1Sasa ndugu, napenda kuwakumbusha ile Habari Njema niliyowahubirieni nanyi mkaipokea na kusimama imara ndani yake.
1Şimdi, kardeşler, size bildirdiğim, sizin de kabul edip bağlı kaldığınız Müjdeyi anımsatmak istiyorum.
2Kwa njia yake mnaokolewa, ikiwa mnayazingatia maneno niliyowahubirieni, na kama kuamini kwenu hakukuwa bure.
2Size müjdelediğim söze sımsıkı sarılırsanız, onun aracılığıyla kurtulursunuz. Yoksa boşuna iman etmiş olursunuz.
3Mimi niliwakabidhi ninyi mambo muhimu sana ambayo mimi niliyapokea: kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na Maandiko Matakatifu;
3Aldığım bilgiyi size öncelikle ilettim: Kutsal Yazılar uyarınca Mesih günahlarımıza karşılık öldü, gömüldü ve Kutsal Yazılar uyarınca üçüncü gün ölümden dirildi.
4kwamba alizikwa, akafufuka siku ya tatu kama ilivyoandikwa;
5Kefasa, sonra Onikilere göründü.
5kwamba alimtokea Kefa, na baadaye aliwatokea wale kumi na wawili.
6Daha sonra da beş yüzden çok kardeşe aynı anda göründü. Bunların çoğu hâlâ yaşıyor, bazılarıysa öldüler.
6Kisha aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano kwa mara moja; wengi wao wanaishi bado, lakini baadhi yao wamekwisha kufa.
7Bundan sonra Yakupa, sonra bütün elçilere, son olarak zamansız doğmuş bir çocuğa benzeyen bana da göründü.
7Baadaye alimtokea Yakobo kisha akawatokea mitume wote.
9Ben elçilerin en önemsiziyim. Tanrının kilisesine zulmettiğim için elçi olarak anılmaya bile layık değilim.
8Baada ya wote, akanitokea hata mimi, mimi niliyekuwa kama mtu aliyezaliwa kabla ya wakati.
10Ama şimdi neysem, Tanrının lütfuyla öyleyim. Onun bana olan lütfu boşa gitmedi. Elçilerin hepsinden çok emek verdim. Aslında ben değil, Tanrının bende olan lütfu emek verdi.
9Maana mimi ni mdogo kabisa miongoni mwa mitume na wala sistahili kuitwa mtume, kwa sababu nililidhulumu kanisa la Mungu.
11İşte, gerek benim yaydığım, gerek öbür elçilerin yaydığı ve sizin de iman ettiğiniz bildiri budur.
10Lakini, kwa neema yake Mungu, nimekuwa kama nilivyo. Na neema yake kwangu haikuwa bure. Mimi nimefanya kazi kuliko wote; si mimi hasa, ila ni neema ya Mungu ifanyayo kazi pamoja nami.
12Eğer Mesihin ölümden dirildiği duyuruluyorsa, nasıl oluyor da aranızda bazıları ölüler dirilmez diyor?
11Lakini hata hivyo, iwe wao ndio wahubirio au mimi nihubiriye, haidhuru, hiki ndicho tunachuhubiri, na hiki ndicho mnachoamini.
13Ölüler dirilmezse, Mesih de dirilmemiştir.
12Sasa, maadam inahubiriwa kwamba Kristo amefufuliwa kutoka wafu, baadhi yenu wanawezaje kusema kwamba hakuna ufufuo wa wafu?
14Mesih dirilmemişse, bildirimiz de imanınız da boştur.
13Kama hakuna ufufuo wa wafu, basi, Kristo naye hakufufuka;
15Bu durumda Tanrıyla ilgili tanıklığımız da yalan demektir. Çünkü Tanrının, Mesihi dirilttiğine tanıklık ettik. Ama ölüler gerçekten dirilmezse, Tanrı Mesihi de diriltmemiştir.
14na kama Kristo hakufufuka, basi mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana.
16Ölüler dirilmezse, Mesih de dirilmemiştir.
15Zaidi ya hayo sisi tungekuwa mashahidi wa uongo mbele ya Mungu, maana tulisema kwamba Mungu alimfufua Kristo kutoka wafu na kumbe yeye hakumfufua--kama ni kweli kwamba wafu hawafufuliwi.
