1"Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu mwenye shamba la mizabibu, ambaye alitoka asubuhi na mapema kuwaajiri wafanyakazi katika shamba lake.
1‹‹Göklerin Egemenliği, sabah erkenden bağında çalışacak işçi aramaya çıkan toprak sahibine benzer.
2Akapatana nao kuwalipa dinari moja kwa siku, kisha akawapeleka katika shamba lake la mizabibu.
2Adam, işçilerle günlüğü bir dinara anlaşıp onları bağına gönderdi.
3Akatoka mnamo saa tatu asubuhi, akaona watu wengine wamesimama sokoni, hawana kazi.
3‹‹Saat dokuza doğru tekrar dışarı çıktı, çarşı meydanında boş duran başka adamlar gördü.
4Akawaambia, Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu, nami nitawapeni haki yenu.
4Onlara, ‹Siz de bağa gidip çalışın. Hakkınız neyse, veririm› dedi, onlar da bağa gittiler. ‹‹Öğleyin ve saat üçe doğru yine çıkıp aynı şeyi yaptı.
5Basi, wakaenda. Huyo mwenye shamba akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vivyo hivyo.
6Saat beşe doğru çıkınca, orada duran başka işçiler gördü. Onlara, ‹Neden bütün gün burada boş duruyorsunuz?› diye sordu.
6Hata mnamo saa kumi na moja jioni, akatoka tena; akakuta watu wengine wamesimama pale sokoni. Basi, akawauliza, Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?
7‹‹ ‹Kimse bize iş vermedi ki› dediler. ‹‹Onlara, ‹Siz de bağa gidin, çalışın› dedi.
7Wakamjibu: Kwa sababu hakuna mtu aliyetuajiri. Yeye akawaambia, Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu.
8‹‹Akşam olunca, bağın sahibi kâhyasına, ‹İşçileri çağır› dedi. ‹Sonuncudan başlayarak ilkine kadar, hepsine ücretlerini ver.›
8"Kulipokuchwa, huyo mwenye shamba alimwambia mtunza hazina wake, Waite wafanyakazi ukawalipe mshahara wao, ukianzia na wale walioajiriwa mwisho, na kumalizia na wale wa kwanza.
9‹‹Saat beşe doğru işe başlayanlar gelip kâhyadan birer dinar aldılar.
9Basi, wakaja wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea kila mmoja dinari moja.
10İlk başlayanlar gelince daha çok alacaklarını sandılar, ama onlara da birer dinar verildi.
10Wale wa kwanza walipofika, walikuwa wanadhani watapewa zaidi; lakini hata wao wakapewa kila mmoja dinari moja.
11Paralarını alınca bağ sahibine söylenmeye başladılar:
11Wakazipokea fedha zao, wakaanza kumnung'unikia yule bwana.
12‹En son çalışanlar yalnız bir saat çalıştı› dediler. ‹Ama onları günün yükünü ve sıcağını çeken bizlerle bir tuttun!›
12Wakasema, Watu hawa walioajiriwa mwisho walifanya kazi kwa muda wa saa moja tu, mbona umetutendea sawa na wao hali sisi tumevumilia kazi ngumu kutwa na jua kali?
13‹‹Bağ sahibi onlardan birine şöyle karşılık verdi: ‹Arkadaş, sana haksızlık etmiyorum ki! Seninle bir dinara anlaşmadık mı?
13"Hapo yule bwana akamjibu mmoja wao, Rafiki, sikukupunja kitu! Je, hukupatana nami mshahara wa denari moja?
14Hakkını al, git! Sana verdiğimi sonuncuya da vermek istiyorum.
14Chukua haki yako, uende zako. Napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.
15Kendi paramla istediğimi yapmaya hakkım yok mu? Yoksa cömertliğimi kıskanıyor musun?›
15Je, sina haki ya kufanya na mali yangu nipendavyo? Je, unaona kijicho kwa kuwa mimi ni mwema?"
16‹‹İşte böylece sonuncular birinci, birinciler de sonuncu olacak.››
16Yesu akamaliza kwa kusema, "Hivyo, walio wa mwisho watakuwa wa kwanza na wa kwanza watakuwa wa mwisho."
17İsa Yeruşalime giderken, yolda on iki öğrencisini bir yana çekip onlara özel olarak şunu söyledi: ‹‹Şimdi Yeruşalime gidiyoruz. İnsanoğlu, başkâhinlerin ve din bilginlerinin eline teslim edilecek, onlar da Onu ölüm cezasına çarptıracaklar.
17Yesu alipokuwa anakwenda Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani, na njiani akawaambia,
19Onunla alay etmeleri, kamçılayıp çarmıha germeleri için Onu öteki uluslara teslim edecekler. Ne var ki O, üçüncü gün dirilecek.››
18"Sikilizeni! Tunakwenda Yerusalemu, na huko Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na walimu wa Sheria, nao watamhukumu auawe.
