1Kumbuka kwamba, katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu.
1Şunu bil ki, son günlerde çetin anlar olacaktır.
2watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana Mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu;
2İnsanlar kendilerini seven, para düşkünü, övüngen, kibirli, küfürbaz, anne baba sözü dinlemez, nankör, kutsallıktan ve sevgiden yoksun, uzlaşmaz, iftiracı, özünü denetleyemeyen, azgın, iyilik düşmanı olacaklar.
3watatokea watu wasio na upendo moyoni, wasio na huruma, wachongezi, walafi na wakali; watachukia chochote kilicho chema;
4Hain, aceleci, kendini beğenmiş, Tanrıdan çok eğlenceyi seven, Tanrı yolundaymış gibi görünüp bu yolun gücünü inkâr edenler olacaklar. Böylelerinden uzak dur.
4watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.
6Bunların arasında evlerin içine sokulup günahla yüklü, çeşitli arzularla sürüklenen, her zaman öğrenen, ama gerçeğin bilgisine bir türlü erişemeyen zayıf iradeli kadınları adeta tutsak eden adamlar var.
5Kwa nje wataonekana kama watu wenye kumcha Mungu, lakini wataikana nguvu yake. Jiepushe kabisa na watu wa namna hiyo.
8Yannisle Yambris nasıl Musaya karşı geldilerse, bunlar da gerçeğe karşı gelirler. Düşünceleri yozlaşmış, iman konusunda reddedilmiş insanlardır.
6Baadhi yao huenda katika nyumba za watu na huwateka wanawake dhaifu waliolemewa mizigo ya dhambi na ambao wanaongozwa na tamaa za kila aina;
9Ama daha ileri gidemeyecekler. Çünkü Yannisle Yambris örneğindeki gibi, bunların da akılsızlığını herkes açıkça görecektir.
7wanawake ambao wanajaribu daima kujifunza lakini hawawezi kuufikia ujuzi wa huo ukweli.
10Sense benim öğretimi, davranışımı, amacımı, imanımı, sabrımı, sevgimi, dayanma gücümü, çektiğim zulüm ve acıları, örneğin Antakyada, Konyada ve Listrada başıma gelenleri yakından izledin. Ne zulümlere katlandım! Ama Rab beni hepsinden kurtardı.
8Watu hao huupinga ukweli kama vile Yane na Yambre walivyompinga Mose.
12Mesih İsaya ait olup Tanrı yoluna yaraşır bir yaşam sürmek isteyenlerin hepsi zulüm görecek.
9Lakini hawataweza kuendelea zaidi kwa maana upumbavu wao utaonekana wazi kwa wote. Ndivyo ilivyokuwa kwa akina Yane na Yambre.
13Ama kötüler ve sahtekârlar, aldatarak ve aldanarak gittikçe daha beter olacaklar.
10Wewe lakini, umeyafuata mafundisho yangu, mwenendo wangu, makusudi yangu katika maisha, imani yangu, uvumilivu wangu, upendo wangu, subira yangu,
14Sense öğrendiğin ve güvendiğin ilkelere bağlı kal. Çünkü bunları kimlerden öğrendiğini biliyorsun. Mesih İsaya iman aracılığıyla seni bilge kılıp kurtuluşa kavuşturacak güçte olan Kutsal Yazıları da çocukluğundan beri biliyorsun.
11udhalimu na mateso yangu. Unayajua mambo yaliyonipata huko Antiokia, Ikonio na Lustra. Nilivumilia udhalimu mkubwa mno! Lakini Bwana aliniokoa katika mambo hayo yote.
16Kutsal Yazıların tümü Tanrı esinlemesidir ve öğretmek, azarlamak, yola getirmek, doğruluk konusunda eğitmek için yararlıdır.
12Kila mtu anayetaka kuishi maisha ya kumcha Mungu katika kuungana na Kristo Yesu lazima adhulumiwe.
17Bunlar sayesinde Tanrı adamı her iyi iş için donatılmış olarak yetkin olur.
13Watu waovu na wadanyanyifu watazidi kuwa waovu zaidi na zaidi kwa kuwadanganya wengine na kudanganyika wao wenyewe.
14Lakini wewe dumu katika ukweli ule uliofundishwa, ukaukubali kabisa. Unawajua wale waliokuwa walimu wako.
15Unakumbuka kwamba tangu utoto wako umeyajua Maandiko Matakatifu ambayo yaweza kukupatia hekima iletayo wokovu kwa njia ya imani kwa Kristo Yesu.
16Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha adili,
17ili mtu anayemtumikia Mungu awe mkamilifu, na tayari kabisa kufanya kila tendo jema.