17Mesih dirilmemişse imanınız yararsızdır, siz de hâlâ günahlarınızın içindesiniz.
16Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka.
18Buna göre Mesihe ait olarak ölmüş olanlar da mahvolmuşlardır.
17Na kama Kristo hakufufuliwa, basi, imani yenu ni ya bure; mngali bado katika dhambi zenu.
19Eğer yalnız bu yaşam için Mesihe umut bağlamışsak, herkesten çok acınacak durumdayız.
18Zaidi ya hayo, wale wote waliokufa wakiwa wameungana na Kristo wamepotea kabisa.
20Oysa Mesih, ölmüş olanların ilk örneği olarak ölümden dirilmiştir.
19Kama matumaini yetu katika Kristo yanahusu tu maisha haya ya sasa, basi, sisi ni watu wa kusikitikiwa zaidi kuliko wengine wote duniani.
21Ölüm bir insan aracılığıyla geldiğine göre, ölümden diriliş de bir insan aracılığıyla gelir.
20Lakini ukweli ni kwamba Kristo amefufuliwa kutoka wafu, limbuko lao wale waliolala katika kifo.
22Herkes nasıl Ademde ölüyorsa, herkes Mesihte yaşama kavuşacak.
21Maana kama vile kifo kilivyoletwa duniani na mtu mmoja, vivyo hivyo nako kufufuka kutoka wafu kumesababishwa na mtu mmoja.
23Her biri sırası gelince dirilecek: İlk örnek olarak Mesih, sonra Mesihin gelişinde Mesihe ait olanlar.
22Kama vile watu wote wanavyokufa kwa kujiunga na Adamu, vivyo hivyo wote watafufuliwa kwa kuungana na Kristo.
24Bundan sonra Mesih her yönetimi, her hükümranlığı, her gücü ortadan kaldırıp egemenliği Baba Tanrıya teslim ettiği zaman son gelmiş olacak.
23Lakini kila mmoja kwa mpango wake: Kristo kwanza, halafu wale walio wake Kristo wakati Kristo atakapokuja.
25Çünkü Tanrı bütün düşmanlarını ayakları altına serinceye dek Onun egemenlik sürmesi gerekir.
24Baada ya hayo, mwisho utafika wakati ambapo Kristo atamkabidhi Mungu Baba Utawala, baada ya kufutilia mbali kila tawala na mamlaka na nguvu.
26Ortadan kaldırılacak son düşman ölümdür.
25Maana Kristo sharti atawale mpaka Mungu atakapowashinda adui zake na kuwaweka chini ya miguu yake.
27Çünkü, ‹‹Tanrı her şeyi Mesihin ayakları altına sererek Ona bağımlı kıldı.›› ‹‹Her şey Ona bağımlı kılındı›› sözünün, her şeyi Mesihe bağımlı kılan Tanrıyı içermediği açıktır.
26Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo.
28Her şey Oğula bağımlı kılınınca, Oğul da her şeyi kendisine bağımlı kılan Tanrıya bağımlı olacaktır. Öyle ki, Tanrı her şeyde her şey olsun.
27Maana, Maandiko yasema: "Mungu ameweka vitu vyote chini ya miguu yake." Lakini, Maandiko yanaposema: "Vitu vyote vimewekwa chini ya miguu yake avitawale" ni dhahiri kwamba Mungu haingii katika kundi hilo la vitu, maana yeye ndiye anayeviweka vitu hivyo chini ya Kristo.
29Diriliş yoksa, ölüler için vaftiz edilenler ne olacak? Ölüler gerçekten dirilmeyecekse, insanlar neden ölüler için vaftiz ediliyorlar?
28Lakini vitu vyote vitakapowekwa chini ya Utawala wa Kristo, ndipo naye Mwana atakapojiweka chini ya Mungu, aliyeweka vyote chini ya Utawala wake; ili Mungu atawale juu ya vyote.
30Biz de neden her saat kendimizi tehlikeye atıyoruz?
29Kama hakuna ufufuo, je watu wale wanaobatizwa kwa ajili ya wafu wanatumainia kupata nini? Kama wafu hawafufuliwi, ya nini kubatizwa kwa ajili yao?
