Swahili: New Testament

Turkish: New Testament

John

2

1Siku ya tatu kulikuwa na arusi mjini Kana, mkoani Galilaya. Mama yake Yesu alikuwapo,
1Üçüncü gün Celile'nin Kana köyünde bir düğün vardı. İsa'nın annesi oradaydı.
2naye Yesu alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.
2İsa ve öğrencileri de düğüne çağrılmışlardı.
3Divai ilipokwisha, mama yake akamwambia, "Hawana divai!"
3Şarap tükenince İsa'nın annesi O'na, «Şarapları kalmadı» dedi.
4Yesu akamjibu, "Mama, usiniambie la kufanya. Saa yangu bado."
4İsa, «Anne, benden ne istiyorsun? Benim saatim daha gelmedi» dedi.
5Hapo mama yake akawaambia watumishi, "Lolote atakalowaambieni, fanyeni."
5Annesi hizmet edenlere, «Size ne derse onu yapın» dedi.
6Hapo palikuwa na mitungi sita ya mawe, ambayo kila mmoja uliweza kuchukua kiasi cha madebe mawili au matatu. Ilikuwa imewekwa hapo kufuatana na desturi ya Kiyahudi ya kutawadha.
6Yahudilerin geleneksel temizliği için oraya konmuş, her biri seksenle yüz yirmi litre alan altı taş küp vardı.
7Yesu akawaambia, "Ijazeni mitungi hiyo maji." Nao wakaijaza mpaka juu.
7İsa hizmet edenlere, «Küpleri suyla doldurun» dedi. Küpleri ağızlarına kadar doldurdular.
8Kisha akawaambia, "Sasa choteni mkampelekee mkuu wa karamu."
8Sonra hizmet edenlere, «Şimdi bundan alın, şölen başkanına götürün» dedi. Onlar da götürdüler.
9Mkuu wa karamu alipoonja hayo maji, kumbe yalikuwa yamegeuka kuwa divai. Yeye hakujua ilikotoka, (lakini wale watumishi waliochota maji walijua). Mkuu wa karamu akamwita bwana arusi,
9Şölen başkanı, şaraba dönüşmüş suyu tattı. Bunun nereden geldiğini bilemedi, oysa suyu küpten alan hizmetkârlar biliyorlardı. Şölen başkanı güveyi çağırıp ona dedi ki, «Herkes önce iyi şarabı, çok içildikten sonra da kötüsünü sunar. Ama sen iyi şarabı şimdiye dek saklamışsın.»
10akamwambia, "Kila mtu huandaa divai nzuri kwanza hata wakisha tosheka huandaa ile hafifu. Lakini wewe umeiweka divai nzuri mpaka sasa!"
11İsa bu ilk mucizesini Celile'nin Kana köyünde yaptı ve yüceliğini gösterdi. Öğrencileri de O'na iman ettiler.
11Yesu alifanya ishara hii ya kwanza huko Kana, Galilaya, akaonyesha utukufu wake; nao wanafunzi wake wakamwamini.
12Bundan sonra İsa, annesi, kardeşleri ve öğrencileri Kefernahum'a gidip orada birkaç gün kaldılar.
12Baada ya hayo, Yesu alishuka pamoja na mama yake, ndugu zake na wanafunzi wake, wakaenda Kafarnaumu ambako walikaa kwa siku chache.
13Yahudilerin Fısıh bayramı yakındı. İsa da Kudüs'e gitti.
13Sikukuu ya Wayahudi ya Pasaka ilikuwa imekaribia; hivyo Yesu akaenda Yerusalemu.
14Tapınağın avlusunda sığır, koyun ve güvercin satanlarla orada oturmuş para bozanları gördü.
14Hekaluni aliwakuta watu wakiuza ng'ombe, kondoo na njiwa, na wavunja fedha walikuwa wamekaa kwenye meza zao.
15İpten bir kamçı yaparak hepsini, koyunlar ve sığırlarla birlikte tapınaktan kovdu, para bozanların paralarını döktü ve masalarını devirdi.
15Akatengeneza mjeledi wa kamba, akawafukuza wote nje ya Hekalu pamoja na kondoo na ng'ombe wao, akazimwaga sarafu za wenye kuvunja fedha na kupindua meza zao.
16Güvercin satanlara, «Bunları buradan kaldırın, Babamın evini pazar yerine çevirmeyin!» dedi.
16Akawaambia wale waliokuwa wanauza njiwa, "Ondoeni vitu hivi hapa. Msiifanye nyumba ya Baba yangu kuwa soko!"
17Öğrencileri, «Senin evin için gösterdiğim gayret beni yiyip bitirecek» diye yazılmış olan sözü hatırladılar.
17Wanafunzi wake wakakumbuka kwamba Maandiko yasema: "Upendo wangu kwa nyumba yako waniua."
18Yahudiler İsa'ya, «Bunları yaptığına göre, bize nasıl bir mucize göstereceksin?» diye sordular.
18Baadhi ya Wayahudi wakamwuliza Yesu, "Utafanya muujiza gani kuonyesha kwamba unayo haki kufanya mambo haya?"
19İsa şu cevabı verdi: «Bu tapınağı yıkın, üç günde onu yeniden kuracağım.»
19Yesu akawaambia, "Vunjeni Hekalu hili, nami nitalijenga kwa siku tatu."
20Yahudiler, «Bu tapınak kırk altı yılda yapıldı, sen onu üç günde mi kuracaksın?» dediler.
20Hapo Wayahudi wakasema, "Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arobaini na sita. Je, wewe utalijenga kwa siku tatu?"
21Ama İsa'nın sözünü ettiği tapınak kendi bedeniydi.
21Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya Hekalu ambalo ni mwili wake.
22İsa ölümden dirilince öğrencileri bu sözü söylediğini hatırladılar, Kutsal Yazı'ya ve İsa'nın söylediği bu söze iman ettiler.
22Basi, alipofufuliwa kutoka wafu, wanafunzi wake walikumbuka kwamba alikuwa amesema hayo, wakaamini Maandiko Matakatifu na yale maneno aliyokuwa akisema Yesu.
23Fısıh bayramında İsa'nın Kudüs'te bulunduğu sırada yaptığı mucizeleri gören birçokları O'nun adına iman ettiler.
23Yesu alipokuwa Yerusalemu kwa sikukuu ya Pasaka, watu wengi walimwamini walipoona ishara alizozifanya.
24Ama İsa bütün insanların yüreğini bildiği için onlara güvenmiyordu.
24Lakini Yesu hakuwa na imani nao kwa sababu aliwajua wote.
25İnsan hakkında kimsenin O'na bir şey söylemesine gerek yoktu. Çünkü kendisi insanın içinden geçenleri biliyordu.
25Hakuhitaji kuambiwa chochote juu ya watu, maana aliyajua barabara mambo yote yaliyomo mioyoni mwao.