1Yesu alipanda mashua, akavuka ziwa na kufika katika mji wake.
1İsa tekneye binip karşı kıyıya geçti ve kendi kentine gitti.
2Hapo watu walimletea mtu mmoja aliyepooza mwili, amelazwa juu ya kitanda. Yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu aliyepooza, "Jipe moyo mwanangu! Umesamehewa dhambi zako."
2Kendisine, yatak üzerinde felçli bir adam getirdiler. İsa onların imanını görünce felçliye, ‹‹Cesur ol, oğlum, günahların bağışlandı›› dedi.
3Baadhi ya walimu wa Sheria wakaanza kufikiri, "Mtu huyu anamkufuru Mungu!"
3Bunun üzerine bazı din bilginleri içlerinden, ‹‹Bu adam Tanrıya küfrediyor!›› dediler.
4Yesu aliyajua mawazo yao, akasema, "Kwa nini mnawaza mabaya mioyoni mwenu?
4Onların ne düşündüklerini bilen İsa dedi ki, ‹‹Yüreğinizde neden kötü düşüncelere yer veriyorsunuz?
5Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Simama, utembee?
5Hangisi daha kolay? ‹Günahların bağışlandı› demek mi, yoksa ‹Kalk, yürü› demek mi?
6Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo wa kuwasamehe watu dhambi duniani." Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, "Inuka, chukua kitanda chako, uende nyumbani kwako."
6Ne var ki, İnsanoğlunun yeryüzünde günahları bağışlama yetkisine sahip olduğunu bilesiniz diye...›› Sonra felçliye, ‹‹Kalk, yatağını topla, evine git!›› dedi.
7Huyo mtu aliyekuwa amepooza akainuka, akaenda nyumbani kwake.
7Adam da kalkıp evine gitti.
8Watu wote katika ule umati walipoona hayo, walishangaa na kuogopa; wakamtukuza Mungu aliyewapa binadamu uwezo wa namna hiyo.
8Halk bunu görünce korkuya kapıldı. İnsana böyle bir yetki veren Tanrıyı yücelttiler.
9Yesu aliondoka hapo, na alipokuwa anakwenda zake, alimwona mtu mmoja aitwaye Mathayo, ameketi katika ofisi ya ushuru. Basi, Yesu akamwambia, "Nifuate." Naye Mathayo akainuka, akamfuata.
9İsa oradan geçerken, vergi toplama yerinde oturan birini gördü. Matta adındaki bu adama, ‹‹Ardımdan gel›› dedi. Adam da kalkıp İsanın ardından gitti.
10Yesu alipokuwa nyumbani ameketi kula chakula, watoza ushuru wengi na wahalifu walikuja wakaketi pamoja naye na wanafunzi wake.
10Sonra İsa, Mattanın evinde sofrada otururken, birçok vergi görevlisiyle günahkâr gelip Onunla ve öğrencileriyle birlikte sofraya oturdu.
11Mafarisayo walipoona hayo, wakawaambia wanafunzi wake, "Mbona mwalimu wenu anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?"
11Bunu gören Ferisiler, İsanın öğrencilerine, ‹‹Sizin öğretmeniniz neden vergi görevlileri ve günahkârlarla birlikte yemek yiyor?›› diye sordular.
12Yesu aliwasikia, akasema, "Watu wenye afya hawahitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa. Sikuja kuwaita watu wema, ila wenye dhambi.
12İsa bunu duyunca şöyle dedi: ‹‹Sağlamların değil, hastaların hekime ihtiyacı var.
13Basi, kajifunzeni maana ya maneno haya: Nataka huruma, wala si dhabihu. Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi."
13Gidin de, ‹Ben kurban değil, merhamet isterim› sözünün anlamını öğrenin. Çünkü ben doğru kişileri değil, günahkârları çağırmaya geldim.››
14Kisha wanafunzi wa Yohane mbatizaji walimwendea Yesu, wakamwuliza, "Sisi na Mafarisayo hufunga mara nyingi; mbona wanafunzi wako hawafungi?"
14Bu arada Yahyanın öğrencileri gelip İsaya, ‹‹Neden biz ve Ferisiler oruç tutuyoruz da senin öğrencilerin tutmuyor?›› diye sordular.
15Yesu akawajibu, "Je, walioalikwa arusini wanaweza kuomboleza wakati bwana arusi yupo pamoja nao? La hasha! Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kati yao; wakati huo ndipo watakapofunga.
15İsa şöyle karşılık verdi: ‹‹Güvey aralarındayken, davetliler yas tutar mı? Ama güveyin aralarından alınacağı günler gelecek, o zaman oruç tutacaklar.
16"Hakuna mtu atiaye kiraka cha nguo mpya katika vazi kuukuu. Maana kiraka hicho kitararua hilo vazi kuukuu, na pale palipokuwa pameraruka pataongezeka.
16Hiç kimse eski giysiyi yeni kumaş parçasıyla yamamaz. Çünkü yeni kumaş çeker, giysiden kopar, yırtık daha beter olur.
17Wala hakuna mtu awekaye divai mpya katika viriba vikuukuu. Akifanya hivyo, viriba hupasuka na divai ikamwagika, navyo viriba vikaharibika. Ila divai mpya hutiwa katika viriba vipya, na vyote viwili, viriba na divai, vikahifadhiwa salama."
