Swahili: New Testament

Turkish

Ephesians

1

1Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, nawaandikia ninyi watu wa Mungu huko Efeso, mlio waaminifu katika kuungana na Kristo Yesu.
1Tanrının isteğiyle Mesih İsanın elçisi atanan ben Pavlustan Efeste bulunan kutsallara, Mesih İsaya ait olan sadıklara selam!
2Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.
2Babamız Tanrıdan ve Rab İsa Mesihten sizlere lütuf ve esenlik olsun.
3Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Maana, katika kuungana na Kristo ametubariki kwa kutujalia zawadi zote za kiroho mbinguni.
3Bizi Mesihte her ruhsal kutsamayla göksel yerlerde kutsamış olan Rabbimiz İsa Mesihin Babası Tanrıya övgüler olsun.
4Kabla ya kuumbwa ulimwengu, Mungu alituteua tuwe wake katika kuungana na Kristo ili tuwe watakatifu na bila hitilafu mbele yake. Kwa sababu ya upendo wake,
4O kendi önünde sevgide kutsal ve kusursuz olmamız için dünyanın kuruluşundan önce bizi Mesihte seçti.
5Mungu alikuwa ameazimia tangu zamani kutuleta kwake kama watoto wake kwa njia ya Yesu Kristo. Ndivyo alivyopenda na kunuia.
5Kendi isteği ve iyi amacı uyarınca İsa Mesih aracılığıyla kendisine oğullar olalım diye bizi önceden belirledi.
6Basi, tumsifu Mungu kwa sababu ya neema yake tukufu katika Mwanae mpenzi!
6Öyle ki, sevgili Oğlunda bize bağışladığı yüce lütfu övülsün.
7Maana kwa damu yake Kristo sisi tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa. Ndivyo ulivyo ukuu wa neema yake
7Tam bir bilgelik ve anlayışla üzerimize yağdırdığı lütfunun zenginliği sayesinde Mesihin kanı aracılığıyla Mesihte kurtuluşa, suçlarımızın bağışlanmasına kavuştuk.
8aliotukirimia bila kipimo! Kwa hekima na ujuzi wake wote
9Tanrı sır olan isteğini, Mesihte edindiği iyi amaç uyarınca bize açıkladı.
9Mungu alitekeleza kile alichonuia, akatujulisha mpango wake uliofichika, ambao alikuwa ameazimia kuutekeleza kwa njia ya Kristo.
10Zaman dolunca gerçekleştireceği bu tasarıya göre, yerdeki ve gökteki her şeyi Mesihte birleştirecek.
10Mpango huo ambao angeutimiza wakati utimiapo ni kukusanya pamoja viumbe vyote, kila kitu mbinguni na duniani, chini ya Kristo.
11Her şeyi kendi isteği doğrultusunda düzenleyen Tanrının amacı uyarınca önceden belirlenip Mesihte seçildik.
11Kila kitu hufanywa kufuatana na mpango na uamuzi wa Mungu; naye Mungu ametuteua sisi tuwe watu wake kwa mapenzi yake katika kuungana na Kristo, kufuatana na azimio alilofanya tangu mwanzo.
12Öyle ki, Mesihe ilk umut bağlayan bizler, Onun yüceliğinin övülmesi için yaşayalım.
12Basi, sisi tuliotangulia kumtumainia Kristo tunapaswa kuusifu utukufu wa Mungu!
13Gerçeğin bildirisini, kurtuluşunuzun Müjdesini duyup Ona iman ettiğinizde, siz de vaat edilen Kutsal Ruhla Onda mühürlendiniz.
13Nanyi pia watu wa mataifa mengine, mliusikia ujumbe wa kweli yaani Habari Njema iliyowaletea wokovu, mkamwamini Kristo; naye Mungu, ili kuonyesha kuwa ninyi ni wake, akawapiga mhuri kwa kuwapeni yule Roho Mtakatifu aliyetuahidia.
14Ruh, Tanrının yüceliğinin övülmesi için Tanrıya ait olanların kurtuluşuna dek mirasımızın güvencesidir.
14Huyu Roho ni dhamana ya kurithi yote yale Mungu aliyowaahidia watu wake, na jambo hili latuhakikishia kwamba Mungu atawakomboa kabisa wote walio wake. Tuusifu utukufu wake!
15Bunun için, Rab İsaya iman ettiğinizi ve bütün kutsalları sevdiğinizi duyduğumdan beri ben de sizin için sürekli şükrediyor, sizi dualarımda hep anıyorum.
15Kwa sababu hiyo, tangu niliposikia juu ya imani yenu kwa Bwana Yesu na mapendo yenu kwa watu wa Mungu,
17Rabbimiz İsa Mesihin Tanrısı, yüce Baba, kendisini tanımanız için size bilgelik ve vahiy ruhunu versin diye dua ediyorum.
16sijaacha kamwe kumshukuru Mungu kwa ajili yenu. Ninawakumbuka katika sala zangu
18Onun çağrısından doğan umudu, kutsallara verdiği mirasın yüce zenginliğini ve iman eden bizler için etkin olan kudretinin aşkın büyüklüğünü anlamanız için, yüreklerinizin gözleri aydınlansın diye dua ediyorum. Bu kudret, Tanrının, Mesihi ölümden diriltirken ve göksel yerlerde sağında oturturken Onda sergilediği üstün güçle aynı etkinliktedir.
17ili Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo Baba mtukufu, awajalieni Roho wake atakayewapa hekima na kuwafunulieni Mungu mpate kumjua.
21Tanrı Onu bütün yönetimlerin, hükümranlıkların, güç ve egemenliklerin, yalnız bu çağda değil, gelecek çağda da anılacak bütün adların çok üstüne çıkardı.
18Namwomba Mungu aifunue mioyo yenu iweze kuuona mwanga wake, mpate kutambua lile tumaini alilowaitieni na utukufu mkuu wa zawadi alizowawekea watu wake,
22Her şeyi ayakları altına sererek Ona bağımlı kıldı. Onu her şeyin üzerinde baş olmak üzere kiliseye verdi.
19mpate kutambua jinsi uwezo wake ulivyo mkuu mno kwa ajili yetu sisi tunaoamini. Uwezo huo unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa na nguvu ile kuu mno
23Kilise O'nun bedenidir, her yönden her şeyi dolduranın doluluğudur.
20aliyomfufua nayo Kristo kutoka wafu, akamketisha kulia kwake mbinguni.
21Huko, Kristo anatawala juu ya kila tawala, mamlaka, enzi na ukuu; anatawala juu ya kila cheo kiwezacho kutajwa katika ulimwengu huu na katika ulimwengu ujao.
22Mungu ameweka vitu vyote chini ya miguu yake, akamkabidhi kwa kanisa akiwa mkuu wa vitu vyote.
23Kanisa ni mwili wa Kristo, na ukamilifu wake yeye anayekamilisha vitu vyote kila mahali.