Swahili: New Testament

Turkish: New Testament

Colossians

2

1Napenda mjue jinsi ninavyofanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu, kwa ajili ya watu wa Laodikea na kwa ajili ya wote ambao hawajapata kuniona kwa macho.
1Gerek sizler, gerek Laodikya'da bulunanlar ve gerekse yüzümü hiç görmemiş olanların hepsi için ne denli büyük bir uğraş verdiğimi bilmenizi isterim.
2Nafanya hivi kusudi mioyo yao ifarijiwe na kuvutwa pamoja katika upendo, ili wajazwe uthabiti mwingi uletwao na elimu ya kweli. Hapo wataijua siri ya Mungu ambayo ni Kristo mwenyewe.
2Yüreklerinin cesaret bulmasını ve sevgide birleşmelerini dilerim. Öyle ki, anlayışın verdiği tam güvenliğin bütün zenginliğine kavuşsunlar ve Tanrı'nın sırrını, yani bilginin ve bilgeliğin tüm hazinelerinin saklı olduğu Mesih'i tanısınlar.
3Ndani yake zimefichika hazina zote za hekima na elimu.
4Bunu, kimse sizi kulağı okşayan sözlerle aldatmasın diye söylüyorum.
4Basi, nawaambieni, msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa maneno ya uongo hata kama ni ya kuvutia sana.
5Çünkü her ne kadar bedence aranızda değilsem de, ruhça sizinle beraberim. Düzenliliğinizi ve Mesih'e imanınızın sağlamlığını görüyor ve seviniyorum.
5Maana, ingawa mimi niko mbali nanyi kwa mwili, lakini niko pamoja nanyi kwa roho, na ninafurahi kuona uthabiti kamili mnaosimama nao pamoja katika imani yenu kwa Kristo.
6O halde Rab Mesih İsa'yı nasıl kabul ettinizse, öylece O'nda yaşayın.
6Maadamu ninyi mmemkubali Kristo Yesu kuwa Bwana, basi, ishini katika muungano naye.
7Şükranla dolup taşarak O'nda köklenin ve gelişin, size öğretildiği gibi imanda güçlenin.
7Mnapaswa kuwa na mizizi ndani yake, kujijenga juu yake na kuwa imara katika imani yenu kama mlivyofundishwa. Muwe na shukrani tele.
8Dikkatli olun! Mesih'e değil de, insanların geleneğine ve dünyanın temel ilkelerine dayanan felsefeyle, boş ve aldatıcı sözlerle kimse sizi tutsak etmesin.
8Angalieni basi, mtu asiwapotoshe kwa udanganyifu mtupu wa hekima ya kibinadamu, ambayo chanzo chake ni mafundisho ya mapokeo ya watu na ya pepo watawala, na wala si Kristo mwenyewe!
9Çünkü Tanrılığın tüm doluluğu bedence Mesih'te bulunuyor.
9Maana, ndani yake Kristo katika ubinadamu wake, umo ukamilifu wote wa Mungu,
10Siz de her yönetim ve hükümranlığın başı olan Mesih'te doluluğa kavuştunuz.
10nanyi mmepewa uzima kamili katika kuungana naye. Yeye yuko juu ya pepo watawala wote na wakuu wote.
11Ayrıca Mesih'in gerçekleştirdiği sünnet sayesinde günahlı benliğinizden soyunarak elle yapılmayan sünnetle O'nda sünnet edildiniz.
11Katika kuungana na Kristo ninyi mlitahiriwa, lakini si kwa tohara ifanywayo na watu, bali inayofanywa na Kristo mwenyewe, na ambayo inahusikana na kukombolewa kutoka katika utu wa dhambi.
12Vaftizde O'nunla birlikte gömüldünüz ve O'nu ölümden dirilten Tanrı'nın gücüne iman ederek O'nunla birlikte dirildiniz.
12Maana, mlipobatizwa mlizikwa pamoja na Kristo, na katika ubatizo, mlifufuliwa pia pamoja naye kwa imani yenu katika nguvu ya Mungu ambaye alimfufua Kristo kutoka wafu.
