Swahili: New Testament

Paite

Romans

11

1Basi, nauliza: je, Mungu amewakataa watu wake? Hata kidogo! Mini binafsi ni Mwisraeli mzawa wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.
1Ahihleh, Pathianin a mite a pai khia ahia? Pai khelou hial. Kei leng Israel mi, Abraham suan, Benjamin nam ka hi ngala.
2Mungu hakuwakataa watu wake aliowateua tangu mwanzo. Mnakumbuka yasemavyo Maandiko Matakatifu juu ya Eliya wakati alipomnung'unikia Mungu kuhusu Israeli:
2Pathianin a mi a theihkholhte a pai khe kei hi. Laisiangthouin Elija thu a gen na theikei ua hia? Aman Israel mite tungthu Pathian kiangah a tuna,
3"Bwana, wamewaua manabii wako na kubomoa madhabahu yako. Ni mimi tu peke yangu niliyebaki, nao wanataka kuniua?"
3Toupa, na jawlneite a hihlum ua, na maitamte a hihchim ua; keimah kia nutsiatin ka om, kei leng honhihlup a hontum uhi, a chih.
4Je, Mungu alimjibu nini? Alimwambia: "Nimejiwekea elfu saba ambao hawakumwabudu Baali."
4Himahleh, Pathianin bangchin a dawnga? Baal maa khukdin ngeilou mi sang sagih keimah adingin ka hawi ahi, chiin, a dawng hi.
5Basi, ndivyo ilivyo pia wakati huu wa sasa: ipo idadi ya waliobaki ambao Mungu aliwateua kwa sababu ya neema yake.
5Huchibangin, tulaiin leng a sibang, hehpihna a tel a om.
6Uteuzi wake unatokana na neema yake, na si kwa sababu ya matendo yao. Maana, kama uteuzi wake ungetegemea matendo ya watu, neema yake haingekuwa neema tena.
6Hehpihnajiak a hih leh, nasep jiak a hita kei, huchi ahihkeileh, hehpihna tuh hehpihna a hita kei ding.
7Sasa, je? Watu wa Israeli hawakukipata kile walichokuwa wanakitafuta; lakini wote walioteuliwa walikipata. Wengine walipumbazwa,
7Bang chi a hita dia leh? Israel miten a zon uh a mu kei uh. Telten bel a mu uh, a dangte tengteng a nanggawpta uhi.
8kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Mungu ameifanya mioyo yao kuwa mizito, na mpaka leo hii hawawezi kuona kwa macho yao wala kusikia kwa masikio yao."
8Pathianin tuni tanin a kiang uah lusukna kha a pia a, muh theihlouhna mitte, jak theihlouhna bilte toh, chih gelh bangin.
9Naye Daudi anasema: "Karamu zao na ziwe mtego wa kuwanasa, waanguke na kuadhibiwa.
9Huan, Davidin, A dohkan uh amau adingin thang leh pial leh, pukna leh, phulakna honghi heh;
10Macho yao yatiwe giza wasiweze kuona. Migongo yao ipindike kwa taabu daima!"
10A theihlouhna ding un a mitte uh hongmial heh, nanga a nungjang uh kun sak gige in, a chi a.
11Basi, nauliza: je, Wayahudi wamejikwaa hata wakaangamia kabisa? Hata kidogo! Kutokana na kosa lao ukombozi umewajia watu wa mataifa mengine, ili Wayahudi wapate kuwaonea wivu.
11Ahihleh, a kisuih uh a kipuk denna ding uhia? Hilou hial ding. A puk jiak un Jentelte kiangah hotdamna a hong tungzota ahi, Israel mite hajat dingin.
12Kosa la Wayahudi limesababisha baraka nyingi kwa ulimwengu, na utovu wao kwa kiroho umeleta baraka nyingi kwa watu wa mataifa mengine. Basi, ni dhahiri zaidi kwamba utimilifu wao utasababisha baraka nyingi zaidi.
12Huchiin, a pukna u bawn khovel hihhauhsakna a hiha, a kiamna uh bawn Jentelte hauhsakna leng a hih leh, a buchin nawn na uh bangchi pheta hamphatna lianjawin a jui de aw!
