1Baada ya siku kadhaa, Yesu alirudi Kafarnaumu, watu wakapata habari kwamba alikuwa nyumbani.
1Birkaç gün sonra İsa tekrar Kefarnahuma geldiğinde, evde olduğu duyuldu.
2Basi, wakaja watu wengi sana hata nafasi yoyote ikakosekana mlangoni. Yesu alikuwa akiwahubiria ujumbe wake,
2O kadar çok insan toplandı ki, artık kapının önünde bile duracak yer kalmamıştı. İsa onlara Tanrı sözünü anlatıyordu.
3wakati mtu mmoja aliyepooza alipoletwa kwake akiwa amechukuliwa na watu wanne.
3Bu arada Ona dört kişinin taşıdığı felçli bir adamı getirdiler.
4Kwa sababu ya huo umati wa watu, hawakuweza kumpeleka karibu na Yesu. Basi, wakatoboa sehemu ya dari iliyokuwa juu ya mahali alipokuwa Yesu. Walipokwisha pata nafasi, wakamteremsha huyo mtu akiwa amelala juu ya mkeka.
4Kalabalıktan Ona yaklaşamadıkları için, bulunduğu yerin üzerindeki damı delip açarak felçliyi üstünde yattığı şilteyle birlikte aşağı indirdiler.
5Yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu aliyepooza, "Mwanangu, umesamehewa dhambi zako."
5İsa onların imanını görünce felçliye, ‹‹Oğlum, günahların bağışlandı›› dedi.
6Baadhi ya walimu wa Sheria waliokuwa wameketi hapo wakawaza mioyoni mwao,
6Orada oturan bazı din bilginleri ise içlerinden şöyle düşündüler: ‹‹Bu adam neden böyle konuşuyor? Tanrıya küfrediyor! Tanrıdan başka kim günahları bağışlayabilir?››
7"Anathubutuje kusema hivyo? Anamkufuru Mungu! Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake."
8Akıllarından geçeni hemen ruhunda sezen İsa onlara, ‹‹Aklınızdan neden böyle şeyler geçiriyorsunuz?›› dedi.
8Yesu alitambua mara mawazo yao, akawaambia, "Mbona mnawaza hivyo mioyoni mwenu?
9‹‹Hangisi daha kolay, felçliye, ‹Günahların bağışlandı› demek mi, yoksa, ‹Kalk, şilteni topla, yürü› demek mi?
9Ni lipi lililo rahisi zaidi: kumwambia mtu huyu aliyepooza, Umesamehewa dhambi zako, au kumwambia, Inuka! Chukua mkeka wako utembee?
10Ne var ki, İnsanoğlunun yeryüzünde günahları bağışlama yetkisine sahip olduğunu bilesiniz diye...›› Sonra felçliye, ‹‹Sana söylüyorum, kalk, şilteni topla, evine git!›› dedi.
10Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anayo mamlaka ya kuwasamehe watu dhambi duniani." Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza,
12Adam kalktı, hemen şiltesini topladı, hepsinin gözü önünde çıkıp gitti. Herkes şaşakalmıştı. Tanrıyı övüyorlar, ‹‹Böylesini hiç görmemiştik›› diyorlardı.
11"Nakwambia simama, chukua mkeka wako uende nyumbani!"
13İsa yine çıkıp göl kıyısına gitti. Bütün halk yanına geldi, O da onlara öğretmeye başladı.
12Mara, watu wote wakiwa wanamtazama, huyo mtu akainuka, akauchukua mkeka wake, akaenda zake. Watu wote wakashangaa na kumtukuza Mungu wakisema, "Hatujapata kamwe kuona jambo kama hili."
14Yoldan geçerken, vergi toplama yerinde oturan Alfay oğlu Leviyi gördü. Ona, ‹‹Ardımdan gel›› dedi. Levi de kalkıp İsanın ardından gitti.
13Yesu alikwenda tena kando ya ziwa. Umati wa watu ukamwendea, naye akaanza kuwafundisha.
15Sonra İsa, Levinin evinde yemek yerken, birçok vergi görevlisiyle günahkâr Onunla ve öğrencileriyle birlikte sofraya oturmuştu. Onu izleyen böyle birçok kişi vardı.
14Alipokuwa akipita, akamwona Lawi mwana wa Alfayo, ameketi katika ofisi ya ushuru. Yesu akamwambia, "Nifuate!" Lawi akasimama, akamfuata.
16Ferisilerden bazı din bilginleri, Onu günahkârlar ve vergi görevlileriyle birlikte yemekte görünce öğrencilerine, ‹‹Niçin vergi görevlileri ve günahkârlarla birlikte yemek yiyor?›› diye sordular.