17Hiç kimse yeni şarabı eski tulumlara doldurmaz. Yoksa tulumlar patlar; hem şarap dökülür, hem de tulumlar mahvolur. Yeni şarap yeni tulumlara konur, böylece her ikisi de korunmuş olur.››
18Yesu alipokuwa akisema hayo, ofisa mmoja Myahudi alifika, akamwinamia na kusema, "Binti yangu amekufa sasa hivi. Lakini, tafadhali njoo umwekee mkono wako naye ataishi."
18İsa onlara bu sözleri söylerken bir havra yöneticisi gelip Onun önünde yere kapanarak, ‹‹Kızım az önce öldü. Ama sen gelip elini onun üzerine koyarsan, dirilecek›› dedi.
19Yesu akaondoka pamoja na wanafunzi wake, akamfuata.
19İsa kalkıp öğrencileriyle birlikte adamın ardından gitti.
20Mama mmoja, mgonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili, alimfuata Yesu nyuma, akagusa pindo la vazi lake.
20Tam o sırada, on iki yıldır kanaması olan bir kadın İsanın arkasından yetişip giysisinin eteğine dokundu.
21Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: "Nikigusa tu vazi lake, nitapona."
21İçinden, ‹‹Giysisine bir dokunsam kurtulurum›› diyordu.
22Basi, Yesu akageuka akamwona, akamwambia, "Binti, jipe moyo! Imani yako imekuponya." Mama huyo akapona saa ileile.
22İsa arkasına dönüp onu görünce, ‹‹Cesur ol, kızım! İmanın seni kurtardı›› dedi. Ve kadın o anda iyileşti.
23Kisha Yesu akaingia nyumbani kwa yule ofisa. Na alipowaona wapiga filimbi na umati wa watu wanaofanya matanga,
23İsa, yöneticinin evine varıp kaval çalanlarla gürültülü kalabalığı görünce, ‹‹Çekilin!›› dedi. ‹‹Kız ölmedi, uyuyor.›› Onlar ise kendisiyle alay ettiler.
24akasema, "Ondokeni hapa! Msichana huyu hakufa, amelala tu." Nao wakamcheka.
25Kalabalık dışarı çıkarılınca İsa içeri girip kızın elini tuttu, kız ayağa kalktı.
25Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.
26Bu haber bütün bölgeye yayıldı.
26Habari hiyo ikavuma sana katika nchi ile yote.
27İsa oradan ayrılırken iki kör, ‹‹Ey Davut Oğlu, halimize acı!›› diye feryat ederek Onun ardından gittiler.
27Yesu aliondoka hapo, na alipokuwa anakwenda, vipofu wawili walimfuata wakipiga kelele, "Mwana wa Daudi, utuhurumie!"
28İsa eve girince körler yanına geldi. Onlara, ‹‹İstediğinizi yapabileceğime inanıyor musunuz?›› diye sordu. Körler, ‹‹İnanıyoruz, ya Rab!›› dediler.
28Yesu alipoingia nyumbani, vipofu hao wawili wakamwendea, naye akawauliza, "Je, mnaamini kwamba naweza kuwafanyia jambo hilo?" Nao wakamjibu, "Naam, Mheshimiwa."
29Bunun üzerine İsa körlerin gözlerine dokunarak, ‹‹İmanınıza göre olsun›› dedi.
29Hapo Yesu akayagusa macho yao, akasema, "Na iwe kwenu kama mnavyoamini."
30Ve adamların gözleri açıldı. İsa, ‹‹Sakın kimse bunu bilmesin›› diyerek onları sıkı sıkı uyardı.
30Macho yao yakafunguliwa. Naye Yesu akawaonya kwa ukali: "Msimwambie mtu yeyote jambo hili."
31Onlar ise çıkıp İsayla ilgili haberi bütün bölgeye yaydılar.
31Lakini wao wakaondoka, wakaeneza habari za Yesu katika nchi ile yote.
32Adamlar çıkarken İsaya dilsiz bir cinli getirdiler.
32Watu walipokuwa wanakwenda zao, wengine walimletea Yesu mtu mmoja aliyekuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo.
33Cin kovulunca adamın dili çözüldü. Halk hayret içinde, ‹‹İsrailde böylesi hiç görülmemiştir›› diyordu.
33Mara tu huyo pepo alipotolewa, mtu huyo aliyekuwa bubu akaanza kuongea tena. Watu wakashangaa na kusema, "Jambo kama hili halijapata kuonekana katika Israeli!"
34Ferisiler ise, ‹‹Cinleri, cinlerin önderinin gücüyle kovuyor›› diyorlardı.
34Lakini Mafarisayo wakawa wanasema, "Anawatoa pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo wabaya."
35İsa bütün kent ve köyleri dolaşarak havralarda öğretiyor, göksel egemenliğin Müjdesini duyuruyor, her hastalığı, her illeti iyileştiriyordu.
35Yesu alitembelea miji yote na vijiji, akafundisha katika masunagogi yao akihubiri Habari Njema ya Ufalme wa Mungu, na kuponya magonjwa yote na udhaifu wa kila namna.
36Kalabalıkları görünce onlara acıdı. Çünkü çobansız koyunlar gibi şaşkın ve perişandılar.
36Basi, alipowaona watu, makundi kwa makundi, aliwaonea huruma kwa sababu walikuwa hoi na wenye wasiwasi kama kondoo wasio na mchungaji.
37O zaman İsa öğrencilerine, ‹‹Ürün bol, ama işçi az›› dedi,
37Hapo akawaambia wanafunzi wake, "Mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache.
38‹‹Bu nedenle ürünün sahibi Rab'be yalvarın, ürününü kaldıracak işçiler göndersin.››
38Kwa hivyo mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake."