Swahili: New Testament

Paite

Romans

3

1Basi, Myahudi ana nini zaidi kuliko watu wengine? Au kutahiriwa kuna faida gani?
1Ahihleh, Juda min hamphattuamna bang ahia a neih tuan? Zeksum leng bang ahi a phattuamna?
2Naam, iko faida kwa kila upande. Kwanza, Mungu aliwakabidhi Wayahudi ujumbe wake.
2Koi lam peuhah a phattuam hi; Pathian thute a kiang ua kep saka a om jiak ahi pen.
3Lakini itakuwaje iwapo baadhi yao hawakuwa waaminifu? Je, jambo hilo litaondoa uaminifu wa Mungu?
3Mi khenkhatten ginna neikei mahle uh, banga hi tuana eita? A gintak louhna un Pathian muanhuaidan bangmah louin a bawl tuan ahia?
4Hata kidogo! Mungu hubaki mwaminifu daima, ingawaje kila binadamu ni mwongo. Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Kila usemapo, maneno yako ni ya haki; na katika hukumu, wewe hushinda."
4Bawl tuan lou hial; Pathian tuh mi diktak hita hen, mi chih tuh juauthei hi uheh; Nang na thu genin siam na tan theia, vaihawm na omin leng na zoh theihna dingin, chih gelh bangin.
5Lakini, ikiwa uovu wetu unathibitisha kwamba Mungu anatenda kwa haki, tutasema nini? Je, tutasema kwamba anakosa haki akituadhibu? (Hapa naongea kibinadamu).
5Himahleh, i diktatlouhnain Pathian diktatna a hihlat hoih sem leh, bang i gen dia? Pathianin mi a gawtin, mi diktat lou ahi hia? (Mihing dan bangin ka gen a hi).
6Hata kidogo! Ingekuwa hivyo, Mungu angewezaje kuuhukumu ulimwengu?
6Hilouhial; huchibang hih leh, Pathianin khovel vai bangchin a hawm dia?
7Labda utasema: "Ikiwa ukosefu wa uaminifu kwa upande wangu unamdhihirisha Mungu kuwa mwaminifu zaidi na hivyo kumpatia utukufu, basi singepaswa kuhukumiwa kuwa mwenye dhambi!"
7Himahleh ka juauthu gen jiaka Pathian thu dikdan amah hihthupi khophiala a lat sem ngal leh, bangachia kei leng mi khial banga siamlouh tan saka om lai ka hia?
8Ni sawa na kusema: tufanye maovu ili tupate mema! Ndivyo wengine walivyotukashifu kwa kutushtaki kwamba tumefundisha hivyo. Watahukumiwa wanavyostahili!
8Bang a chi a (hon hek ua, mi khenkhatin gen louhpi hon gen sak bang un). Thil hoih a hongtun theihna dingin thil gilou i hih ding uh, chia i gen jawk louh? Huchibang miten huchibang tuh siamlouh a tan dik him uhi.
9Tuseme nini, basi? Je, sisi Wayahudi ni bora zaidi kuliko wengine? Hata kidogo! Kwa maana nimekwisha bainisha hapo mwanzoni kwamba Wayahudi na watu wa mataifa mengine wote wako chini ya utawala wa dhambi.
9Ahihleh amau sangin i hoih zo khol ua hia? Hoihzo lou hial; Judate leh Grikte khelhna sikhaa om vekin tumalamin leng i ngohta vele;
10Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Hakuna hata mmoja aliye mwadilifu!
10Kuamah mi diktat himhim om kei uh, khat lel leng om het kei uh;
11Hakuna mtu anayeelewa, wala anayemtafuta Mungu.
11Kuamah theisiam himhim om kei uh, kuamah Pathian zong himhim om kei uh.
12Wote wamepotoka wote wamekosa; hakuna atendaye mema, hakuna hata mmoja.
12A hilou lamah a pial khinta ua, bangmaha phatuam lou in a naom khin vek ua, kuamah thil hoih hih himhim a om kei uh, khat lel leng a om kei uh.
13Makoo yao ni kama kaburi wazi, ndimi zao zimejaa udanganyifu, midomoni mwao mwatoka maneno yenye sumu kama ya nyoka.
13A gawl uh han kihong ahia; a lei un khemna thu a gen ua. A kam sung uah gul gu a om hi.
14Vinywa vyao vimejaa laana chungu.
14A kam uh hamse lohna leh thu khain a dima.
15Miguu yao iko mbioni kumwaga damu,
15A khe uh sisan suah dingin a kin suan uhi;
16popote waendapo husababisha maafa na mateso;
16A lampi uah manthatna leh gimthuakna a om a;
17njia ya amani hawaijui.