15Baadaye, Yesu alikuwa amekaa mezani, nyumbani kwa Lawi, kula chakula. Watoza ushuru wengi na wenye dhambi walikuwa wamemfuata Yesu na wengi wao wakawa wamekaa mezani pamoja naye na wanafunzi wake.
17Bunu duyan İsa onlara, ‹‹Sağlamların değil, hastaların hekime ihtiyacı var›› dedi. ‹‹Ben doğru kişileri değil, günahkârları çağırmaya geldim.››
16Basi, baadhi ya walimu wa Sheria ambao walikuwa Mafarisayo walipomwona Yesu akila pamoja na watu wenye dhambi na watoza ushuru, wakawauliza wanafunzi wake, "Kwa nini anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?"
18Yahyanın öğrencileriyle Ferisiler oruç tutarken, bazı kişiler İsaya gelip, ‹‹Yahyanın ve Ferisilerin öğrencileri oruç tutuyor da senin öğrencilerin neden tutmuyor?›› diye sordular.
17Yesu alipowasikia, akawaambia, "Watu wenye afya hawahitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa. Sikuja kuwaita watu wema, ila wenye dhambi."
19İsa şöyle karşılık verdi: ‹‹Güvey aralarında olduğu sürece davetliler oruç tutar mı? Güvey aralarında oldukça oruç tutmazlar!
18Wakati mmoja wanafunzi wa Yohane na wanafunzi wa Mafarisayo walikuwa wanafunga. Basi, watu wakaja, wakamwuliza Yesu, "Kwa nini wanafunzi wa Yohane na wa Mafarisayo wanafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?"
20Ama güveyin aralarından alınacağı günler gelecek, onlar işte o zaman, o gün oruç tutacaklar.
19Yesu akajibu, "Walioalikwa harusini wanawezaje kufunga kama bwana harusi yupo pamoja nao? Wakati wote wawapo pamoja na bwana harusi hawawezi kufunga.
21Hiç kimse eski giysiyi yeni kumaş parçasıyla yamamaz. Yoksa yeni yama çeker, eski giysiden kopar, yırtık daha beter olur.
20Lakini wakati utafika ambapo bwana harusi ataondolewa kati yao; wakati huo ndipo watakapofunga.
22Hiç kimse yeni şarabı eski tulumlara doldurmaz. Yoksa şarap tulumları patlatır, şarap da tulumlar da mahvolur. Yeni şarap yeni tulumlara doldurulur.››
21"Hakuna mtu anayekata kiraka kutoka katika nguo mpya na kukishonea katika nguo kuukuu. Kama akifanya hivyo, hicho kiraka kipya kitararuka kutoka hilo vazi kuukuu, nalo litaharibika zaidi.
23Bir Şabat Günü İsa ekinler arasından geçiyordu. Öğrencileri yolda giderken başakları koparmaya başladılar.
22Wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu. Kama akifanya hivyo, divai itavipasua hivyo viriba, nayo divai pamoja na hivyo viriba vitaharibika. Divai mpya hutiwa katika viriba vipya!"
24Ferisiler İsaya, ‹‹Bak, Şabat Günü yasak olanı neden yapıyorlar?›› dediler.
23Siku moja ya Sabato, Yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano. Walipokuwa wanatembea, wanafunzi wake wakaanza kukwanyua masuke ya ngano.
25İsa onlara, ‹‹Davutla yanındakiler aç ve muhtaç kalınca Davutun ne yaptığını hiç okumadınız mı?›› diye sordu.
24Mafarisayo wakawaambia, "Tazama! Kwa nini wanafanya jambo ambalo si halali kufanya wakati wa Sabato?"
26‹‹Başkâhin Aviyatarın zamanında Davut, Tanrının evine girdi, kâhinlerden başkasının yemesi yasak olan adak ekmeklerini yedi ve yanındakilere de verdi.››
25Yesu akawajibu, "Je, hamjapata kusoma juu ya kile alichofanya Daudi wakati alipohitaji chakula? Yeye pamoja na wenzake waliona njaa,
27Sonra onlara, ‹‹İnsan Şabat Günü için değil, Şabat Günü insan için yaratıldı›› dedi.
26naye akaingia ndani ya Nyumba ya Mungu, akala ile mikate iliyowekwa mbele ya Mungu. Jambo hili lilifanyika wakati Abiathari alikuwa Kuhani Mkuu. Na ni makuhani tu peke yao waliokuwa wameruhusiwa kula mikate hiyo. Lakini Daudi aliila, tena akawapa na wenzake."
28‹‹Bu nedenle İnsanoğlu Şabat Günü'nün de Rabbi'dir.››
27Basi, Yesu akawaambia, "Sabato iliwekwa kwa ajili ya binadamu na si binadamu kwa ajili ya Sabato!
28Kwa hiyo, Mwana wa Mtu ni Bwana hata wa Sabato."