Swahili: New Testament

Turkish

Acts

14

1Kule Ikonio, mambo yalikuwa kama yalivyokuwa kule Antiokia; Paulo na Barnaba walikwenda katika sunagogi la Wayahudi wakaongea kwa uhodari hata Wayahudi wengi na Wagiriki wakawa waumini.
1Aynı şekilde Konyada da Yahudilerin havrasına giren Pavlusla Barnaba öyle etkili konuştular ki, hem Yahudilerden hem de Greklerden çok kişi iman etti.
2Lakini Wayahudi wengine waliokataa kuwa waumini walichochea na kutia chuki katika mioyo ya watu wa mataifa mengine ili wawapinge hao ndugu.
2Ama inanmayan Yahudiler, öteki uluslardan olanları kardeşlere karşı kışkırtarak zihinlerini bulandırdılar.
3Paulo na Barnaba waliendelea kukaa huko kwa muda mrefu. Waliongea kwa uhodari juu ya Bwana, naye Bwana akathibitisha ukweli wa ujumbe walioutoa juu ya neema yake, kwa kuwawezesha kutenda miujiza na maajabu.
3Orada uzunca bir süre kalan Pavlusla Barnaba, Rab hakkında cesaretle konuşuyorlardı. Rab de onlara belirtiler ve harikalar yapma gücü vererek kendi lütfunu açıklayan bildiriyi doğruladı.
4Watu wa mji huo waligawanyika: wengine waliwaunga mkono Wayahudi, na wengine walikuwa upande wa mitume.
4Kent halkı ikiye bölündü. Bazıları Yahudilerin, bazıları da elçilerin tarafını tuttu.
5Mwishowe, baadhi ya watu wa mataifa mengine na Wayahudi, wakishirikiana na wakuu wao, waliazimu kuwatendea vibaya hao mitume na kuwapiga mawe.
5Yahudilerle öteki uluslardan olanlar ve bunların yöneticileri, elçileri hırpalayıp taşa tutmak için düzen kurdular.
6Mitume walipogundua jambo hilo, walikimbilia Lustra na Derbe, miji ya Lukaonia, na katika sehemu za jirani,
6Bunu öğrenen Pavlusla Barnaba, Likaonyanın Listra ve Derbe kentlerine ve çevre bölgeye kaçarak oralarda da Müjdeyi yaydılar.
7wakawa wanahubiri Habari Njema huko.
8Listrada, ayakları tutmayan bir adam vardı. Doğuştan kötürümdü, hiç yürüyemiyordu.
8Kulikuwa na mtu mmoja huko Lustra ambaye alikuwa amelemaa miguu tangu kuzaliwa, na alikuwa hajapata kutembea kamwe.
9Pavlusun söylediklerini dinledi. Onu dikkatle süzen Pavlus, iyileştirilebileceğine imanı olduğunu görerek yüksek sesle ona, ‹‹Kalk, ayaklarının üzerinde dur!›› dedi. Adam yerinden fırlayıp yürümeye başladı.
9Mtu huyo alikuwa anamsikiliza Paulo alipokuwa anahubiri. Paulo alimtazama kwa makini, na alipoona kuwa alikuwa na imani ya kuweza kuponywa,
11Pavlusun ne yaptığını gören halk Likaonya dilinde, ‹‹Tanrılar insan kılığına girip yanımıza inmiş!›› diye haykırdı.
10akasema kwa sauti kubwa, "Simama wima kwa miguu yako!" Huyo mtu aliyelemaa akainuka ghafla, akaanza kutembea.
12Barnabaya Zeus, Pavlusa da konuşmada öncülük ettiği için Hermes adını taktılar.
11Umati wa watu walipoona alichofanya Paulo, ulianza kupiga kelele kwa lugha ya Kilukaonia: "Miungu imetujia katika sura za binadamu!"
13Kentin hemen dışında bulunan Zeus Tapınağının kâhini kent kapılarına boğalar ve çelenkler getirdi, halkla birlikte elçilere kurban sunmak istedi.
12Barnaba akaitwa Zeu, na Paulo, kwa vile yeye ndiye aliyekuwa anaongea, akaitwa Herme.
14Ne var ki elçiler, Barnabayla Pavlus, bunu duyunca giysilerini yırtarak kalabalığın içine daldılar.
13Naye kuhani wa hekalu la Zeu lililokuwa nje ya mji akaleta fahali na shada za maua mbele ya mlango mkuu wa mji, na pamoja na ule umati wa watu akataka kuwatambikia mitume.
15‹‹Efendiler, neden böyle şeyler yapıyorsunuz?›› diye bağırdılar. ‹‹Biz de sizin gibi insanız, aynı yaradılışa sahibiz. Size müjde getiriyoruz. Sizi bu boş şeylerden vazgeçmeye, yeri, göğü, denizi ve bunların içindekilerin hepsini yaratan, yaşayan Tanrıya dönmeye çağırıyoruz.
