1Saulo naye alikiona kitendo hicho cha kumwua Stefano kuwa sawa. Siku hiyo kanisa la Yerusalemu lilianza kuteswa vibaya. Waumini wote, isipokuwa tu wale mitume, walilazimika kutawanyika katika sehemu za mashambani za Yudea na Samaria.
1İstefanosun öldürülmesini Saul da onaylamıştı. O gün Yeruşalimdeki kiliseye karşı korkunç bir baskı dönemi başladı. Elçiler hariç bütün imanlılar Yahudiye ve Samiriyenin her yanına dağıldılar.
2Watu wamchao Mungu, walimzika Stefano na kumfanyia maombolezo makubwa.
2Bazı dindar kişiler, İstefanosu gömdükten sonra onun için büyük yas tuttular.
3Wakati huohuo, Saulo alijaribu kuliangamiza kanisa. Alikwenda katika kila nyumba, akawatoa nje waumini, wanaume kwa wanawake, akawatia gerezani.
3Saul ise inanlılar topluluğunu kırıp geçiriyordu. Ev ev dolaşarak, kadın erkek demeden imanlıları dışarı sürüklüyor, hapse atıyordu.
4Wale waumini waliotawanyika, walikwenda kila mahali wakihubiri ule ujumbe.
4Bunun sonucu dağılan imanlılar, gittikleri her yerde Tanrı sözünü müjdeliyorlardı.
5Naye Filipo aliingia katika mji wa Samaria na kumhubiri Kristo kwa wenyeji wa hapo.
5Filipus, Samiriye Kentine gidip oradakilere Mesihi tanıtmaya başladı.
6Watu walijiunga kusikiliza kwa makini ule ujumbe wa Filipo na kuona ile miujiza aliyoifanya.
6Filipusu dinleyen ve gerçekleştirdiği belirtileri gören kalabalıklar, hep birlikte onun söylediklerine kulak verdiler.
7Maana pepo wachafu waliokuwa wamewapagaa watu wengi waliwatoka wakipiga kelele kubwa; na pia watu wengi waliokuwa wamepooza viungo na waliolemaa waliponywa.
7Birçoklarının içinden kötü ruhlar yüksek sesle haykırarak çıktı; birçok felçli ve kötürüm iyileştirildi.
8Kukawa na furaha kubwa katika mji ule.
8Ve o kentte büyük sevinç oldu.
9Basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Simoni ambaye alikuwa amekwisha fanya uchawi wake katika mji huo kwa muda na kuwashangaza watu wa Samaria, akijiona kuwa yeye ni mtu maarufu.
9Ne var ki, kentte bir süreden beri büyücülük yapan ve Samiriye halkını şaşkına çeviren Simun adlı biri vardı. Simun, büyük adam olduğunu iddia ediyordu.
10Watu wote, wadogo na wakubwa, walimsikiliza kwa makini wakisema, "Simoni ndiye ile nguvu ya kimungu inayoitwa Nguvu Kubwa."
10Küçük büyük, herkes onu dikkatle dinler, ‹‹Büyük Güç dedikleri Tanrı gücü işte budur›› derlerdi.
11Walivutiwa sana naye kwa vile alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake kwa muda mrefu.
11Uzun zamandan beri onları büyücülüğüyle şaşkına çevirdiği için onu dikkatle dinlerlerdi.
12Lakini walipouamini ujumbe wa Filipo juu ya Habari Njema ya Ufalme wa Mungu na jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanawake na wanaume.
12Ama Tanrının Egemenliği ve İsa Mesih adıyla ilgili Müjdeyi duyuran Filipusun söylediklerine inandıkları zaman, erkekler de kadınlar da vaftiz oldular.
13Hata Simoni aliamini; baada ya kubatizwa ilikuwa akiandamana na Filipo, akastaajabia maajabu na miujiza iliyokuwa inafanyika.
13Simunun kendisi de inanıp vaftiz oldu. Ondan sonra sürekli olarak Filipusun yanında kaldı. Doğaüstü belirtileri ve yapılan büyük mucizeleri görünce şaşkına döndü.
14Wale mitume waliokuwa kule Yerusalemu walipopata habari kwamba wenyeji wa Samaria nao wamelipokea neno la Mungu, waliwatuma kwao Petro na Yohane.
