Swahili: New Testament

Turkish: New Testament

1 Timothy

4

1Roho asema waziwazi kwamba siku za baadaye watu wengine wataitupilia mbali imani; watazitii roho danganyifu na kufuata mafundisho ya pepo.
1Ruh açıkça diyor ki, sonraki zamanlarda bazıları imandan dönecek.
2Mafundisho ya namna hiyo yanaenezwa na watu waongo wadanganyifu, ambao dhamiri zao ziko kama zimechomwa kwa chuma cha moto.
2Vicdanları âdeta kızgın bir demirle dağlanmış olan yalancıların ikiyüzlülüğü nedeniyle aldatıcı ruhlara ve cinlerin öğretilerine kulak verecekler.
3Watu hao hufundisha kwamba ni makosa kuona na pia kula vyakula fulani. Lakini Mungu aliviumba vyakula hivyo, ili wale walio waumini na ambao wanapata kuujua ukweli, wavitumie kwa shukrani.
3Bu yalancılar evlenmeyi yasaklayacak, Tanrı'nın, iman eden ve gerçeği bilenlerin şükranla yemesi için yarattığı yiyeceklerden çekinmek gerektiğini buyuracaklar.
4Kila kitu alichoumba Mungu ni chema, wala hakuna kinachohitaji kukataliwa, bali vyote vipokelewe kwa sala ya shukrani,
4Oysa Tanrı'nın yarattığı her şey iyidir; ve şükranla kabul olunursa, hiçbir şey reddedilmemelidir.
5kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.
5Çünkü her şey Tanrı'nın sözü ve dua ile kutsal kılınır.
6Kama ukiwapa ndugu wote maagizo haya, utakuwa mtumishi mwema wa Kristo Yesu, ukijiendeleza kiroho kwa maneno ya imani na mafundisho ya kweli, ambayo wewe umeyafuata.
6Bunları kardeşlere öğütlersen, imanın ve izlediğin iyi öğretinin sözleriyle beslenmiş olarak Mesih İsa'nın iyi bir hizmetkârı olursun.
7Lakini achana na hadithi zile zisizo za kidini na ambazo hazina maana. Jizoeshe kuishi maisha ya uchaji wa Mungu.
7Kocakarılara yaraşan bayağı masalları reddet. Kendini Tanrı yolunda eğit.
8Mazoezi ya mwili yana faida yake, lakini mazoezi ya kiroho yana faida za kila namna, maana yanatuahidia uzima katika maisha ya sasa, na pia hayo yanayokuja.
8Bedeni eğitmenin az bir yararı var; ama şimdiki ve gelecek yaşamın vaadini içeren Tanrı yolunda yürümek her yönden yararlıdır.
9Usemi huo ni wa kusadikika kabisa na unastahili kukubaliwa.
9Bu söz güvenilirdir ve her bakımdan kabule layıktır.
10Sisi tunajitahidi na kufanya kazi kwa bidii kwani tumemwekea tumaini letu Mungu aliye hai ambaye ni Mwokozi wa watu wote, na hasa wale wanaoamini.
10Bunun için emekveriyor ve mücadele ediyoruz. Çünkü ümidimizi, bütün insanların, özellikle iman edenlerin Kurtarıcısı olan, yaşayan Tanrı'ya bağlamışızdır.
11Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.
11Bunları buyur ve öğret.
12Usikubali mtu yeyote akudharau kwa sababu wewe ni kijana, lakini jitahidi uwe mfano kwa wanaoamini: katika usemi wako, mwenendo wako, upendo, imani na maisha safi.
12Gençsin diye kimse seni küçümsemesin. Söz söylemekte, yaşayışta, sevgide, imanda ve paklıkta, iman edenlere örnek ol.
13Tumia wakati wako na juhudi yako katika kusoma hadharani Maandiko Matakatifu, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja.
13Ben yanına gelinceye dek topluluğa Kutsal Yazıları okumaya, öğütte bulunmaya ve ders vermeye ada kendini.
14Usiache kukitumia kile kipaji cha Kristo ndani yako ulichopewa kwa maneno ya manabii na kwa kuwekewa mikono na wazee.
14Peygamberlik sözüyle ve ihtiyarlar kurulunun, ellerini senin üzerine koymasıyla sana verilmiş ve hâlâ sende olan ruhsal armağanı ihmal etme.
15Fikiri kwa makini juu ya hayo yote na kuyatekeleza kusudi maendeleo yako yaonekane na wote.
15Bu konuların üzerinde dur. Kendini bunlara ver ki, herkes senin ilerlediğini görsün.
16Angalia sana mambo yako mwenyewe, na mafundisho yako. Endelea kufanya hayo maana ukifanya hivyo utajiokoa mwenyewe na wale wanaokusikiliza.
16Kendine ve öğretine dikkat et, bu yolda yürümeye devam et. Çünkü bunu yapmakla hem kendini, hem seni dinleyenleri kurtaracaksın.