1Basi, rafiki, kama unawahukumu wengine, huwezi kamwe kujitetea haidhuru wewe ni nani. Kwa maana, kwa kuwahukumu wengine, unajilaani wewe mwenyewe kwa vile nawe unayafanya mambo yaleyale unayohukumu.
1Bu nedenle sen, ey başkasını yargılayan insan, kim olursan ol, özrün yoktur. Başkasını yargıladığın konuda kendini mahkûm ediyorsun. Çünkü ey yargılayan sen, aynı şeyleri yapıyorsun.
2Tunajua kwamba hukumu ya Mungu kwa wale wanaofanya mambo kama hayo ni hukumu ya haki.
2Böyle davrananları Tanrının haklı olarak yargıladığını biliriz.
3Lakini wewe, rafiki, unayewahukumu wale wanaofanya mambo kama hayo bali wewe pia unayafanya, je unadhani utaiepa hukumu ya Mungu?
3Bu gibi şeyleri yapanları yargılayan, ama aynısını yapan ey insan, Tanrının yargısından kaçabileceğini mi sanıyorsun?
4Au labda unaudharau wema wake mkuu, uvumilivu wake na saburi yake, bila kutambua kwamba wema wake huo una shabaha ya kukuongoza upate kutubu?
4Tanrının sınırsız iyiliğini, hoşgörüsünü, sabrını hor mu görüyorsun? Onun iyiliğinin seni tövbeye yönelttiğini bilmiyor musun?
5Lakini unao ugumu na ukaidi wa moyo, na hivyo unajilundikia adhabu kwa Siku ile ambayo ghadhabu ya Mungu na hukumu zake za haki vitadhihirishwa.
5İnatçılığın ve tövbesiz yüreğin yüzünden Tanrının adil yargısının açıklanacağı gazap günü için kendine karşı gazap biriktiriyorsun.
6Siku hiyo Mungu atamlipa kila mmoja kufuatana na matendo yake.
6Tanrı ‹‹herkese, yaptıklarının karşılığını verecektir.››
7Wale wanaozingatia kutenda mema, kutafuta utukufu na heshima ya Mungu na kutokufa, watapata uzima wa milele.
7Sürekli iyilik ederek yücelik, saygınlık, ölümsüzlük arayanlara sonsuz yaşam verecek.
8Lakini wale wengine wenye ubinafsi, wenye kukataa mambo ya haki na kufuata uovu, wataangukiwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
8Bencillerin, gerçeğe uymayıp haksızlık peşinden gidenlerin üzerineyse gazap ve öfke yağdıracak.
9Mateso na maumivu yatampata binadamu yeyote atendaye uovu. Yatawapata Wayahudi kwanza, na watu wa mataifa mengine pia.
9Kötülük eden herkese -önce Yahudiye, sonra Yahudi olmayana- sıkıntı ve elem verecek; iyilik eden herkese -yine önce Yahudiye, sonra Yahudi olmayana- yücelik, saygınlık, esenlik verecektir.
10Lakini Mungu atawapa utukufu, heshima na amani wale wanaotenda mema; Wayahudi kwanza, na watu wa mataifa mengine pia.
11Çünkü Tanrı insanlar arasında ayrım yapmaz.
11Maana Mungu hambagui mtu yeyote.
12Kutsal Yasayı bilmeden günah işleyenler Yasa olmadan da mahvolacaklar. Yasayı bilerek günah işleyenlerse Yasayla yargılanacaklar.
12Wale wanaotenda dhambi bila kuijua Sheria ya Mose wataangamia ingawaje hawajui Sheria. Na wale wanaotenda dhambi wakiwa wanaijua Sheria watahukumiwa kisheria.
13Çünkü Tanrı katında aklanacak olanlar Yasayı işitenler değil, yerine getirenlerdir.
13Mtu hafanywi kuwa mwadilifu mbele yake Mungu kwa kuisikia Sheria, bali kwa kuitii Sheria.
14Kutsal Yasadan yoksun uluslar Yasanın gereklerini kendiliklerinden yaptıkça, Yasadan habersiz olsalar bile kendi yasalarını koymuş olurlar.
14Mathalan: watu wa mataifa mengine hawana Sheria ya Mose; lakini kila wanapotimiza matakwa ya Sheria wakiongozwa na dhamiri zao, wao wenyewe wanakuwa kipimo cha Sheria ingawa hawaijui Sheria.
15Böylelikle Kutsal Yasanın gerektirdiklerinin yüreklerinde yazılı olduğunu gösterirler. Vicdanları buna tanıklık eder. Düşünceleriyse onları ya suçlar ya da savunur.