13Basi, sasa nawaambieni ninyi watu wa mataifa mengine: Maadamu mimi nimekuwa mtume kwa watu wa mataifa mengine, ninajivunia huduma yangu,
13Huchiin, nou Jentelte kiangah ka gen ahi. Kei Jentelte kianga sawltak ka hih jiakin, ka nasepna pen ka pahtawi ahi,
14nipate kuwafanya wananchi wenzangu wawaonee ninyi wivu, na hivyo nipate kuwaokoa baadhi yao.
14Huchi-a ka chipihte ka hajat sak theih teiteina ding leh a lak ua khenkhatte ka hotdam theihna dingin.
15Maana ikiwa kukataliwa kwao kulisababisha ulimwengu upatanishwe na Mungu, itakuwaje wakati watakapokubaliwa na Mungu? Wafu watafufuka!
15Amau paih khiakna bawn khovel toh kituah nawn na ahihleh, amau deih nawn na ding sihna akipan hin nawna loungal bang ahi dia?
16Ikiwa kipande cha kwanza cha mkate kimewekwa wakfu, mkate wote umewekwa wakfu; mizizi ya mti ikiwa mizuri, na matawi yake huwa mazuri pia.
16Huan, gah masa thillat, tangbuang mek them a sianthou leh huchimah bangin a beupi a siangthou hi; huan, a zungpi a siangthou leh ahiangte leng huchi mahbang ahi uh.
17Naam, baadhi ya matawi ya mzeituni bustanini yalikatwa, na mahali pake tawi la mzeituni mwitu likapandikizwa. Ninyi watu wa mataifa mengine ndio hilo tawi la mzeituni mwitu; na sasa mnashiriki nguvu na utomvu wa mzeituni bustanini.
17Huan, ahiang khenkhat te hih tana a om in, nang, oliv taklou, amau laka phuhlutin na oma, oliv singa hauhna zung kikoppih sam na hih manin,
18Basi, msiwadharau wale waliokatwa kama matawi! Na, hata kama kuna la kujivunia, kumbukeni kwamba si ninyi mnaoitegemeza mizizi, bali mizizi ndiyo inayowategemeza ninyi.
18Hiang dangte lakah kisathei ken. Kisathei mahle chin, nang a zung vakpa na hi keia, huai a zung tuh nang honvakpa ahi jaw hi.
19Lakini utasema: "Matawi yalikatwa kusudi mimi nipandikizwe mahali pake."
19Huan, nang, Phutluta ka om theihna dingin hiangte hihtanin a om khinta vo oi, nachi dia.
20Sawa! Yalikatwa kwa sababu ya kukosa imani, bali wewe unasimama kwa imani yako. Lakini usijivune; ila uwe na tahadhari.
20Ahi, a gintak louhna jiak un hihtanin a om ua, nang na ginna jiakin na ding ahi, Uang kenla, lau jaw in:
21Kwa maana, ikiwa Mungu hakuwahurumia Wayahudi ambao ni kama matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe?
21Pathian in hiang taktepen bawn a hawi keingal leh, nang leng a honhawi tuan kei ding hi.
22Kumbuka, basi, jinsi Mungu alivyo mwema na mkali. Yeye ni mkali kwa wale walioanguka, na ni mwema kwako wewe ikiwa utaendelea katika wema wake; la sivyo, nawe pia utakatwa.
22Huchiin, Pathian hoihna leh a thukhauhna ngaihtuah i: a pukte adingin a thukhauhna; nang adingin bel a hoihna, hoihnaa na om gige leh; huchi a hihkeileh, nang leng sat khiakin na om sam ding.
23Nao Wayahudi, hali kadhalika; wakiacha utovu wao wa imani, watapandikizwa tena. Maana Mungu anao uwezo wa kuwapandikiza tena.
23Huan, amau leng, gingta loua a om nilouh kei uleh, phuhlutin a om ding uh; Pathian in amau a phutlut nawn thei ngala.
24Ninyi watu wa mataifa mengine, kwa asili ni kama tawi la mzeituni mwitu, lakini mmeondolewa huko, mkapandikizwa katika mzeituni bustanini mahali ambapo kwa asili si penu. Lakini, Wayahudi kwa asili ni kama mzeituni bustanini, na itakuwa jambo rahisi zaidi kwao kupandikizwa tena katika mti huohuo wao.
