Swahili: New Testament

Paite

Romans

13

1Kila mtu anapaswa kuwatii wenye mamlaka katika serikali; maana mamlaka yote hutoka kwa Mungu; nao wenye mamlaka wamewekwa na Mungu.
1Mi chih a tung ua vaihawmte thuthuin om heh. Pathian thu louin kuamah vaihawm a om ngal kei ua; vaihawmmi-a omte Pathian seh ahi uh.
2Anayepinga mamlaka ya viongozi anapinga agizo la Mungu; nao wafanyao hivyo wanajiletea hukumu wenyewe,
2Huaijiakin, kuapeuh vaihawmmi sel tuh Pathian seh kalh ahi; a selten amau tungah vaihawmna a mu ding uhi.
3Maana, watawala hawasababishi hofu kwa watu wema, ila kwa watu wabaya. Basi, wataka usimwogope mtu mwenye mamlaka? Fanya mema naye atakusifu;
3Vaihawmmite thil hoih hihte dingin kihtakhuai ahi kei uhi; thil hoihlou hihte dingin bel kihtakhuai ahi uhi. Ahihleh, vaihawmmi kihtaloua om na ut uhia? Thil hoih hih le uchin a phat na loh ding uh;
4maana yeye ni mtumishi wa Mungu anayefanya kazi kwa faida yako. Lakini ukifanya mabaya, basi, huna budi kumwogopa, maana anao kweli uwezo wa kutoa adhabu. Yeye ni mtumishi wa Mungu na huitekeleza ghadhabu ya Mungu kwao watendao maovu.
4Amah tuh na hoihna dingua Pathian nasemmi ahi ngala. Himahleh, kihta un. temsau lah a mawk tawi ngal keia; amah Pathian nasemmi, thil hihkhial tunga heha phulami ahi ngal a.
5Kwa hiyo ni lazima kuwatii wenye mamlaka, si tu kwa sababu ya kuogopa ghadhabu ya Mungu, bali pia kwa sababu dhamiri inadai hivyo.
5Huaijiakin, Pathian hehna kihtakna jiak kia hilouin, na sia leh pha theihna jiakun leng vaihawmmi thuthuin na om ding him uh ahi.
6Kwa sababu hiyohiyo ninyi hulipa kodi; maana viongozi hao humtumikia Mungu ikiwa wanatimiza wajibu wao.
6Hiai jiakin siah leng na liau jel ve ua leh; huchibang thil ngei hih teitei dingin Pathian nasemmite ahi ngal ua.
7Mpeni kila mtu haki yake; mtu wa ushuru, ushuru; wa kodi, kodi; na astahiliye heshima, heshima.
7Mi tengteng kiangah piak ding peuhmah pia un; leiman piakna dingpa kiangah leiman pia unla, siah liauna dingpa kiangah siah liau unla; kihtak dingpa leng kihta unla; zahtak dingpa leng zahtak un.
8Msiwe na deni kwa mtu yeyote, isipokuwa tu deni la kupendana. Ampendaye jirani yake ameitekeleza Sheria.
8Kiittuahna loungal, kuamah bangmah ba kei un; amau mihinpih itpan dan a jui kimta ngal a.
9Maana, amri hizi: "Usizini; Usiue; Usitamani;" na nyingine zote, zimo katika amri hii moja: "Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."
9Hiaite, Angkawm ken, Tualthat ken, Gu ken, Eng ken chih leh, thupiak dang om nalai himhimte, Nangmah na kiit bangin na invengte na it ding hi, chihin a khaikhawm vek ngala.
10Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, kwa mapendo Sheria yote hutimizwa.
10Itna in innvengte a hihse ngeikei a; huaijiakin itna jaw dan zuih kimna ahi.
11Zaidi ya hayo, ninyi mnajua tumo katika wakati gani: sasa ndio wakati wa kuamka usingizini; naam, wokovu wetu u karibu zaidi sasa kuliko wakati ule tulipoanza kuamini.
11Huailou –in, tu bang hun ahia chih na thei ua, ihmu khanloh a hun mahmahta chih na thei uh. Tun jaw i gintak tung lai sangin i hotdamna a nai zota ngala;
12Usiku unakwisha na mchana unakaribia. Basi, tutupilie mbali mambo yote ya giza, tukajitwalie silaha za mwanga.
12Jan a bei dekdektaa, khua a vak dekta hi; huaijiakin miala thil hihte paiin vak thuamin i kithuam ding uh.
13Mwenendo wetu uwe wa adabu kama inavyostahili wakati wa mchana; tusiwe na ulafi na ulevi, uchafu na uasherati, ugomvi na wivu.
13Sun-a om bangin kilawm takin i om ding uh, zu dawn buai leh zu khama om louin, huk leh kingaihhata om louin, kilai leh kihajaa om louin.Toupa Jesu Krisin kithuam jaw inla, na sa duhgawlna uh pichin dingin bangmah kibawl kei un.
14Bwana Yesu Kristo awe vazi lenu; msishughulikie tena tamaa zenu za maumbile na kuziridhisha.
14Toupa Jesu Krisin kithuam jaw inla, na sa duhgawlna uh pichin dingin bangmah kibawl kei un.