Swahili: New Testament

Turkish

Revelation

1

1Hizi ni habari za mambo ambayo yalifunuliwa na Yesu Kristo. Mungu alimpa Kristo ufunuo huu ili awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo yanapaswa kutukia karibuni. Kristo alimtuma malaika wake amjulishe Yohane, mtumishi wake, mambo hayo,
1İsa Mesihin vahyidir. Tanrı yakın zamanda olması gereken olayları kullarına göstermesi için Ona bu vahyi verdi. O da gönderdiği meleği aracılığıyla bunu kulu Yuhannaya iletti.
2naye Yohane, ameyasema yote aliyoyaona. Na hii ndio taarifa yake kuhusu ujumbe wa Mungu na ukweli uliofunuliwa na Yesu Kristo.
2Yuhanna, Tanrının sözüne ve İsa Mesihin tanıklığına -gördüğü her şeye- tanıklık etmektedir.
3Heri yake mtu anayesoma kitabu hiki; heri yao wale wanaosikiliza maneno ya ujumbe huu wa kinabii na kushika yaliyoandikwa humu, maana wakati umekaribia ambapo mambo haya yatatukia.
3Bu peygamberlik sözlerini okuyana, burada yazılanları dinleyip yerine getirene ne mutlu! Çünkü beklenen zaman yakındır.
4Mimi Yohane nayaandikia makanisa yaliyoko mkoani Asia. Nawatakieni neema na amani kutoka kwake yeye aliyeko, aliyekuwako na anayekuja; na kutoka kwa roho saba walio mbele ya kiti chake cha enzi,
4Ben Yuhannadan, Asya İlindeki yedi kiliseye selam! Var olan, var olmuş ve gelecek olandan, Onun tahtının önünde bulunan yedi ruhtan ve ölüler arasından ilk doğan, dünya krallarına egemen olan güvenilir tanık İsa Mesihten sizlere lütuf ve esenlik olsun. Yücelik ve güç sonsuzlara dek, bizi seven, kanıyla bizi günahlarımızdan özgür kılmış ve bizi bir krallık haline getirip Babası Tanrının hizmetinde kâhinler yapmış olan Mesihin olsun! Amin.
5na kutoka kwa Yesu Kristo, shahidi mwaminifu, wa kwanza kufufuliwa kutoka wafu, na ambaye ni mtawala wa wafalme wa dunia. Yeye anatupenda, na kwa damu yake ametufungua kutoka vifungo vya dhambi zetu,
7İşte bulutlarla geliyor! Her göz Onu görecek, Onun bedenini deşmiş olanlar bile. Onun için dövünecek yeryüzünün bütün halkları. Evet, böyle olacak! Amin.
6akatufanya sisi kuwa ufalme wa makuhani, tumtumikie Mungu, Baba yake. Kwake Yesu Kristo uwe utukufu na nguvu, milele na milele! Amina.
8Var olan, var olmuş ve gelecek olan, Her Şeye Gücü Yeten Rab Tanrı, ‹‹Alfa ve Omega Benim›› diyor.
7Tazama! Anakuja katika mawingu! Kila mtu atamwona, hata wale waliomchoma. Makabila yote duniani yataomboleza juu yake. Naam! Amina.
9İsaya ait biri olarak sıkıntıda, tanrısal egemenlikte ve sabırda ortağınız ve kardeşiniz olan ben Yuhanna, Tanrının sözü ve İsaya tanıklık uğruna Patmos denilen adada bulunuyordum.
8"Mimi ni Alfa na Omega," asema Bwana Mungu Mwenye Uwezo, aliyeko, aliyekuwako na anayekuja.
10Rabbin gününde Ruhun etkisinde kalarak arkamda borazan sesine benzer yüksek bir ses işittim.
9Mimi ni Yohane, ndugu yenu; na kwa kuungana na Kristo nashiriki pamoja nanyi katika kustahimili mateso yanayowapata wale walio wa Utawala wake. Mimi nilikuwa kisiwani Patmo kwa sababu ya kuhubiri ujumbe wa Mungu na ukweli wa Yesu.
11Ses, ‹‹Gördüklerini kitaba yaz ve yedi kiliseye, yani Efes, İzmir, Bergama, Tiyatira, Sart, Filadelfya ve Laodikyaya gönder›› dedi.
10Basi, wakati mmoja, siku ya Bwana, nilikumbwa na Roho, nikasikia nyuma yangu sauti kubwa kama sauti ya tarumbeta.
12Bana sesleneni görmek için arkama döndüm. Döndüğümde yedi altın kandillik ve bunların ortasında, giysileri ayağına kadar uzanan, göğsüne altın kuşak sarınmış, insanoğluna benzer birini gördüm.
11Nayo ilisema, "Andika katika kitabu yote unayoyaona, ukipeleke kwa makanisa haya saba: Efeso, Smurna, Pergamoni, Thuatira, Sarde, Filadelfia na Laodikea."
14Başı, saçı ak yapağı gibi beyaz, kar gibi bembeyazdı. Gözleri alev alev yanan ateşti sanki.
12Basi, nikageuka nimwone huyo aliyesema nami, nikaona vinara vya taa saba vya dhahabu,
15Ayakları, ocakta kor haline gelmiş parlak tunca benziyordu. Sesi, gürül gürül akan suların sesi gibiydi.
13na katikati yake kulikuwa na kitu kama mtu, naye alikuwa amevaa kanzu ndefu na ukanda wa dhahabu kifuani.
16Sağ elinde yedi yıldız vardı. Ağzından iki ağızlı keskin bir kılıç uzanıyordu. Yüzü bütün gücüyle parlayan güneş gibiydi.
14Nywele zake zilikuwa nyeupe kama pamba safi, kama theluji; macho yake yalimetameta kama moto;
17Onu görünce, ölü gibi ayaklarının dibine yığıldım. O ise sağ elini üzerime koyup şöyle dedi: ‹‹Korkma! İlk ve son Benim.
15miguu yake iling'aa kama shaba iliyosafishwa katika tanuru ya moto na kusuguliwa, na sauti yake ilikuwa, kama sauti ya poromoko la maji.
18Diri Olan Benim. Ölmüştüm, ama işte sonsuzluklar boyunca diriyim. Ölümün ve ölüler diyarının anahtarları bendedir.
16Katika mkono wake wa kulia, alikuwa na nyota saba, na kinywani mwake mlitoka upanga wenye makali kuwili. Uso wake uling'aa kama jua kali.
19Bunun için gördüklerini, şimdi olanları ve bundan sonra olacakları yaz.
17Basi, nilipomwona tu, nilianguka mbele ya miguu yake kama maiti. Lakini yeye akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akasema, "Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa mwisho.
20Sağ elimde gördüğün yedi yıldızla yedi altın kandilliğin sırrına gelince, yedi yıldız yedi kilisenin melekleri, yedi kandillikse yedi kilisedir.››
18Mimi ni yeye aliye hai! Nilikuwa nimekufa, lakini, tazama, sasa ni mzima milele na milele. Ninazo funguo za kifo na Kuzimu.
19Basi, sasa andika mambo haya unayoyaona, mambo yanayotukia sasa na yale yatakayotukia baadaye.
20Siri ya nyota zile saba ulizoziona katika mkono wangu wa kulia, na siri ya vile vinara saba vya taa hii: zile nyota saba ni malaika wa makanisa; na vile vinara saba vya taa ni makanisa saba.