1Mimi Paulo, mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu, na ndugu Timotheo, ninakuandikia wewe Filemoni mpendwa, mfanyakazi mwenzetu
1Sevgili emektaşımız Filimon, Mesih İsa uğruna tutuklu olan ben Pavlus ve kardeşimiz Timoteostan sana, kızkardeşimiz Afiyaya, birlikte mücadele verdiğimiz Arhippusa ve senin evindeki inanlılar topluluğuna selam!
2na kanisa linalokutana nyumbani kwako, na wewe dada Afia, na askari mwenzetu Arkupo.
3Babamız Tanrıdan ve Rab İsa Mesihten sizlere lütuf ve esenlik olsun.
3Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana yesu Kristo.
4Rab İsaya olan imanını ve bütün kutsallara beslediğin sevgiyi duydukça dualarımda seni anıyor, Tanrıma sürekli şükrediyorum.
4Kila wakati ninaposali nakukumbuka wewe Filemoni, na kumshukuru Mungu
6Mesihte sahip olduğumuz her iyiliğin bilincine vararak imanını başkalarıyla paylaşmakta etkin olman için dua ediyorum.
5maana nasikia habari za imani yako kwa Bwana wetu Yesu na upendo wako kwa watu wote wa Mungu.
7Sevgin benim için büyük sevinç ve teselli kaynağı oldu. Çünkü kutsalların yürekleri senin sayende ferahladı, kardeşim.
6Naomba ili imani hiyo unayoshiriki pamoja nasi ikuwezeshe kuwa na ujuzi mkamilifu zaidi wa baraka zote tunazopata katika kuungana kwetu na Kristo.
8Bu nedenle, gerekeni sana buyurmaya Mesihte büyük cesaretim olduğu halde, şimdi Mesih İsa uğruna tutuklu bulunan ben yaşlı Pavlus sana sevgiyle rica etmeyi yeğliyorum.
7Ndugu, upendo wako yameniletea furaha kubwa na kunipa moyo sana! Nawe umeichangamsha mioyo ya watu wa Mungu.
10Tutukluluğum sırasında kendisine ruhsal baba olduğum oğlum Onisimosla ilgili bir ricam var. Bir zamanlar sana yararsızdı; ama şimdi hem sana hem de bana yararlıdır.
8Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.
12Kendisini, yani can ciğerimi sana geri gönderiyorum.
9Lakini kwa sababu ya upendo, ni afadhali zaidi nikuombe. Nafanya hivi ingawa mimi ni Paulo, balozi wa Kristo Yesu, na sasa pia mfungwa kwa ajili yake.
13Müjdenin uğruna tutuklu kaldığım sürece senin yerine bana hizmet etmesi için onu yanımda alıkoymak isterdim; ama senin onayın olmadan bir şey yapmak istemedim. Öyle ki, yapacağın iyilik zorunluluktanmış gibi görünmesin, gönülden olsun.
10Basi, ninalo ombi moja kwako kuhusu mwanangu Onesimo, ambaye ni mwanangu katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni.
15Onisimosun bir süre senden ayrılması belki de onu temelli geri alman içindi.
11Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.
16Onu artık köle değil, köleden üstün, sevgili bir kardeş olarak geri alacaksın. O, özellikle benim için çok değerlidir. Ama hem bir insan, hem de Rabbe ait biri olarak senin için daha da çok sevilecek bir kardeştir.
12Sasa namrudisha kwako, naye ni kama moyo wangu mimi mwenyewe.
17Bu nedenle, eğer beni yoldaşın sayıyorsan, kendisini beni kabul eder gibi kabul et.
13Ningependa akae nami hapa anisaidie badala yako wakati niwapo kifungoni kwa sababu ya Habari Njema.
18Sana herhangi bir haksızlık etmişse ya da bir borcu varsa, bunu benim hesabıma say.
14Lakini sitafanya chochote bila kibali chako. Sipendi kukulazimisha unisaidie, kwani wema wako unapaswa kutokana na hiari yako wewe mwenyewe na si kwa kulazimika.
19Ben Pavlus bunu kendi elimle yazıyorum, bedelini ben öderim. Senin kendi yaşamını bile bana borçlu olduğunu söylememe gerek yok.
15Labda Onesimo aliondoka kwako kwa kitambo tu, kusudi uweze tena kuwa naye daima.
20Evet, kardeş, Rab yolunda bana bir yardımın olsun. Mesihte yüreğimi ferahlat.
16Na sasa yeye si mtumwa tu, ila ni bora zaidi ya mtumwa: yeye ni ndugu yetu mpenzi. Na wa maana sana kwangu mimi, na kwako atakuwa wa maana zaidi kama mtumwa na kama ndugu katika Bwana.
21Sözümü dinleyeceğinden emin olarak ve istediğimden fazlasını da yapacağını bilerek sana yazıyorum.
17Basi, ikiwa wanitambua mimi kuwa mwenzako, mpokee tena kama vile ungenipokea mimi mwenyewe.
22Bu arada bana kalabileceğim bir yer hazırla. Çünkü dualarınız aracılığıyla sizlere bağışlanacağımı umuyorum.
18Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.
23Mesih İsa uğruna kendisiyle birlikte tutuklu bulunduğum Epafras, emektaşlarım Markos, Aristarhus, Dimas ve Luka sana selam ederler.
19Naandika jambo hili kwa mkono wangu mwenyewe: Mimi Paulo nitalipa! (Tena sina haja ya kusema kwamba wewe unalo deni kwangu la nafsi yako.)
25Rab İsa Mesih'in lütfu ruhunuzla birlikte olsun.
20Haya, basi, ndugu yangu, nifanyie jambo hilo kwa ajili ya jina la Bwana; burudisha moyo wangu kama ndugu katika Kristo.
21Naandika nikitumaini kwamba utanikubalia ombi langu; tena najua kwamba utafanya hata zaidi ya haya ninayokuomba.
22Pamoja na hayo, nitayarishie chumba kwani natumaini kwamba kwa sala zenu, Mungu atanijalia niwatembeleeni.
23Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu, anakusalimu.
24Nao akina Marko, Aristarko, Dema na Luka, wafanyakazi wenzangu, wanakusalimu.
25Nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.