Swahili: New Testament

Turkish: New Testament

2 Corinthians

3

1Je, tunaanza tena kujipendekeza? Je, tunahitaji barua ya utambulisho kwenu, au kutoka kwenu, kama watu wengine?
1Kendimizi yine tavsiye etmeye mi başlıyoruz? Yahut bazıları gibi size ya da sizden tavsiye mektuplarına mı ihtiyacımız var?
2Ninyi wenyewe ni barua yetu; barua iliyoandikwa mioyoni mwetu kila mtu aione na kuisoma.
2Bütün insanlarca bilinen ve okunan, yüreklerimizde yazılı olan mektubumuz sizsiniz.
3Ni dhahiri kwamba ninyi ni barua ya Kristo aliyoipeleka kwa mikono yetu. Barua yenyewe imeandikwa si kwa wino, bali kwa Roho wa Mungu hai; imeandikwa si juu ya kipande cha jiwe, bali juu ya mioyo ya watu.
3Hizmetimizin sonucu olup mürekkeple değil, yaşayan Tanrı'nın Ruhuyla, taş levhalara değil, insan yüreğinin levhalarına yazılmış Mesih'in mektubu olduğunuz açıktır.
4Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.
4Mesih'in sayesindeTanrı'ya böyle bir güvenimiz vardır.
5Si kwamba sisi tunaweza kufanya chochote kwa nguvu zetu wenyewe, ila uwezo wetu wote hutoka kwa Mungu:
5Herhangi bir şeyi kendi başarımız olarak saymaya yeterliyiz demek istemiyorum; bizi yeterli kılan Tanrı'dır.
6maana yeye ndiye aliyetuwezesha kulihudumia Agano Jipya ambalo si agano la sheria iliyoandikwa, bali Agano la Roho. Maana sheria iliyoandikwa huleta kifo, lakini Roho huleta uzima.
6O bizi yazılı yasaya değil, Ruh'a dayalı yeni bir antlaşmanın hizmetkârları olmaya yeterli kıldı. Yazılı yasa öldürür, Ruh ise yaşatır.
7Sheria iliwekwa kwa kuandikwa juu ya vipande vya mawe. Ingawaje mwisho wake umekuwa kifo, utukufu wake ulikuwa mkuu mno hata wana wa Israeli wasiweze kuutazama uso wa Mose kwa sababu ya mng'ao wake. Tena mng'ao huo ulikuwa wa muda tu. Basi, ikiwa huduma ya kile ambacho kimesababisha kifo imefanyika kwa utukufu mwingi kiasi hicho,
7Ölümle sonuçlanan hizmet, yani taş üzerine harf harf kazılmış olan yasa yücelik içinde geldiyse - öyle ki, İsrail oğulları, geçici olan parlaklığından ötürü Musa'nın yüzüne bakamıyorlardı - Ruh'a dayalı hizmetin yücelik içinde olacağı daha kesin değil mi?
8basi, huduma ya Roho ina utukufu mkuu zaidi.
9İnsanı mahkûm eden hizmetin yüceliği varsa, aklanmayı sağlayan hizmetin yüceliği çok daha aşkındır.
9Ikiwa basi, kulikuwa na utukufu katika huduma ile iliyoleta hukumu, ni wazi kwamba huduma ile iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu itakuwa na utukufu mkuu zaidi.
10Çünkü eskiden yüceltilmiş olanın, şimdi yücelikte aşkın olana göre yüceliği yoktur.
10Sasa utukufu mkuu zaidi umechukua nafasi ya ule utukufu uliokuja hapo awali, ambao fahari yake imekwisha toweka.
11Geçici olan, yücelik içinde geldiyse, kalıcı olanın yüceliği çok daha büyüktür.
11Maana ikiwa kile kilichokuwa cha muda tu kilikuwa na utukufu wake, bila shaka kile chenye kudumu milele kitakuwa na utukufu mkuu zaidi.
12Böyle bir ümide sahip olduğumuz için büyük cesaretle konuşabiliriz.
12Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.
13Yüzündeki parlaklığın giderek söndüğünü İsrail oğulları görmesin diye yüzünü peçeyle örten Musa gibi değiliz.
13Sisi hatufanyi kama Mose ambaye alilazimika kuufunika uso wake kwa kitambaa ili watu wa Israeli wasiuone ule mwisho wa mng'ao uliokuwa unafifia.
14İsrail oğullarının zihinleri körleşmişti. Bugün bile eski antlaşmayı okudukları zaman zihinleri aynı peçeyle örtülü kalıyor. Çünkü bu peçe yalnız Mesih aracılığıyla kalkar.
14Lakini akili zao zilipumbazwa. Mpaka leo hii lisomwapo Agano la Kale, kifuniko hicho bado kipo. Kifuniko hicho kitaondolewa tu mtu anapoungana na Kristo.
15Ne var ki bugün bile, Musa'nın yazıları okundukça bir peçe yüreklerini örtüyor.
15Naam, mpaka hivi leo kila isomwapo Sheria ya Mose akili zao huwa zimefunikwa.
16Oysa ne zaman birisi Rab'be dönerse, o peçe kaldırılır.
16Lakini, wakati mtu amgeukiapo Bwana, kifuniko hicho huondolewa.
17Rab Ruh'tur ve Rab'bin Ruhu neredeyse orada özgürlük vardır.
17Hapa "Bwana" ni Roho; na pale alipo Roho wa Bwana ndipo ulipo uhuru.
18Ve biz hepimiz peçesiz yüzle Rab'bin yüceliğini görerek yücelik üstüne yücelikle O'na benzer olmak üzere değiştiriliyoruz. Bu da Ruh olan Rab sayesinde oluyor.
18Basi, sisi sote ambao nyuso zetu hazikufunikwa, twaonyesha kama katika kioo, utukufu wa Bwana; tunabadilishwa tufanane zaidi na huo mfano wake kwa utukufu mwingi zaidi. Hiyo ni kazi yake Roho wa Bwana.