Swahili: New Testament

Turkish: New Testament

2 Timothy

3

1Kumbuka kwamba, katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu.
1Şunu bil ki, son günlerde çetin anlar olacaktır.
2watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana Mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu;
2İnsanlar, kendilerini seven, para düşkünü, övüngen, kibirli, küfürbaz, anne baba sözü dinlemez, nankör, kutsallıktan ve sevgiden yoksun, uzlaşmaz, iftiracı, özünü denetleyemeyen, azgın ve iyilik düşmanı olacaklar.
3watatokea watu wasio na upendo moyoni, wasio na huruma, wachongezi, walafi na wakali; watachukia chochote kilicho chema;
4Hain, aceleci, kendini beğenmiş, Tanrı'dan çok eğlenceyi seven, Tanrı yolundaymış gibi görünüp bu yolun gücünü inkâr edenler olacaklar. Böylelerinden uzak dur.
4watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.
6Çünkü evlerin içine sokulup, günahla yüklü, çeşitli arzularla sürüklenen, her zaman öğrenen, ama gerçeğin bilgisine bir türlü erişemeyen zayıf iradeli kadınları âdeta tutsak eden adamlar bunlardandır.
5Kwa nje wataonekana kama watu wenye kumcha Mungu, lakini wataikana nguvu yake. Jiepushe kabisa na watu wa namna hiyo.
8Yannis ile Yambris nasıl Musa'ya karşı geldilerse, bunlar da aynı şekilde gerçeğe karşı gelirler. Düşünceleri yozlaşmış, iman konusunda reddedilmiş insanlardır.
6Baadhi yao huenda katika nyumba za watu na huwateka wanawake dhaifu waliolemewa mizigo ya dhambi na ambao wanaongozwa na tamaa za kila aina;
9Ama daha ileri gidemeyecekler. Çünkü Yannis ile Yambris örneğindeki gibi, bunların da akılsızlığını herkes açıkça görecektir.
7wanawake ambao wanajaribu daima kujifunza lakini hawawezi kuufikia ujuzi wa huo ukweli.
10Sen ise benim öğretimi, davranışımı, amacımı, imanımı, sabrımı, sevgimi, dayanma gücümü, çektiğim zulüm ve acıları, örneğin Antakya, Konya ve Listra'da başıma gelenleri yakından izledin. Ne zulümlere katlandım! Ama Rab beni hepsinden kurtardı.
8Watu hao huupinga ukweli kama vile Yane na Yambre walivyompinga Mose.
12Mesih İsa'ya ait olup Tanrı yoluna yaraşır bir yaşam sürmek isteyenlerin hepsi de zulüm görecek.
9Lakini hawataweza kuendelea zaidi kwa maana upumbavu wao utaonekana wazi kwa wote. Ndivyo ilivyokuwa kwa akina Yane na Yambre.
13Ama kötü ve sahtekâr kişiler, aldatarak ve aldanarak gittikçe daha beter olacaklar.
10Wewe lakini, umeyafuata mafundisho yangu, mwenendo wangu, makusudi yangu katika maisha, imani yangu, uvumilivu wangu, upendo wangu, subira yangu,
14Sen ise öğrendiğin ve güvendiğin ilkelere bağlı kal. Çünkü bunları kimlerden öğrendiğini biliyorsun. Mesih İsa'ya olan iman aracılığıyla seni bilge kılıp kurtuluşa kavuşturacak güçte olan Kutsal Yazıları da çocukluğundan beri biliyorsun.
11udhalimu na mateso yangu. Unayajua mambo yaliyonipata huko Antiokia, Ikonio na Lustra. Nilivumilia udhalimu mkubwa mno! Lakini Bwana aliniokoa katika mambo hayo yote.
16Kutsal Yazıların tümü Tanrı esinidir ve öğretmek, azarlamak, yola getirmek ve doğruluk konusunda eğitmek için yararlıdır.
12Kila mtu anayetaka kuishi maisha ya kumcha Mungu katika kuungana na Kristo Yesu lazima adhulumiwe.
17Bunlar sayesinde Tanrı adamı her iyi iş için donatılmış olarak yetkin olur.
13Watu waovu na wadanyanyifu watazidi kuwa waovu zaidi na zaidi kwa kuwadanganya wengine na kudanganyika wao wenyewe.
14Lakini wewe dumu katika ukweli ule uliofundishwa, ukaukubali kabisa. Unawajua wale waliokuwa walimu wako.
15Unakumbuka kwamba tangu utoto wako umeyajua Maandiko Matakatifu ambayo yaweza kukupatia hekima iletayo wokovu kwa njia ya imani kwa Kristo Yesu.
16Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha adili,
17ili mtu anayemtumikia Mungu awe mkamilifu, na tayari kabisa kufanya kila tendo jema.