17Khamuanna lampi leng a theikei uhi.
18Hawajali kabisa kumcha Mungu."
18A mit uah Pathian laudansiamna himhim a om kei, chih gelh bangin.
19Tunajua kwamba Sheria huwahusu walio chini ya Sheria hiyo, hata hawawezi kuwa na kisingizio chochote, na ulimwengu wote uko chini ya hukumu ya Mungu.
19Danin bangpeuh a gen, dan thuthua omte kiangah a gen ahi chi hi thei ngala; kam chiteng a chih theihna dingin leh khovela mi tengteng Pathian vaihawma a om theihna ding un.
20Maana hakuna binadamu yeyote anayekubaliwa kuwa mwadilifu mbele yake Mungu kwa kuishika Sheria; kazi ya Sheria ni kumwonyesha tu mtu kwamba ametenda dhambi.
20Huchiin, dan thil hih jiakin mi kuamah a mitmuhin siamtangin a om kei ding uh; dan jiakin khelhna theih kimna a hongom ahi ngala.
21Lakini sasa, njia ya Mungu ya kuwakubali watu kuwa waadilifu imekwisha dhihirishwa, tena bila kutegemea Sheria. Sheria na manabii hushuhudia jambo hili.
21Ahihhangin, tun bel dan leh jawlneite natheihsak Pathian dikna tuh dan tellou-a hihlatin a omta;
22Mungu huwakubali watu kuwa waadilifu kwa njia ya imani yao kwa Yesu Kristo; Mungu hufanya hivyo kwa wote wanaoamini; hakuna ubaguzi wowote.
22huai tuh Jesu Kris gintak jiaka, a gingtate tengteng adia Pathian diktatna ahi. Lamdanna himhim a om kei:
23Watu wote wametenda dhambi na wametindikiwa utukufu wa Mungu.
23mi tengtengin thil a hihkhelh ua, Pathian thupina a tan zohlouh nungun,
24Lakini kwa zawadi ya neema ya Mungu, watu wote hukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya Yesu Kristo anayewakomboa.
24Kris Jesu-a om tatna jiakin, a hehpihnaa a thawna siamtansakin a om uh;
25Mungu alimtoa Yesu kusudi, kwa damu yake, awe njia ya kuwaondolea watu dhambi zao kwa imani yao kwake. Alifanya hivyo ili apate kuonyesha kwamba yeye ni mwadilifu. Hapo zamani Mungu alikuwa mvumilivu bila kuzijali dhambi za watu;
25amah tuh a sisan jiaka thuphatawina hiin, ginnaa muh dingin Pathianin a luikheta. Hiai tuh Pathian dikna latsakna ding ahi, aman a dohtheihna jiaka nidanglai khelhnate a paikan tak jiakin;
26lakini sasa, wakati huu, anazikabili dhambi za watu apate kuonyesha uadilifu wake. Kwa namna hiyo Mungu mwenyewe huonyesha kwamba yeye ni mwadilifu na kwamba humkubali kuwa mwadilifu mtu yeyote anayemwamini Yesu.
26huan, amah ngei tuh a dika, chih leh Jesu-a ginna nei mi tuh siam a tangsak chih chetna dingin.
27Basi, tunaweza kujivunia nini? Hakuna! Kwa nini? Je, kwa sababu ya kutimiza Sheria? La! Bali kwa sababu tunaamini.
27Na otna uh koia om ahia leh? Posiahin a omta. Bang danin ahialeh? Thil hihna danin hia? Hi lou hial, ginna danin ahi jaw.
28Maana mtu hukubaliwa kuwa mwadilifu kwa imani, wala si kwa kutimiza matakwa ya Sheria.
28Huchiin, dan thilhih hi louin, ginnaa min siam tangin i sep uhi.
29Au je, Mungu nu Mungu wa Wayahudi tu, ama pia wa watu wa mataifa mengine? Naam, wa mataifa mengine pia.
29Pathian, Judate Pathian ka hia? Jentelte Pathian leng ahi sam ka hia? Hi e, Jentelte-a leng ahi.
30Mungu ni mmoja, naye atawakubali Wayahudi kuwa waadilifu kwa imani yao, na watu wa mataifa mengine pia kwa imani yao.
30Pathian khat kia a hih jiakin; huan, aman zeksumte a ginna jiakun, huan, zeksumlouhte a ginna jiakun siam a tangsak ding.Huchi a hih leh dan tuh bangmah louin i bawl ua hia? Bawl lou hial. Dan tuh i hihkip jaw uhi.
31Je, tunaitumia imani kuibatilisha Sheria? Hata kidogo; bali tunaipa Sheria thamani yake kamili.
31Huchi a hih leh dan tuh bangmah louin i bawl ua hia? Bawl lou hial. Dan tuh i hihkip jaw uhi.