14Barnaba na Paulo walipopata habari hiyo waliyararua mavazi yao na kukimbilia katika lile kundi la watu wakisema kwa sauti kubwa:
16Geçmiş çağlarda Tanrı, bütün ulusların kendi yollarından gitmelerine izin verdi.
15"Ndugu, kwa nini mnafanya mambo hayo? Sisi pia ni binadamu kama ninyi. Na, tuko hapa kuwahubirieni Habari Njema, mpate kuziacha hizi sanamu tupu, mkamgeukie Mungu aliye hai, Mungu aliyeumba mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo.
17Yine de kendini tanıksız bırakmadı. Size iyilik ediyor. Gökten yağmur yağdırıyor, çeşitli ürünleriyle mevsimleri düzenliyor, sizi yiyecekle doyurup yüreklerinizi sevinçle dolduruyor.››
16Zamani Mungu aliruhusu kila taifa lifanye lilivyopenda.
18Bu sözlerle bile halkın kendilerine kurban sunmasını güçlükle engelleyebildiler.
17Hata hivyo, Mungu hakuacha kujidhihirisha kwa mambo mema anayowatendea: huwanyeshea mvua toka angani, huwapa mavuno kwa wakati wake, huwapa chakula na kuijaza mioyo yenu furaha."
19Ne var ki, Antakya ve Konyadan gelen bazı Yahudiler, halkı kendi taraflarına çekerek Pavlusu taşladılar; onu ölmüş sanarak kentin dışına sürüklediler.
18Ingawa walisema hivyo haikuwa rahisi kuwazuia wale watu wasiwatambikie.
20Ama öğrenciler çevresinde toplanınca Pavlus ayağa kalkıp kente döndü. Ertesi gün Barnabayla birlikte Derbeye gitti.
19Lakini Wayahudi kadhaa walikuja kutoka Antiokia na Ikonio, wakawafanya watu wajiunge nao, wakampiga mawe Paulo na kumburuta hadi nje ya mji wakidhani amekwisha kufa.
21O kentte de Müjdeyi duyurup birçok öğrenci edindiler. Pavlusla Barnaba daha sonra Listra, Konya ve Antakyaya dönerek öğrencileri ruhça pekiştirdiler, imana bağlı kalmaları için onlara cesaret verdiler. ‹‹Tanrının Egemenliğine, birçok sıkıntıdan geçerek girmemiz gerekir›› diyorlardı.
20Lakini waumini walipokusanyika na kumzunguka, aliamka akarudi mjini. Kesho yake, yeye pamoja na Barnaba walikwenda Derbe.
23İmanlılar için her kilisede ihtiyarlar seçtiler. Dua ve oruçla onları, inandıkları Rabbe emanet ettiler.
21Baada ya Paulo na Barnabas kuhubiri Habari Njema huko Derbe na kupata wafuasi wengi, walifunga safari kwenda Antiokia kwa kupitia Lustra na Ikonio.
24Pisidya bölgesinden geçerek Pamfilyaya geldiler.
22Waliwaimarisha waumini wa miji hiyo na kuwatia moyo wabaki imara katika imani. Wakawaambia, "Ni lazima sisi sote tupitie katika taabu nyingi ili tuingie katika ufalme wa Mungu."
25Pergede Tanrı sözünü bildirdikten sonra Antalyaya gittiler.
23Waliteua wazee katika kila kanisa kwa ajili ya waumini, na baada ya kusali na kufunga, wakawaweka chini ya ulinzi wa Bwana ambaye walikuwa wanamwamini.
26Oradan gemiyle, artık tamamlamış bulundukları görev için Tanrının lütfuna emanet edildikleri yer olan Antakyaya döndüler.
24Baada ya kupitia katika nchi ya Pisidia, walifika Pamfulia.
27Oraya vardıklarında inanlılar topluluğunu bir araya getirip Tanrının kendileri aracılığıyla neler yaptığını, öteki uluslara iman kapısını nasıl açtığını anlattılar.
25Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia.
28Oradaki öğrencilerin yanında uzun bir süre kaldılar.
26Kutoka huko walisafiri kwa meli wakarudi Antiokia ambako hapo awali walikuwa wamewekwa chini ya ulinzi wa neema ya Mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameitimiza.
27Walipofika huko Antiokia walifanya mkutano wa kanisa la mahali hapo, wakawapa taarifa juu ya mambo Mungu aliyofanya pamoja nao, na jinsi alivyowafungulia mlango watu wa mataifa mengine mlango wa kuingia katika imani.
28Wakakaa pamoja na wale waumini kwa muda mrefu.