1Wapenzi wangu, msimsadiki kila mtu asemaye kwamba ana Roho wa Mungu, bali chunguzeni kwa makini kama huyo mtu anaongozwa na Roho wa Mungu au la, Maana manabii wengi wa uongo wamezuka ulimwenguni.
1Sevgili kardeşlerim, her ruha inanmayın. Tanrıdan olup olmadıklarını anlamak için ruhları sınayın. Çünkü birçok sahte peygamber dünyanın her yanına yayılmış bulunuyor.
2Hii ndiyo njia ya kujua kama mtu anaongozwa na Roho wa Mungu: Kila anayekiri kwamba Kristo alikuja, akawa binadamu, mtu huyo anaye Roho wa Mungu.
2İsa Mesihin beden alıp dünyaya geldiğini kabul eden her ruh Tanrıdandır. Tanrının Ruhunu bununla tanıyacaksınız.
3Lakini mtu yeyote asiyemkiri Kristo hivyo, hana huyo Roho atokaye kwa Mungu. Mtu huyo ana roho ambaye ni wa Adui wa Kristo; nanyi mlikwisha sikia kwamba anakuja, na sasa tayari amekwisha wasili ulimwenguni!
3İsayı kabul etmeyen hiçbir ruh Tanrıdan değildir. Böylesi, Mesih Karşıtının ruhudur. Onun geleceğini duydunuz. Zaten o şimdiden dünyadadır.
4Lakini ninyi, watoto, ni wake Mungu na mmekwisha washinda hao manabii wa uongo; maana Roho aliye ndani yenu ana nguvu zaidi kuliko roho aliye ndani ya hao walio wa ulimwengu.
4Yavrularım, siz Tanrıdansınız ve sahte peygamberleri yendiniz. Çünkü sizde olan, dünyadakinden üstündür.
5Wao husema mambo ya ulimwengu, nao ulimwengu huwasikiliza kwani wao ni wa ulimwengu.
5Sahte peygamberler dünyadandır. Bu nedenle söyledikleri sözler de dünyadandır ve dünya onları dinler.
6Lakini sisi ni wake Mungu. Mtu anayemjua Mungu hutusikiliza, mtu asiye wa Mungu hatusikilizi. Basi, kwa njia hiyo tunaweza kutambua tofauti kati ya Roho wa ukweli na roho wa uongo.
6Bizse Tanrıdanız; Tanrıyı tanıyan bizi dinler, Tanrıdan olmayan dinlemez. Gerçeğin Ruhuyla yalan ruhunu böyle ayırt ederiz.
7Wapenzi wangu, tupendane, maana upendo hutoka kwa Mungu. Kila mtu aliye na upendo ni mtoto wa Mungu, na anamjua Mungu.
7Sevgili kardeşlerim, birbirimizi sevelim. Çünkü sevgi Tanrıdandır. Seven herkes Tanrıdan doğmuştur ve Tanrıyı tanır.
8Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo.
8Sevmeyen kişi Tanrıyı tanımaz. Çünkü Tanrı sevgidir.
9Na Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanae wa pekee ulimwenguni, ili tuwe na uzima kwa njia yake.
9Tanrı biricik Oğlu aracılığıyla yaşayalım diye Onu dünyaya gönderdi, böylece bizi sevdiğini gösterdi.
10Hivi ndivyo upendo ulivyo: si kwamba sisi tulikuwa tumempenda Mungu kwanza, bali kwamba yeye alitupenda hata akamtuma Mwanae awe sadaka ya kutuondolea dhambi zetu.
10Tanrıyı biz sevmiş değildik, ama O bizi sevdi ve Oğlunu günahlarımızı bağışlatan kurban olarak dünyaya gönderdi. İşte sevgi budur.
11Wapenzi wangu, ikiwa Mungu alitupenda hivyo, basi, nasi tunapaswa kupendana.
11Sevgili kardeşlerim, Tanrı bizi bu kadar çok sevdiğine göre biz de birbirimizi sevmeye borçluyuz.
12Hakuna mtu aliyekwisha mwona Mungu kamwe; lakini kama tukipendana Mungu anaishi katika muungano nasi, na upendo wake unakamilika ndani yetu.
12Hiç kimse hiçbir zaman Tanrıyı görmüş değildir. Ama birbirimizi seversek, Tanrı içimizde yaşar ve sevgisi içimizde yetkinleşmiş olur.
13Tunajua kwamba tunaishi katika umoja na Mungu, naye Mungu anaishi katika umoja nasi, kwani yeye ametupa Roho wake.
13Tanrıda yaşadığımızı ve Onun bizde yaşadığını bize kendi Ruhundan vermiş olmasından anlıyoruz.
14Sisi tumeona na kuwaambia wengine kwamba Baba alimtuma Mwanae awe Mwokozi wa ulimwengu.
14Babanın Oğlunu dünyanın Kurtarıcısı olarak gönderdiğini gördük, şimdi buna tanıklık ediyoruz.
15Kila mtu anayekiri kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu anaishi katika muungano na mtu huyo, naye anaishi katika muungano na Mungu.
15Kim İsanın Tanrının Oğlu olduğunu açıkça kabul ederse, Tanrı onda yaşar, o da Tanrıda yaşar.
16Basi, sisi tunajua na tunaamini upendo alio nao Mungu kwetu sisi. Mungu ni upendo, na kila mtu aishiye katika upendo, anaishi katika muungano na Mungu, na Mungu anaishi katika muungano naye.
16Tanrının bize olan sevgisini tanıdık ve buna inandık. Tanrı sevgidir. Sevgide yaşayan Tanrıda yaşar, Tanrı da onda yaşar.
17Upendo umekamilika ndani yetu kusudi tuweze kuwa na ujasiri Siku ile ya Hukumu; kwani maisha yetu hapa duniani ni kama yale ya Kristo.
17Yargı gününde cesaretimiz olsun diye sevgi böylelikle içimizde yetkin kılınmıştır. Çünkü Mesih nasılsa, biz de bu dünyada öyleyiz.
18Palipo na upendo hapana uoga; naam, upendo kamili hufukuza uoga wote. Basi, mtu mwenye uoga hajakamilika bado katika upendo, kwani uoga huhusikana na adhabu.
18Sevgide korku yoktur. Tersine, yetkin sevgi korkuyu siler atar. Çünkü korku işkencedir. Korkan kişi sevgide yetkin kılınmamıştır.
19Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.
19Bizse seviyoruz, çünkü önce O bizi sevdi.
20Mtu akisema kwamba anampenda Mungu, hali anamchukia ndugu yake, huyo ni mwongo. Maana mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hamwoni.
20‹‹Tanrıyı seviyorum›› deyip de kardeşinden nefret eden yalancıdır. Çünkü gördüğü kardeşini sevmeyen, görmediği Tanrıyı sevemez.
21Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.
21‹‹Tanrı'yı seven kardeşini de sevsin›› diyen buyruğu Mesih'ten aldık.