31Kardeşler, sizinle ilgili olarak Rabbimiz Mesih İsada sahip olduğum övüncün hakkı için her gün ölüyorum.
30Na sisi, ya nini kujitia hatarini kila saa?
32Eğer insansal nedenlerle Efeste canavarlarla dövüştümse, bunun bana yararı ne? Eğer ölüler dirilmeyecekse, ‹‹Yiyelim içelim, nasıl olsa yarın öleceğiz.››
31Ndugu, mimi nakikabili kifo kila siku! Fahari niliyo nayo juu yenu katika kuungana na Kristo Yesu Bwana wetu inanifanya nitangaze jambo hili.
33Aldanmayın, ‹‹Kötü arkadaşlıklar iyi huyu bozar.››
32Kama kusudi langu lingalikuwa la kibinadamu tu, kule kupigana kwangu na wanyama wakali hapa Efeso kungalinifaa kitu gani? Kama wafu hawafufuki, basi, "Tule na tunywe, maana kesho tutakufa."
34Uslanıp kendinize gelin, artık günah işlemeyin. Bazılarınız Tanrıyı hiç tanımıyor. Utanasınız diye söylüyorum bunları.
33Msidanganyike! Urafiki mbaya huharibu tabia njema.
35Ama biri çıkıp, ‹‹Ölüler nasıl dirilecek? Nasıl bir bedenle gelecekler?›› diye sorabilir.
34Amkeni! Anzeni kuishi vema, na acheni kutenda dhambi. Baadhi yenu hawamjui Mungu kabisa. Hii nawaambieni, ni aibu kubwa kwenu!
36Ne akılsızca bir soru! Ektiğin tohum ölmedikçe yaşama kavuşmaz ki!
35Lakini mtu anaweza kuuliza: "Wafu watafufuliwaje? Watakuwa na mwili wa namna gani wakati watakapokuja tena?"
37Ekerken, oluşacak bitkinin kendisini değil, yalnızca tohumunu -buğday ya da başka bir bitkinin tohumunu- ekersin.
36Hayo ni maswali ya kijinga! Ukipanda mbegu, isipokufa kwanza haitaota.
38Tanrı tohuma dilediği bedeni -her birine kendine özgü bedeni- verir.
37Unachopanda ni mbegu tu, labda ya ngano au nafaka nyingine, na si mmea mzima ambao hutokea baadaye.
39Her canlının eti aynı değildir. İnsan eti başka, hayvan eti başka, kuş eti, balık eti başka başkadır.
38Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee.
40Göksel bedenler vardır, dünyasal bedenler vardır. Göksel olanların görkemi başka, dünyasal olanlarınki başkadır.
39Miili ya viumbe vyote si sawa. Miili ya binadamu ni ya namna moja, ya wanyama ni ya namna nyingine, ya ndege ni ya namna nyingine na miili ya samaki pia ni ya namna nyingine.
41Güneşin görkemi başka, ayın görkemi başka, yıldızların görkemi başkadır. Görkem bakımından yıldız yıldızdan farklıdır.
40Iko miili ya mbinguni na miili ya duniani; uzuri wa miili ya mbinguni ni mwingine, na na uzuri wa miili ya duniani ni mwingine.
42Ölülerin dirilişi de böyledir. Beden çürümeye mahkûm olarak gömülür, çürümez olarak diriltilir.
41Uko uzuri wa jua, wa mwezi na wa nyota; hata nyota nazo huhitilafiana kwa uzuri.
43Düşkün olarak gömülür, görkemli olarak diriltilir. Zayıf olarak gömülür, güçlü olarak diriltilir.
42Ndivyo ilivyo kuhusu ufufuo wa wafu. Kama vile mbegu, mwili huzikwa ardhini ukiwa katika hali ya kuharibika, lakini hufufuliwa katika hali ya kutoharibika.
44Doğal beden olarak gömülür, ruhsal beden olarak diriltilir. Doğal beden olduğu gibi, ruhsal beden de vardır.
43Huzikwa katika hali duni, hufufuliwa katika hali tukufu; huzikwa katika hali dhaifu, hufufuliwa ukiwa wenye nguvu.
45Nitekim şöyle yazılmıştır: ‹‹İlk insan Adem yaşayan can oldu.›› Son Ademse yaşam veren ruh oldu.
