Swahili: New Testament

Paite

Revelation

16

1Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka Hekaluni ikiwaambia wale malaika saba, "Nendeni mkamwage mabakuli hayo saba ya ghadhabu ya Mungu duniani."
1Huan huai dantan sungnunga hongsuak aw thupiin, angel sagihte kianga, Kuan unla, leitungah Pathian hehna belhbu sagihte tuh sung khia un, a chih ka zata a.
2Basi, malaika wa kwanza akaenda akamwaga bakuli lake juu ya nchi. Mara madonda mabaya na ya kuumiza sana yakawapata wote waliokuwa na alama ya yule mnyama, na wale walioiabudu sanamu yake.
2Huan a masapen tuh a kuanta a, huan leitungah a belhbu a sung kheta a, huan huai gamsa chiamtehna neia, a lim bia, mite tungah tuh meima sia leh nain a hongsuakta hi.
3Kisha malaika wa pili akamwaga bakuli lake baharini. Nayo bahari ikawa damu tupu kama damu ya mtu aliyekufa, na viumbe vyote hai baharini vikafa.
3Huan a nihnapenin tuh a belhbu tuipi tungah a sung kheta a; huan misi si bangin sisan a hongsuakta a; huan tuipi sunga thil omte tan phain hinna nei peuhmah tuh a sita uhi.
4Malaika wa tatu akamwaga bakuli lake katika mito na chemchemi za maji, navyo vikageuka damu.
4Huan a thumnapenin a belhbu tuh luite lui tuikhukte tungah a sungkhe ta a; huan sisan a hongsuakta ua.
5Nikamsikia malaika msimamizi wa maji akisema, "Ewe mtakatifu, Uliyeko na uliyekuwako! Wewe ni mwenye haki katika hukumu hii uliyotoa.
5Huan tuite angelin, Nang omsa leh omlel, nang mi siangthou, hichi banga vai na hawmtak jiakin, na diktat hi:
6Maana waliimwaga damu ya watu wako na ya manabii, nawe umewapa damu wainywe; wamestahili hivyo!"
6Amau tuh misiangthoute leh jawlneite sisan a bung khia ua huan nang tuh a dawn ding un sisan tuh na pe ta ngala; hichi tuak ahi him uhi.
7Kisha nikasikia sauti madhabahuni ikisema, "Naam, Bwana Mungu Mwenye Uwezo! Hukumu zako ni za kweli na haki!"
7Huan maitamin, A hi, Toupa Pathian aw, Bangkimhihthei, na vaihawmte tuh a dikin a diktathuai hi, a chih ka zata hi.
8Kisha malaika wa nne akamwaga bakuli lake juu ya jua. Jua likapewa nguvu ya kuwachoma watu kwa moto wake.
8Huan a linapenin a belhbu tuh ni a sun khumta a; huan amah kiangah tuh mite meia hainat theihna piakin a omta hi.
9Basi, watu wakaunguzwa vibaya sana; wakamtukana Mungu aliye na uwezo juu ya mabaa hayo makubwa. Lakini hawakuziacha dhambi zao na kumtukuza Mungu.
9Huan a sata-sa mite tuh hainatin a omta ua; huan hichibang natnate tunga thilhihtheihna nei, Pathian min tuh a genseta ua; huan Pathian kianga thupina pe dingin a kisik tuan kei uhi.
10Kisha malaika wa tano akamwaga bakuli lake juu ya makao makuu ya yule mnyama. Giza likauvamia utawala wake, watu wakauma ndimi zao kwa sababu za maumivu,
10Huan a ngana-in a belhbu tuh gamsa laltutphah tungah a sungkheta a; huan a lalgam hihmialin a omta a; huan amau na a sa ua, a lei uh a keita uh,
11wakamtukana Mungu wa mbinguni kwa sababu ya maumivu yao na madonda yao. Lakini hawakuyaacha matendo yao mabaya.
11Huan a natna uh leh a meimate uh jiakin amau tuh vana Pathian a genseta ua; huan a thil hihte uah a kisik tuan kei uhi.
