1Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu, mkoani Yudea, wakati Herode alipokuwa mfalme. Punde tu baada ya kuzaliwa kwake, wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu,
1İsanın Kral Hirodes devrinde Yahudiyenin Beytlehem Kentinde doğmasından sonra bazı yıldızbilimciler doğudan Yeruşalime gelip şöyle dediler: ‹‹Yahudilerin Kralı olarak doğan çocuk nerede? Doğuda Onun yıldızını gördük ve Ona tapınmaya geldik.››
2wakauliza, "Yuko wapi mtoto, Mfalme wa Wayahudi, aliyezaliwa? Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki, tukaja kumwabudu."
3Kral Hirodes bunu duyunca kendisi de bütün Yeruşalim halkı da tedirgin oldu.
3Mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu.
4Bütün başkâhinleri ve halkın din bilginlerini toplayarak onlara Mesihin nerede doğacağını sordu.
4Basi akawaita pamoja makuhani wakuu wote na walimu wa Sheria, akawauliza, "Kristo atazaliwa wapi?"
5‹‹Yahudiyenin Beytlehem Kentinde›› dediler. ‹‹Çünkü peygamber aracılığıyla şöyle yazılmıştır:
5Nao wakamjibu, "Mjini Bethlehemu, mkoani Yudea. Ndivyo nabii alivyoandika:
6‹Ey sen, Yahudadaki Beytlehem, Yahuda önderleri arasında hiç de en önemsizi değilsin! Çünkü halkım İsraili güdecek önder Senden çıkacak.› ››
6Ewe Bethlehemu katika nchi ya Yuda, kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda; maana kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu, Israeli."
7Bunun üzerine Hirodes yıldızbilimcileri gizlice çağırıp onlardan yıldızın göründüğü anı tam olarak öğrendi.
7Hapo, Herode aliwaita faraghani hao wataalamu wa nyota, akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea.
8‹‹Gidin, çocuğu dikkatle arayın, bulunca bana haber verin, ben de gelip Ona tapınayım›› diyerek onları Beytleheme gönderdi.
8Kisha akawatuma Bethlehemu akisema, "Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo. Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu."
9Yıldızbilimciler, kralı dinledikten sonra yola çıktılar. Doğuda görmüş oldukları yıldız onlara yol gösteriyordu, çocuğun bulunduğu yerin üzerine varınca durdu.
9Baada ya kumsikiliza mfalme, hao wataalamu wa nyota wakaenda. Kumbe ile nyota waliyokuwa wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto.
10Yıldızı gördüklerinde olağanüstü bir sevinç duydular.
10Walipoiona hiyo nyota, walifurahi mno.
11Eve girip çocuğu annesi Meryemle birlikte görünce yere kapanarak Ona tapındılar. Hazinelerini açıp Ona armağan olarak altın, günnük ve mür sundular.
11Basi, wakaingia nyumbani, wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake; wakapiga magoti, wakamsujudia. Kisha wakafungua hazina zao, wakampa zawadi: dhahabu, ubani na manemane.
12Sonra gördükleri bir düşte Hirodesin yanına dönmemeleri için uyarılınca ülkelerine başka yoldan döndüler.
12Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie Herode; hivyo wakarudi makwao kwa njia nyingine.
13Yıldızbilimciler gittikten sonra Rabbin bir meleği Yusufa rüyada görünerek, ‹‹Kalk!›› dedi, ‹‹Çocukla annesini al, Mısıra kaç. Ben sana haber verinceye dek orada kal. Çünkü Hirodes öldürmek için çocuğu aratacak.››
13Baada ya wale wageni kuondoka, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto, akamwambia, "Amka! Mchukue mtoto pamoja na mama yake, mkimbilie Misri. Kaeni huko mpaka nitakapokwambia, maana Herode anakusudia kumwua huyu mtoto."
14Böylece Yusuf kalktı, aynı gece çocukla annesini alıp Mısıra doğru yola çıktı.
14Hivyo, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akaondoka usiku, akaenda Misri.
15Hirodesin ölümüne dek orada kaldı. Bu, Rabbin peygamber aracılığıyla bildirdiği şu söz yerine gelsin diye oldu: ‹‹Oğlumu Mısırdan çağırdım.››
15Akakaa huko mpaka Herode alipokufa. Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie: "Nilimwita Mwanangu kutoka Misri."
16Hirodes, yıldızbilimciler tarafından aldatıldığını anlayınca çok öfkelendi. Onlardan öğrendiği vakti göz önüne alarak Beytlehem ve bütün yöresinde bulunan iki ve iki yaşından küçük erkek çocukların hepsini öldürttü.
16Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa, alikasirika sana. Akaamuru watoto wote wa kiume mjini Bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe. Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota.
17Böylelikle Peygamber Yeremya aracılığıyla bildirilen şu söz yerine gelmiş oldu:
17Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia:
18‹‹Ramada bir ses duyuldu, Ağlayış ve acı feryat sesleri! Çocukları için ağlayan Rahel Avutulmak istemiyor. Çünkü onlar yok artık!››
18"Sauti imesikika mjini Rama, kilio na maombolezo mengi. Raheli anawalilia watoto wake, wala hataki kutulizwa, maana wote wamefariki."
19Hirodes öldükten sonra, Rabbin bir meleği Mısırda Yusufa rüyada görünerek, ‹‹Kalk!›› dedi, ‹‹Çocukla annesini al, İsraile dön. Çünkü çocuğun canına kıymak isteyenler öldü.››
19Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri,
21Bunun üzerine Yusuf kalktı, çocukla annesini alıp İsraile döndü.
20akamwambia, "Amka! Mchukue mtoto pamoja na mama yake, urudi tena katika nchi ya Israeli, maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa."
22Ama Yahudiyede Hirodesin yerine oğlu Arhelasın kral olduğunu duyunca oraya gitmekten korktu. Rüyada uyarılınca Celile bölgesine gitti.
21Basi, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akarejea katika nchi ya Israeli.
23Oraya varınca Nasıra denen kente yerleşti. Bu, peygamberler aracılığıyla bildirilen, ‹‹O'na Nasıralı denecektir›› sözü yerine gelsin diye oldu.
22Lakini Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake, aliogopa kwenda huko. Naye baada ya kuonywa katika ndoto, alikwenda katika mkoa wa Galilaya,
23akahamia katika mji uitwao Nazareti. Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii: "Ataitwa Mnazare."