14Yeruşalimdeki elçiler, Samiriye halkının, Tanrının sözünü benimsediğini duyunca Petrusla Yuhannayı onlara gönderdiler.
15Walipofika waliwaombea hao waumini ili wampokee Roho Mtakatifu;
15Petrusla Yuhanna oraya varınca, Samiriyeli imanlıların Kutsal Ruhu almaları için dua ettiler.
16maana wakati huo Roho Mtakatifu hakuwa ameshukia yeyote kati yao; walikuwa wamebatizwa tu kwa jina la Bwana Yesu.
16Çünkü Ruh daha hiçbirinin üzerine inmemişti. Rab İsanın adıyla vaftiz olmuşlardı, o kadar.
17Basi, Petro na Yohane wakawawekea mikono hao waumini, nao wakampokea Roho Mtakatifu.
17Petrusla Yuhanna onların üzerine ellerini koyunca, onlar da Kutsal Ruhu aldılar.
18Hapo Simoni aling'amua kwamba kwa kuwekewa mikono ya mitume waumini walipewa Roho Mtakatifu. Hivyo aliwapa Petro na Yohane fedha akisema,
18Elçilerin bu el koyma hareketiyle Kutsal Ruhun verildiğini gören Simun onlara para teklif ederek, ‹‹Bana da bu yetkiyi verin, kimin üzerine ellerimi koysam Kutsal Ruhu alsın›› dedi.
19"Nipeni na mimi uwezo huo ili yeyote nitakayemwekea mikono, apokee Roho Mtakatifu."
20Petrus, ‹‹Paran da yok olsun, sen de!›› dedi, ‹‹Çünkü Tanrının armağanını parayla elde edebileceğini sandın.
20Lakini Petro akamjibu, "Potelea mbali na fedha zako kwa vile unafikiri kwamba unaweza kununua karama ya Mungu kwa fedha!
21Senin bu işte bir payın, bir hakkın yok. Yüreğin, Tanrının gözünde doğru değildir.
21Huna sehemu yoyote wala haki katika kazi hiyo kwa maana moyo wako hauko sawa mbele ya macho ya Mungu.
22Bu kötülüğünden tövbe et ve Rabbe yalvar, yüreğindeki bu düşünce belki bağışlanır.
22Kwa hiyo, tubu ubaya wako huu na umwombe Bwana naye anaweza kukusamehe fikira kama hizo.
23Senin kin dolu, kötülüğe tutsak biri olduğunu görüyorum.››
23Ni dhahiri kwangu kwamba umejaa wivu mkali na mfungwa wa dhambi!"
24Simun, ‹‹Benim için Rabbe yalvarın da söylediklerinizden hiçbiri başıma gelmesin›› diye karşılık verdi.
24Simoni akajibu, "Tafadhali, niombeeni kwa Bwana lisije likanipata lolote kati ya hayo mliyosema."
25Petrusla Yuhanna tanıklık edip Rabbin sözünü bildirdikten sonra, Samiriyenin birçok köyünde de Müjdeyi duyura duyura Yeruşalime döndüler.
25Baada ya Petro na Yohane kutoa ushuhuda wao na kuutangaza ujumbe wa Bwana, walirudi Yerusalemu. Walipokuwa wanarudi walihubiri Habari Njema katika vijiji vingi vya Samaria.
26Bu arada Rabbin bir meleği Filipusa şöyle seslendi: ‹‹Kalk, güneye doğru, Yeruşalimden Gazzeye inen yola, çöl yoluna git.››
26Malaika wa Bwana alimwambia Filipo, "Jitayarishe uende kusini kupitia njia inayotoka Yerusalemu kwenda Gaza." (Njia hiyo hupita jangwani.)
27Filipus da kalkıp gitti. Giderken Etiyopyalı bir hadım gördü. Bu adam Etiyopya Kraliçesi Kandakinin vezirlerinden biriydi. Kraliçenin bütün hazinelerinden sorumluydu. Yeruşalime, tapınmaya gelmişti.
27Basi, Filipo akajiweka tayari, akaanza safari. Wakati huohuo kulikuwa na Mwethiopia mmoja, towashi, ambaye alikuwa anasafiri kuelekea nyumbani. Huyo mtu alikuwa ofisa maarufu wa hazina ya Kandake, malkia wa Ethiopia. Alikuwa amekwenda huko Yerusalemu kuabudu na wakati huo alikuwa anarudi akiwa amepanda gari la kukokotwa.
