1Mimi Paulo, mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu, na ndugu Timotheo, ninakuandikia wewe Filemoni mpendwa, mfanyakazi mwenzetu
1Paula, Kris Jesu hentapa leh, I unaupa Timothi in. Ka deihtak leh ka sepgimpih uh Philemon kiang ah,
2na kanisa linalokutana nyumbani kwako, na wewe dada Afia, na askari mwenzetu Arkupo.
2Ka sanggamnu uh Apphia kiang ah, ka sepaih pih uh Arkipka kiangah, leh na ina saptuam kikhawmte kiang ah leng;
3Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana yesu Kristo.
3Pathian I Pa leh Toupa Jesu Kris kiang a kipan hehpihna leh lemna na kiang uah awm hen.
4Kila wakati ninaposali nakukumbuka wewe Filemoni, na kumshukuru Mungu
4Ka thumna peuh ah na min lou gige in, ka Pathian kiang ah kipahthu ka gen gige hi;
5maana nasikia habari za imani yako kwa Bwana wetu Yesu na upendo wako kwa watu wote wa Mungu.
5Toupa Jesu lamah leh misiangthou tengteng lam a itna leh ginna na neih tuh za in;
6Naomba ili imani hiyo unayoshiriki pamoja nasi ikuwezeshe kuwa na ujuzi mkamilifu zaidi wa baraka zote tunazopata katika kuungana kwetu na Kristo.
6Na ginna ki kawppihna, noumau a om thilhoih chiteng theih kimna lam ah, Kris lam a a hawng phattuam theihna ding in.
7Ndugu, upendo wako yameniletea furaha kubwa na kunipa moyo sana! Nawe umeichangamsha mioyo ya watu wa Mungu.
7Unaupa aw, nangmah ziak a misiangthoute lungtang a hawng halh tak ziakin na itna ah ka kipak in ka kha a muang mahmah hi.
8Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.
8Huaziakin, akilawm hun hih ding in nang thu hawnpiak Kris a kingap mahmah leng leng.
9Lakini kwa sababu ya upendo, ni afadhali zaidi nikuombe. Nafanya hivi ingawa mimi ni Paulo, balozi wa Kristo Yesu, na sasa pia mfungwa kwa ajili yake.
9Itna ziakin (Paul putek hial ka hi a, tun ah Kris Jesu hentapa leng kana hita na a) a nget in ka hon ngen zaw ahi:
10Basi, ninalo ombi moja kwako kuhusu mwanangu Onesimo, ambaye ni mwanangu katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni.
10Ka ta Onesima, kolbun kawm a ka neihkhiak amah a ding in na kiang ah ka ngetsak ahi.
11Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.
11Amah tuh tuma in nang a ding in a phatuam kei a, tun zaw kei leh nang a ding in a phatuam ta hi;
12Sasa namrudisha kwako, naye ni kama moyo wangu mimi mwenyewe.
12Amahtak, ka lungtang mahmah, na kiang ah ka hon sawl kik nawnta hi.
13Ningependa akae nami hapa anisaidie badala yako wakati niwapo kifungoni kwa sababu ya Habari Njema.
13Amahtuh tanchinhoih a kawl ka butna a nangmah sika na a hawn sepsak theihna ding in ka kianga awmsak niloh ka ut mahmah a;
14Lakini sitafanya chochote bila kibali chako. Sipendi kukulazimisha unisaidie, kwani wema wako unapaswa kutokana na hiari yako wewe mwenyewe na si kwa kulazimika.
14Himahleh, na hehpihna tuh hehpihsak teitei bang hilo in, na thuthu bang ahihtheih zawkna ding in, na thu lo in bangmah hih ka ut kei hi.
15Labda Onesimo aliondoka kwako kwa kitambo tu, kusudi uweze tena kuwa naye daima.
15Sawtlo kalnang a hawn khen tuh khantawn a amah na neih tawntung na gau ahi kha mai ding hi,
16Na sasa yeye si mtumwa tu, ila ni bora zaidi ya mtumwa: yeye ni ndugu yetu mpenzi. Na wa maana sana kwangu mimi, na kwako atakuwa wa maana zaidi kama mtumwa na kama ndugu katika Bwana.
16Himahleh sikha bang hinwnlo a, sikha sang a hoih unau deihtak bang zaw in; keia ding in deihtak ahi tuam a, nang a ding ngial in houh saah leh Toupa ah nak hihna zouzen inchia:
17Basi, ikiwa wanitambua mimi kuwa mwenzako, mpokee tena kama vile ungenipokea mimi mwenyewe.
17Huchi in, lawma na hawn sim leh, keimah bangin amah na na kipahpih in.
18Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.
18Huan, natung a thil banghiam a hihkhelh a, na banghiam khattou abat leh keimah bat in bawl in.
19Naandika jambo hili kwa mkono wangu mwenyewe: Mimi Paulo nitalipa! (Tena sina haja ya kusema kwamba wewe unalo deni kwangu la nafsi yako.)
19Kei Paul in keima khut ngeia ka gelh ahi. Kei mah in ka ditsak ding ahi; ka lak a nangmahngei in leng bat na neihsam dan hawn hilh zaw kahi kei hi.
20Haya, basi, ndugu yangu, nifanyie jambo hilo kwa ajili ya jina la Bwana; burudisha moyo wangu kama ndugu katika Kristo.
20Ahi, unaupa aw, nangmah ziakin Toupa ah ka kipahna hawn neisak inla, Kris ah leng ka lungtang hihhalh in.
21Naandika nikitumaini kwamba utanikubalia ombi langu; tena najua kwamba utafanya hata zaidi ya haya ninayokuomba.
21Ka gen sang a thupi zawtham in na hih ding chih ka theih ziakin, nawnna man gingta in na kiang ah ka gelh ahi.
22Pamoja na hayo, nitayarishie chumba kwani natumaini kwamba kwa sala zenu, Mungu atanijalia niwatembeleeni.
22Abang abang hileh, huaikia hih louin, tunna ding hawnna suktuah sak in; na thumnate uh ziakin na kiang ua piak ka hi ding chih ka kigingta ngal a.
23Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu, anakusalimu.
23Epaphra, Kris Jesu a ka hentakpih pan, chibai a hawn buk hi:
24Nao akina Marko, Aristarko, Dema na Luka, wafanyakazi wenzangu, wanakusalimu.
24ka naseppih Marka te, Aristarka te, Dema te, Luke ten leng huchibang mah in a honbuk uhi.I Toupa Jesu Kris hehpihna na kha toh om hen. Amen.
25Nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.
25I Toupa Jesu Kris hehpihna na kha toh om hen. Amen.