ua.
44Hali kadhalika na wale waliosulubiwa pamoja naye wakamtukana.
44Suamhat a kilhden un leng, huchimah bang in a enghou a.
45Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa, nchi yote ikawa katika giza.
45Huan dak gukna a kipan dak kua tan in khovel a hong mial vekta a.
46Mnamo saa tisa Yesu akalia kwa sauti kubwa, "Eli, Eli, lema sabakthani?" Maana yake, "Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?"
46Huan, dak kua ding khawng in, Jesu tuh ngaihtak in a kikou a, Eloi, Eloi, lama sabak thani? chi in, a kikoukhia a, huai tuh, Ka Pathian, ka Pathian bangdia hon paisan? chihna ahi.
47Lakini wale waliosimama pale waliposikia hivyo wakasema, "Anamwita Eliya."
47Huan, a kiang a ding khenkhatte'n huai a jak un, Hiai mi'n Elija sam ahi, a chi ua.
48Mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo, akaichovya katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe.
48Huan, a lak ua mi khat kintak in a taipah a, spanji a la a, uain thuk ah a diah dim a, chiang ah a suang a, a dawnsak tou a.
49Wengine wakasema, "Acha tuone kama Eliya anakuja kumwokoa."
49Huan, Midangte'n, Thudon dah un, amah lakhe ding in Elija a hong hiam i en ding a chi ua.
50Basi, Yesu akalia tena kwa sauti kubwa, akakata roho.
50Huan, Jesu tuh ngaihtak in a kikou nawn a, a kha a khahta a.
51Hapo pazia la Hekalu likapasuka vipande viwili, toka juu mpaka chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;
51Huan, ngai dih, Pathian biakin puanjak tuh a tunglam a kipan a nuailam tan in hong keksuakta a; huan, jin bang a hong ling a, suangpite a hong khangkham a; hante a hong kihong a;
52makaburi yakafunguka na watu wengi wa Mungu waliokufa wakafufuliwa;
52mi siangthou ihmusate sapum tampi leng kaihthoh in a omta ua;
53nao, baada ya kufufuka kwake, wakatoka makaburini, wakaingia katika Mji Mtakatifu, wakaonekana na watu wengi.
53huaite tuh, A thoh nawn nung in, han a pat hong pawt in kho siangthou ah a lut ua, mi tampi lak ah a kilakta ua.
54Basi, jemadari na wale waliokuwa wakimlinda Yesu walipoona tetemeko la ardhi na yale mambo yaliyotukia, wakaogopa sana, wakasema, "Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu."
54Huan, sepaih zaheutu leh a kiang a Jesu veng a omsamte'n, jinling leh thil omdante a muh un a lauta mahmah ua, Hiai mi Pathian Tapa ahi ngeingei, a chi ua.
55Mahali hapo walikuwapo wanawake wengi wakitazama kwa mbali. Hao ndio wale waliomfuata Yesu kutoka Galilaya wakimtumikia.
55Huan, huailai ah, numei tampi, a nasepsak kawm zel a Galili gam a kipan a hon juite a om ua, gamlapi ah a en ua;
56Miongoni mwao walikuwa Maria Magdalene, Maria mama yao Yakobo na Yosefu, pamoja na mama yao wana wa Zebedayo.
56huaite lak ah tuh Mari Magdalini, Mari Jakob leh Joseph nu, Zebedai tapate nute a om ua.
57Ilipokuwa jioni, akaja mtu mmoja tajiri mwenyeji wa Armathaya, jina lake Yosefu. Yeye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu.
57Huan, nitaklam a honghih in, mi hau, a min Joseph Arimathai khua a, a hongpaia, amah ngei leng Jesu nungjui ahi sam a;
58Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru apewe.
58Huai mi tuh Pilat kiangah a vahoh a, Jesu luang a ngen a. Huan, Pilatin pe dingin thu a pia a.
59Yosefu akauchukua ule mwili akauzungushia sanda safi ya kitani,
59Huchiin Joseph in a luang tuh a la a, puan malngat siangtakin a tuama,
60akauweka ndani ya kaburi lake jipya alilokuwa amelichonga katika mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango wa kaburi, akaenda zake.
60A han thak, suang khuakkuak ah a sial a; han kongkhak ah suang lian pi in a delh a, a paita.
61Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwa wameketi kulielekea kaburi.
61Huan, huai lai ah tuh Mari Magdalini leh Mari dang a om ua, han ma jawnah a tu ua.
62Kesho yake, yaani siku iliyofuata ile ya Maandalio, makuhani wakuu na Mafarisayo walimwendea Pilato,
62Huan, a jing in, huai tuh Kiginni jing ahi, siampu liante leh pharisaite Pialt kiang ah a om khawm kheukhou ua,
63Wakasema, "Mheshimiwa, tunakumbuka kwamba yule mdanganyifu alisema kabla ya kufa ati, Baada ya siku tatu nitafufuka.
63Pu huai mikhemhat in, a damlai in, Ni thum nung in ka thou nawn ding, a chih ka thei gige ua.
64Kwa hiyo amuru kaburi lilindwe mpaka siku ya tatu ili wanafunzi wake wasije wakamwiba na kuwaambia watu kwamba amefufuka. Uongo huu wa mwisho utakuwa mbaya kuliko ule wa awali."
64Huchi in han tuh ni thum ni tan a veng hoih ding in thu pia in; huchilou in jaw a nungjuite'n amah a va gu kha ding ua, vantang kiang ah, Misi lak a kipan a thou nawnta ahi, a chi kha ding uh; huchin khemna nanung jaw tuh a masa sang in a hoih keizo sem ding, a chi ua.
65Pilato akawaambia, "Haya, mnao walinzi; nendeni mkalinde kadiri mjuavyo."
65Pilat in a kiang uah, Vengmi sepaihte na nei ve ua oi; pai unla, na hihtheih bang un veng hoihsak ta unla, a chi a.Huchi innvengmi sepaihte toh a va hoh ua, han tuh a veng hoihsak ua, suang tuh achiamteh uh.
66Basi, wakaenda, wakalilinda kaburi, wakatia mhuri juu ya lile jiwe na kuacha hapo askari walinzi.
66Huchi innvengmi sepaihte toh a va hoh ua, han tuh a veng hoihsak ua, suang tuh achiamteh uh.