12Kisha malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa uitwao Eufrate. Maji yake yakakauka, na hivyo njia ilitengenezwa kwa ajili ya wafalme wa mashariki.
12Huan a guknain a belhbu tuh luipi, Euphrates lui tungah a sung kheta a; huan huaia tui a kang vekta a, huchia ni suahna lama kipan kumpipa hong dingte adia lampi bawlsaa a na om theihna dingin.
13Kisha nikaona pepo wabaya watatu walio kama vyura, wakitoka kinywani mwa yule joka, kinywani mwa yule mnyama, na kinywani mwa yule nabii wa uongo.
13Huan dragon kama kipanleh gamsa kama kipan leh, jawlnei taklou kama kipanin kha nin thum, ukeng bangmai tuh hongpai khia un ka muta a:
14Hawa ndio roho za pepo wafanyao miujiza. Ndio wanaokwenda kwa wafalme wa ulimwengu wote na kuwakusanya pamoja kwa ajili ya vita kuu Siku ile ya Mungu Mwenye Uwezo.
14Amau tuh dawite kha, thillamdang hihte; khovel pumpia kumpipate kianga hongte, Pathian Bangkimhihtheipa ni thupia kidouna adia amaute pi khawmte ahi uhi.
15"Sikiliza! Mimi naja kama mwizi! Heri mtu akeshaye na kuvaa nguo zake ili asije akaenda uchi huko na huko mbele ya watu."
15(Ngaiin, guta bang in ka hong pai ahi. Kiveng leh puan tengsaa a om tuh a hampha hi, huchilou in zaw vuaktangin a om dia; huan a zumhuaina a mu kha ding uh. )
16Basi, roho hao wakawakusanya hao wafalme mahali paitwapo kwa Kiebrania Harmagedoni.
16Huan amau tuh mun khat Hebru paua Armageddon kichi ah a pikhawmta uhi.
17Kisha malaika wa saba akamwaga bakuli lake hewani. Sauti kubwa ikasikika kutoka kwenye kiti cha enzi, Hekaluni, ikisema, "Mwisho umefika!"
17Huan a sagihnain a belhbu tuh huihkhua tungah a sung kheta a; huan laltutphah akipanin, dantan sungnung ah aw ngaihtak a hongsuak kheta a. Hihzoh ahi chiin:
18Kukatokea umeme, kelele, ngurumo na tetemeko kubwa la ardhi ambalo halijapata kutokea tangu Mungu alipomuumba mtu.
18Huan khophiate bang, awte bang, van-gingte bang a omta a; huan zinling thupi, huchi bang a thupi leh hat, leitunga mihing om nungsiah om lou tuh, a omta hi.
19Mji ule mkuu ukapasuliwa sehemu tatu, nayo miji ya mataifa ikateketea. Babuloni, mji mkuu, haukusahauliwa na Mungu. Aliunywesha kikombe cha divai ya ghadhabu yake kuu.
19Huan kho thupi tuh mun thumin a kikhenta a, huan namte khopite tuh a chimta ua; huan Babulon kho thupi Pathian mitmuhin theihgigein a omta hi, a hehna kihtakhuai uain nou tuh amah kiang a piak dingin.
20Visiwa vyote vikatoweka, nayo milima haikuonekena tena.
20Huan tuikulh gam chiteng tuh a tai mangta ua, huan tangsangte tuh muhin a omta kei hi.Huan gial thupi, a mal khat talent gika gik, van akipanin mite tungah a hongke sukta a; huan miten huai giala gawtna ziakin Pathian a genseta ua; huaia gawtna lah a thupi mahmah ngala.
21Mvua ya mawe makubwa yenye uzito wa kama kilo hamsini kila moja, ikawanyeshea watu. Nao wakamtukana Mungu kwa sababu ya mapigo ya mvua hiyo ya mawe. Naam, pigo la mvua hiyo ya mawe lilikuwa kubwa mno.
21Huan gial thupi, a mal khat talent gika gik, van akipanin mite tungah a hongke sukta a; huan miten huai giala gawtna ziakin Pathian a genseta ua; huaia gawtna lah a thupi mahmah ngala.