24Nang piandana oliv taklou akipana sat sup bawn, pian dan lou banga oliv sing hoiha phutluta na om leh, tua ahiang taktakte pen, amau oliv sing ngeingeiah phutlut ding nak hih natel unchia!
25Ndugu zangu, napenda mjue ukweli huu uliofichika msije mkajiona wenye akili sana. Ukaidi wa Wayahudi ulikuwa ni wa muda tu, mpaka watu wa mataifa mengine watakapokuwa wamemfikia Mungu.
25Unaute aw, hiai thuguk na theih louh uh ka ut keia, huchilou injaw na kipil sak ding uh: Jentelte buchinna a hongtun matan Israel mi khenkhatte tungah siatna a hongtung tadih ahi,
26Hapo ndipo taifa lote la Israeli litakapookolewa, kama yesemavyo Maandiko Matakatifu: "Mkombozi atakuja kutoka Sioni, atauondoa uovu wa Yakobo.
26Huchiin, Israel mi tengteng hotdamin a om ding uh; Zion akipanin Hondampa a hong suak dinga, Jakob kianga kipan Pathian limsaklouhna a hihmang ding;
27Hili ndilo agano nitakalofanya nao wakati nitakapoziondoa dhambi zao."
27Huan, hiai a kiang ua ka thu khun ding ahi, a khelhnate uh ka lakmang chiangin, chih gelh bangin.
28Kwa sababu wanaikataa Habari Njema, Wayahudi wamekuwa adui wa Mungu, lakini kwa faida yenu nyinyi watu wa mataifa. Lakini, kwa kuwa waliteuliwa, bado ni rafiki wa Mungu kwa sababu ya baba zao.
28Tanchin Hoih lam ngaihtuah in, nou jiakin melma ahi ua; tel thu lam ngaihtuahin bel a pipute uh jiakin deihtakte ahi uhi.
29Maana Mungu akisha wapa watu zawadi zake na kuwateua, hajuti kwamba amefanya hivyo.
29Pathianin a thilthawnpiak ah leh a sapna ah a lungsim a khel ngei kei hi.
30Hapo awali ninyi mlikuwa mmemwasi Mungu, lakini sasa mmepata huruma yake kutokana na kuasi kwao.
30Nidanglaiin Pathian thu na ging kei ua, himahleh tuin amau a gin louh jiak un zahngaihna na mu ngal ua.
31Hali kadhalika, kutokana na huruma mliyojaliwa ninyi, Wayahudi wanamwasi Mungu sasa ili nao pia wapokee sasa huruma ya Mungu.
31Huchi mahbangin, tuin, Pathian in nou a honhehpihna jiak a, zahngaihna a muh theihna ding un amau leng ging lou eita ve ua.
32Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi wao ili wapate kuwahurumia wote.
32Pathianin a hehpih vek theihna dingin mi tengteng ginlouhnaah a khum vekta ngala.
33Utajiri, hekima na elimu ya Mungu ni kuu mno! Huruma zake hazichunguziki, na njia zake hazieleweki! Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu:
33Pathian pilna leh theihna hauhdan thuk hina tele! A vaihawmnate theihtheih vual leh, a lampite sui theih vual hi keina tele!
34"Nani aliyepata kuyajua mawazo ya Bwana? Nani awezaye kuwa mshauri wake?
34Toupa lungsim kuan ahia thei? Kuan a vaihawm saka?
35Au, nani aliyempa yeye kitu kwanza hata aweze kulipwa tena kitu hicho?"
35A dit nawn dingin leng a kiangah kuan ahia thil pe masa?Amah akipan leh, amah jiak leh, amah adingin thil tengteng a hongom ahi ngal a; amah kiangah khantawnin thupina om hen. Amen.
36Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, vyote vipo kwa uwezo wake na kwa ajili yake. Utukufu na uwe kwake hata milele! Amina.
36Amah akipan leh, amah jiak leh, amah adingin thil tengteng a hongom ahi ngal a; amah kiangah khantawnin thupina om hen. Amen.