44Unapozikwa ni mwili wa kawaida, unapofufuliwa ni mwili wa kiroho. Kuna mwili wa kawaida na kutakuwa na mwili wa kiroho.
46Önce ruhsal olan değil, doğal olan geldi. Ruhsal olan sonra geldi.
45Maana Maandiko yasema: "Mtu wa kwanza, Adamu, alikuwa kiumbe mwenye uhai;" lakini adamu wa mwisho ni Roho awapaye watu uzima.
47İlk insan yerden, yani topraktandır. İkinci insan göktendir.
46Lakini unaotangulia kuwako si ule mwili wa kiroho, ila ule mwili wa kawaida kisha ule mwili wa kiroho.
48Topraktan olan insan nasılsa, topraktan olanlar da öyledir. Göksel insan nasılsa, göksel olanlar da öyledir.
47Adamu wa kwanza aliumbwa kwa udongo, alitoka ardhini; mtu wa pili alitoka mbinguni.
49Bizler topraktan olana nasıl benzediysek, göksel olana da benzeyeceğiz.
48Wote walio wa dunia wako kama huyo mtu aliyeumbwa kwa udongo; wale walio wa mbinguni wako kama yule aliyetoka mbinguni.
50Kardeşler, şunu demek istiyorum, et ve kan Tanrının Egemenliğini miras alamaz. Çürüyen de çürümezliği miras alamaz.
49Kama vile tulivyofanana na yule aliyeumbwa kwa udongo, vivyo hivyo tutafanana na huyohuyo aliyetoka mbinguni.
51İşte size bir sır açıklıyorum. Hepimiz ölmeyeceğiz; son borazan çalınınca hepimiz bir anda, göz açıp kapayana dek değiştirileceğiz. Evet, borazan çalınacak, ölüler çürümez olarak dirilecek, ve biz de değiştirileceğiz.
50Basi, ndugu, nasema hivi: kile kilichofanywa kwa mwili na damu hakiwezi kuushiriki Ufalme wa Mungu; na chenye kuharibika hakiwezi kuwa na hali ya kutoharibika.
53Çünkü bu çürüyen beden çürümezliği, bu ölümlü beden ölümsüzlüğü giyinmelidir.
51Sikilizeni, nawaambieni siri: sisi hatutakufa sote, ila sote tutageuzwa
54Çürüyen ve ölümlü beden çürümezliği ve ölümsüzlüğü giyinince, ‹‹Ölüm yok edildi, zafer kazanıldı!›› diye yazılmış olan söz yerine gelecektir.
52wakati wa mbiu ya mwisho, kwa nukta moja, kufumba na kufumbua. Maana mbiu itakapolia, wafu watafufuliwa katika hali ya kutoweza kufa tena, na sisi tutageuzwa.
55‹‹Ey ölüm, zaferin nerede? Ey ölüm, dikenin nerede?››
53Maana ni lazima kila kiharibikacho kijivalie hali ya kutoharibika, mwili uwezao kufa ujivalie hali ya kutokufa.
56Ölümün dikeni günahtır. Günah ise gücünü Kutsal Yasadan alır.
54Basi, mwili huu wenye kuharibika utakapojivalia hali ya kutoharibika, na kile chenye kufa kitakapojivalia hali ya kutokufa, hapo ndipo litakapotimia lile neno lililoandikwa: "Kifo kimeangamizwa ushindi umekamilika!"
57Rabbimiz İsa Mesih aracılığıyla bizi zafere ulaştıran Tanrıya şükürler olsun!
55"Kifo, ushindi wako uko wapi? Uwezo wako wa kuumiza uko wapi?"
58Bu nedenle, sevgili kardeşlerim, Rab yolunda verdiğiniz emeğin boşa gitmeyeceğini bilerek dayanın, sarsılmayın, Rab'bin işinde her zaman gayretli olun.
56Ukali wa kifo hutokana na dhambi, nayo dhambi hupata nguvu yake katika Sheria.
57Lakini tumshukuru Mungu anayetupatia ushindi kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.
58Basi, ndugu zangu wapenzi, simameni imara na thabiti. Endeleeni daima kuwa na bidii katika kazi ya Bwana, mkijua kwamba kazi mnayofanya katika utumishi wa Bwana haitapotea bure.