28Geri dönerken arabasında oturmuş, Peygamber Yeşayanın Kitabını okuyordu.
28Alipokuwa anasafiri, alikuwa akijisomea kitabu cha nabii Isaya.
29Ruh Filipusa, ‹‹Git›› dedi, ‹‹Şu arabaya yetiş.››
29Basi, Roho Mtakatifu akamwambia Filipo, "Nenda karibu na gari hilo ukafuatane nalo."
30Filipus koşup arabanın yanına geldi ve hadımın Peygamber Yeşayayı okumakta olduğunu işitti. ‹‹Acaba okuduklarını anlıyor musun?›› diye sordu.
30Filipo akakimbilia karibu na gari, akamsikia huyo mtu akisoma katika kitabu cha nabii Isaya. Hapo Filipo akamwuliza, "Je, unaelewa hayo unayosoma?"
31Hadım, ‹‹Biri bana yol göstermedikçe nasıl anlayabilirim ki?›› diyerek Filipusun arabaya binip yanına oturmasını rica etti.
31Huyo mtu akamjibu, "Ninawezaje kuelewa bila mtu kunielewesha?" Hapo akamwalika Filipo apande juu, aketi pamoja naye.
32Kutsal Yazılardan okuduğu bölüm şuydu: ‹‹Koyun gibi kesime götürüldü; Kırkıcının önünde kuzu nasıl ses çıkarmazsa, O da öylece ağzını açmadı.
32Basi, sehemu ya Maandiko Matakatifu aliyokuwa anasoma ilikuwa hii: "Alikuwa kama kondoo anayepelekwa kuchinjwa; kimya kama vile mwana kondoo anaponyolewa manyoya, yeye naye hakutoa sauti hata kidogo.
33Aşağılandığında adalet Ondan esirgendi. Onun soyunu kim anacak? Çünkü yeryüzündeki yaşamına son verildi.››
33Alifedheheshwa na kunyimwa haki. Hakuna atakayeweza kuongea juu ya kizazi chake, kwa maana maisha yake yameondolewa duniani."
34Hadım Filipusa, ‹‹Lütfen açıklar mısın, peygamber kimden söz ediyor, kendisinden mi, bir başkasından mı?›› diye sordu.
34Huyo Mwethiopia akamwambia Filipo, "Niambie, huyu nabii anasema juu ya nani? Anasema mambo haya juu yake yeye mwenyewe au juu ya mtu mwingine?"
35Bunun üzerine Filipus anlatmaya koyuldu. Kutsal Yazıların bu bölümünden başlayarak ona İsayla ilgili Müjdeyi bildirdi.
35Basi, Filipo akianzia na sehemu hiyo ya Maandiko Matakatifu, akamweleza Habari Njema juu ya Yesu.
36Yolda giderlerken su bulunan bir yere geldiler. Hadım, ‹‹Bak, burada su var›› dedi. ‹‹Vaftiz olmama ne engel var?››
36Walipokuwa bado wanaendelea na safari walifika mahali penye maji na huyo ofisa akasema, "Mahali hapa pana maji; je, kuna chochote cha kunizuia nisibatizwe?"
38Sonra arabanın durmasını buyurdu. Filipusla hadım birlikte suya girdiler ve Filipus hadımı vaftiz etti.
37Filipo akasema, "Kama unaamini kwa moyo wako wote unaweza kubatizwa." Naye akajibu, "Naam, ninaamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu."
39Sudan çıktıkları zaman Rabbin Ruhu Filipusu hemen oradan uzaklaştırdı. Filipusu bir daha görmeyen hadım sevinç içinde yoluna devam etti.
38Basi, huyo ofisa akaamuru lile gari lisimame; na wote wawili, Filipo na huyo ofisa wakashuka majini, naye Filipo akambatiza.
40Filipus ise kendini Aşdot Kenti'nde buldu. Sezariye'ye varıncaya dek bütün kentleri dolaşarak Müjde'yi duyurdu.
39Walipotoka majini Roho wa Bwana akamfanya Filipo atoweke. Na huyo Mwethiopia hakumwona tena; lakini akaendelea na safari yake akiwa amejaa furaha.
40Filipo akajikuta yuko Azoto, akapita katika miji yote akihubiri Habari Njema mpaka alipofika Kaisarea.