15Mwenendo wao unaonyesha kwamba matakwa ya Sheria yameandikwa mioyoni mwao. Dhamiri zao zinashuhudia pia jambo hilo, maana fikira zao mara nyingine huwashtaki, na mara nyingine huwatetea.
16Yaydığım Müjdeye göre Tanrının, insanları gizlice yaptıkları şeylerden ötürü İsa Mesih aracılığıyla yargılayacağı gün böyle olacaktır.
16Hivyo, kufuatana na hii Habari Njema ninayohubiri, ndivyo itakavyokuwa wakati Mungu atakapohukumu mambo ya siri ya binadamu kwa njia ya Yesu Kristo.
17Ya sen? Kendine Yahudi diyor, Kutsal Yasaya dayanıp Tanrıyla övünüyorsun.
17Na wewe, je? Wewe mwenyewe unajiita Myahudi; unaitumainia Sheria na kujivunia kuwa wa Mungu;
18Tanrının isteğini biliyorsun. En üstün değerleri ayırt etmeyi Yasadan öğrenmişsin.
18kwa njia ya Sheria unajua matakwa ya Mungu na unaweza kuchagua jambo jema;
19Kutsal Yasada bilginin ve gerçeğin özüne kavuşmuş olarak körlerin kılavuzu, karanlıkta kalanların ışığı, akılsızların eğiticisi, çocukların öğretmeni olduğuna inanmışsın.
19wewe unajiona kuwa kiongozi wa vipofu na mwanga kwa wale walio gizani;
21Öyleyse başkasına öğretirken, kendine de öğretmez misin? Çalmamayı öğütlerken, çalar mısın?
20unajiona kuwa mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa wale wasiokomaa bado. Unayo katika Sheria picha kamili ya elimu na ukweli.
22‹‹Zina etmeyin›› derken, zina eder misin? Putlardan tiksinirken, tapınakları yağmalar mısın?
21Basi, wewe unawafundisha wengine; kwa nini hujifundishi wewe mwenyewe? Unawahubiria wengine wasiibe, lakini kumbe wewe mwenyewe unaiba.
23Kutsal Yasayla övünürken, Yasaya karşı gelerek Tanrıyı aşağılar mısın?
22Unasema: "Msizini," na huku wewe unazini; unachukia sanamu za miungu hali wewe unajitajirisha kwa kuiba katika nyumba za miungu.
24Nitekim şöyle yazılmıştır: ‹‹Sizin yüzünüzden uluslar arasında Tanrının adına küfrediliyor.››
23Kwa kujigamba ati unayo Sheria ya Mungu, je huoni kwamba kwa kuivunja Sheria unamdharau Mungu?
25Kutsal Yasayı yerine getirirsen, sünnetin elbet yararı vardır. Ama Yasaya karşı gelirsen, sünnetli olmanın hiçbir anlamı kalmaz.
24Kama vile Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Watu wa mataifa mengine wamelikufuru jina la Mungu kwa sababu yenu ninyi Wayahudi!"
26Bu nedenle, sünnetsizler Yasanın buyruklarına uyarsa, sünnetli sayılmayacak mı?
25Kutahiriwa kwako kutakuwa na maana kama ukiitii Sheria. Lakini kama unaivunja Sheria, basi, ni afadhali ungalibaki bila kutahiriwa.
27Sen Kutsal Yazılara ve sünnete sahip olduğun halde Yasayı çiğnersen, bedence sünnetli olmayan ama Yasaya uyan kişi seni yargılamayacak mı?
26Kama mtu wa mataifa mengine ambaye hakutahiriwa akitimiza matakwa ya Sheria, hakika atafikiriwa kana kwamba ametahiriwa.
28Çünkü ne dıştan Yahudi olan gerçek Yahudidir, ne de görünüşte, bedensel olan sünnet gerçek sünnettir.
27Watu wa mataifa mengine watakuhukumu wewe Myahudi kama ukiivunja Sheria, ingawaje unayo maandishi ya Sheria na umetahiriwa, hali wao wanaitii Sheria ingawa hawakutahiriwa.
29Ancak içten Yahudi olan Yahudi'dir. Sünnet de yürekle ilgilidir; yazılı yasanın değil, Ruh'un işidir. İçten Yahudi olan kişi, insanların değil, Tanrı'nın övgüsünü kazanır.
28Ndiyo kusema, si kila anayeonekana kwa nje kuwa Myahudi ni Myahudi wa kweli, wala mtu hawi Myahudi wa kweli ati kwa kuwa ametahiriwa kimwili.
29Myahudi wa kweli ni yule aliye Myahudi kwa ndani, yaani yule ambaye ametahiriwa moyoni. Hili ni jambo la Roho, na si jambo la maandishi ya Sheria. Mtu wa namna hiyo anapata sifa, si kutoka kwa watu, bali kutoka kwa Mungu.