13Siz suçlarınız ve benliğinizin sünnetsizliği yüzünden ölüyken, Tanrı sizi Mesih'le birlikte yaşama kavuşturdu. Bütün suçlarımızı O bağışladı.
13Wakati mmoja nanyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kwa sababu ninyi mlikuwa watu wa mataifa mengine. Lakini Mungu amewapa ninyi uzima pamoja na Kristo. Mungu ametusamehe dhambi zetu zote;
14Kurallarıyla bize karşı ve aleyhimizde olan yazılı antlaşmayı sildi, onu çarmıha mıhlayıp ortadan kaldırdı.
14alifutilia mbali ile hati ya deni iliyokuwa inatukabili na masharti yake, na kuifuta kabisa kwa kuipigilia msalabani.
15Yönetimlerin ve hükümranlıkların elindeki silahları alıp onları çarmıhta yenerek açıkça gözler önüne serdi.
15Juu ya msalaba Kristo aliwapokonya nguvu zao hao pepo watawala na wakuu; aliwafanya kuwa kitu cha fedheha hadharani kwa kuwaburuta kama mateka katika msafara wa ushindi wake.
16Bu nedenle yiyecek ve içecek, bayram, yeni ay ya da Sept günü konusunda hiç kimse sizi yargılamasın.
16Kwa hiyo, basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya Mwezi mpya au Sabato.
17Bunlar gelecek şeylerin gölgesidir, aslı ise Mesih'tedir.
17Mambo ya aina hiyo ni kivuli tu cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo.
18Sahte alçakgönüllülükte ve meleklere tapınmakta direnen, gördüğü düşlerin üzerinde durarak doğal benliğin düşünceleriyle boş yere böbürlenen ve Baş'a tutunmayan hiç kimse sizi ödülünüzden yoksun bırakmasın. Tüm beden, eklemler ve bağlar yardımıyla bu Baş'tan beslenip bütünlenmekte, Tanrı'nın sağladığı büyümeyle gelişmektedir.
18Msikubali kuhukumiwa na mtu yeyote anayejitakia kuwa wa maana kwa sababu ya maono ya pekee na ambaye anasisitiza juu ya unyenyekevu wa uongo na ibada kwa malaika. Mtu wa namna hiyo amepumbazika kwa fikira danganifu za kidunia
20Mesih'le birlikte ölüp dünyanın temel ilkelerinden kurtulduğunuza göre, dünyada yaşayanlar gibi niçin, «Şunu tutma», «Bunu tatma», «Şuna dokunma» gibi kurallara uyuyorsunuz?
19na amejitenga na Kristo aliye kichwa cha huo mwili. Chini ya uongozi wa Kristo, mwili wote unalishwa na kuunganishwa pamoja kwa viungo na mishipa yake, nao hukua kama atakavyo Mungu.
22Bu kuralların hepsi, kullanıldıkça yok olacak nesnelerle ilgilidir; insanların buyruklarına ve öğretilerine dayanırlar.
20Ninyi mmekufa pamoja na Kristo na kukombolewa kutoka nguvu za pepo watawala wa ulimwengu. Kwa nini, basi, kuishi tena kama vile mngekuwa wa ulimwengu huu? Ya nini kuwekewa masharti:
23Kuşkusuz bu kuralların uydurma dindarlık, sahte alçakgönüllülük ve bedene eziyet açısından bilgece bir görünüşü vardır; ama doğal benliğin düşkünlüğünü önlemekte hiçbir yararları yoktur.
21"Msishike hiki," "Msionje kile," "Msiguse kile!"
22Mambo hayo yote yanahusika na vitu vyenye kuharibika mara tu vinapotumiwa; hayo ni maagizo na mafundisho ya kibinadamu tu.
23Kweli, masharti hayo yaonekana kuwa ya hekima katika namna ya ibada ya kujitakia wenyewe, unyenyekevu wa uongo na kuutendea mwili kwa ukali; lakini kwa kweli, haifai chochote kuzuia tamaa za mwili.