20O sırada Zebedi oğullarının annesi oğullarıyla birlikte İsaya yaklaştı. Önünde yere kapanarak kendisinden bir dileği olduğunu söyledi.
19Watamkabidhi kwa watu wa mataifa mengine ili adhihakiwe, apigwe viboko na kusulubiwa; lakini siku ya tatu atafufuliwa."
21İsa kadına, ‹‹Ne istiyorsun?›› diye sordu. Kadın, ‹‹Buyruk ver, senin egemenliğinde bu iki oğlumdan biri sağında, biri solunda otursun›› dedi.
20Hapo mama yao wana wa Zebedayo alimjia Yesu pamoja na wanawe, akapiga magoti mbele yake na kumwomba kitu.
22‹‹Siz ne dilediğinizi bilmiyorsunuz›› diye karşılık verdi İsa. ‹‹Benim içeceğim kâseden siz içebilir misiniz?›› ‹‹Evet, içebiliriz›› dediler.
21Yesu akamwuliza, "Unataka nini?" Huyo mama akamwambia, "Ahidi kwamba katika Ufalme wako, hawa wanangu wawili watakaa mmoja upande wako wa kulia na mwingine upande wako wa kushoto."
23İsa onlara, ‹‹Elbette benim kâsemden içeceksiniz›› dedi, ‹‹Ama sağımda ya da solumda oturmanıza izin vermek benim elimde değil. Babam bu yerleri belirli kişiler için hazırlamıştır.››
22Yesu akajibu, "Hamjui mnaomba nini. Je, mnaweza kunywa kikombe nitakachokunywa mimi?" Wakamjibu, "Tunaweza."
24Bunu işiten on öğrenci iki kardeşe kızdılar.
23Yesu akawaambia, "Kweli mtakunywa kikombe changu, lakini kuketi kulia au kushoto kwangu si kazi yangu kupanga; jambo hilo watapewa wale waliowekewa tayari na Baba yangu."
25Ama İsa onları yanına çağırıp şöyle dedi: ‹‹Bilirsiniz ki, ulusların önderleri onlara egemen kesilir, ileri gelenleri de ağırlıklarını hissettirirler.
24Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakawakasirikia hao ndugu wawili.
26Sizin aranızda böyle olmayacak. Aranızda büyük olmak isteyen, ötekilerin hizmetkârı olsun.
25Hivyo Yesu akawaita, akawaambia, "Mnajua kwamba watawala wa mataifa hutawala watu wao kwa mabavu na wakuu hao huwamiliki watu wao.
27Aranızda birinci olmak isteyen, ötekilerin kulu olsun.
26Lakini kwenu isiwe hivyo, ila yeyote anayetaka kuwa mkuu kati yenu sharti awe mtumishi wa wote;
28Nitekim İnsanoğlu, hizmet edilmeye değil, hizmet etmeye ve canını birçokları için fidye olarak vermeye geldi.››
27na anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi wenu.
29Erihadan ayrılırlarken büyük bir kalabalık İsanın ardından gitti.
28Jinsi hiyohiyo, Mwana wa Mtu hakuja kutumikiwa, bali kutumikia na kutoa maisha yake kuwa fidia ya watu wengi."
30Yol kenarında oturan iki kör, İsanın oradan geçmekte olduğunu duyunca, ‹‹Ya Rab, ey Davut Oğlu, halimize acı!›› diye bağırdılar.
29Yesu alipokuwa anaondoka mjini Yeriko, umati wa watu ulimfuata.
31Kalabalık onları azarlayarak susturmak istediyse de onlar, ‹‹Ya Rab, ey Davut Oğlu, halimize acı!›› diyerek daha çok bağırdılar.
30Basi, kulikuwa na vipofu wawili wameketi kando ya njia, na waliposikia kwamba Yesu alikuwa anapitia hapo, walipaaza sauti: "Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, utuhurumie!"
32İsa durup onları çağırdı. ‹‹Sizin için ne yapmamı istiyorsunuz?›› diye sordu.
31Ule umati wa watu ukawakemea na kuwaambia wanyamaze. Lakini wao wakazidi kupaaza sauti: "Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, utuhurumie!"
33Onlar da, ‹‹Ya Rab, gözlerimiz açılsın›› dediler.
32Yesu akasimama, akawaita na kuwauliza, "Mnataka niwafanyie nini?"
34İsa onlara acıdı, gözlerine dokundu. O anda yeniden görmeye başladılar ve O'nun ardından gittiler.
33Wakamjibu, "Mheshimiwa, tunaomba macho yetu yafumbuliwe."
34Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.