1"Wakati huo, Ufalme wa mbinguni utafanana na wasichana kumi waliochukua taa zao, wakaenda kumlaki bwana arusi.
1«O zaman Göklerin Egemenliği, kandillerini alıp güveyi karşılamaya çıkmış olan on kıza benzeyecek.
2Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
2Bunların beşi akılsız, beşi de akıllıymış.
3Wale wapumbavu walichukua taa zao, lakini hawakuchukua akiba ya mafuta.
3Akılsızlar kandillerini almışlarsa da, yanlarına yağ almamışlar.
4Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.
4Akıllılar ise, kandilleriyle birlikte kaplar içinde yağ da almışlar.
5Kwa kuwa bwana arusi alikawia kuja, wale wanawali wote wote walisinzia, wakalala.
5Güvey gecikince hepsini uyku tutmuş ve dalıp uyumuşlar.
6Usiku wa manane kukawa na kelele: Haya, haya! Bwana arusi anakuja; nendeni kumlaki.
6«Gece yarısı bir ses yankılanmış: `İşte güvey geliyor, onu karşılamaya çıkın!'
7Hapo wale wanawali wote wakaamka, wakazitayarisha taa zao.
7Bunun üzerine kızların hepsi kalkıp kandillerini tazelemişler.
8Wale wapumbavu wakawaambia wale wenye busara: Tupeni mafuta yenu kidogo maana taa zetu zinazimika.
8«Akılsızlar akıllılara, `Kandillerimiz sönüyor, bize yağınızdan verin!' demişler.
9Lakini wale wenye busara wakawaambia, Hayatatutosha sisi na ninyi! Afadhali mwende dukani mkajinunulie wenyewe!
9«Akıllılar, `Olmaz! Hem bize hem size yetmeyebilir. En iyisi satıcılara gidin, kendinize yağ alın' demişler.
10Basi, wale wanawali wapumbavu walipokwenda kununua mafuta, bwana arusi akafika, na wale wanawali waliokuwa tayari wakaingia pamoja naye katika jumba la arusi, kisha mlango ukafungwa.
10«Ne var ki, onlar yağ satın almaya giderlerken güvey gelmiş. Hazırlıklı olan kızlar, onunla birlikte düğün şölenine girmişler ve kapı kapanmış.
11Baadaye wale wanawali wengine wakaja, wakaita: Bwana, bwana, tufungulie!
11«Daha sonra gelen öbür kızlar, `Efendimiz, efendimiz, aç kapıyı bize!' demişler.
12Lakini yeye akawajibu, Nawaambieni kweli, siwajui ninyi."
12«Güvey ise, `Size doğrusunu söyleyeyim, sizi tanımıyorum' demiş.
13Kisha Yesu akasema, "Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.
13«Bu nedenle uyanık durun. Çünkü o günü ve o saati bilemezsiniz.
14"Itakuwa kama mtu mmoja aliyetaka kusafiri ng'ambo: aliwaita watumishi wake, akawakabidhi mali yake.
14«Göksel Egemenlik, yolculuğa çıkmak üzere olan bir adamın kölelerini çağırıp malını onlara emanet etmesine benzer.
15Alimpa kila mmoja kadiri ya uwezo wake: mmoja sarafu tano za fedha ziitwazo talanta, mwingine talanta mbili na mwingine talanta moja, kisha akasafiri.
15«Adam, her birinin yeteneğine göre, birine beş, birine iki, birine de bir talant vererek yola çıkmış.
16Mara yule aliyekabidhiwa talanta tano akafanya kazi nazo akapata faida talanta tano.
16Beş talant alan, hemen gidip bu parayı işletmiş ve beş talant daha kazanmış.
17Hali kadhalika na yule aliyekabidhiwa talanta mbili akapata faida talanta mbili.
17İki talant alan da iki talant daha kazanmış.
18Lakini yule aliyekabidhiwa talanta moja akaenda akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake.
18Bir talant alan ise gidip toprağı kazmış ve efendisinin parasını saklamış.
19"Baada ya muda mrefu, yule bwana alirudi, akaanza kukagua hesabu ya matumizi na mapato ya fedha yake.
19«Uzun zaman sonra bu kölelerin efendisi dönmüş, onlarla hesaplaşmaya oturmuş.
20Mtumishi aliyekabidhiwa talanta tano akaja amechukua zile talanta tano faida, akamwambia, Bwana, ulinikabidhi talanta tano, hapa pana talanta tano zaidi faida niliyopata.
20Beş talant almış olan gelip beş talant daha getirmiş, `Efendimiz' demiş, `bana beş talant emanet etmiştin; bak, beş talant daha kazandım.'
21Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.
21«Efendisi ona, `Aferin, iyi ve güvenilir köle!' demiş. `Sen küçük işlerde güvenilir olduğunu gösterdin, ben de seni büyük işlerin başına geçireceğim. Gel, efendinin şenliğine katıl!'
22"Mtumishi aliyekabidhiwa talanta mbili akaja, akatoa talanta mbili faida, akisema, Bwana, ulinikabidhi talanta mbili. Chukua talanta mbili zaidi faida niliyopata.
22«İki talant almış olan da gelmiş, `Efendimiz' demiş, `bana iki talant emanet etmiştin; bak, iki talant daha kazandım.'
23Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo, nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.
23«Efendisi ona, `Aferin, iyi ve güvenilir köle!' demiş. `Sen küçük işlerde güvenilir olduğunu gösterdin, ben de seni büyük işlerin başına geçireceğim. Gel, efendinin şenliğine katıl!'
24"Lakini yule aliyekabidhiwa talanta moja akaja, akasema, Bwana, najua wewe ni mtu mgumu; wewe huvuna pale ambapo hukupanda, na kukusanya pale ambapo hukutawanya.
24«Sonra bir talant almış olan gelmiş, `Efendimiz' demiş, `senin sert bir adam olduğunu biliyordum. Ekmediğin yerden biçer, harman savurmadığın yerden devşirirsin.
25Niliogopa, nikaificha fedha yako katika ardhi. Chukua basi mali yako.
25Bu nedenle korktum, gidip senin verdiğin talantı toprağa gömdüm. İşte, al paranı!'
26"Bwana wake akamwambia, Wewe ni mtumishi mwovu na mvivu! Unajua kuwa mimi huvuna mahali ambapo sikupanda, na hukusanya pale ambapo sikutawanya.
26«Efendisi ona şu karşılığı vermiş: `Kötü ve tembel köle! Ekmediğim yerden biçtiğimi, harman savurmadığım yerden devşirdiğimi biliyordun ha? Öyleyse paramı faizcilere vermeliydin. Ben de geldiğimde onu faiziyle geri alırdım...
27Ilikupasa basi, kuiweka fedha yangu katika benki, nami ningelichukua mtaji wangu na faida yake!
28Haydi, elindeki talantı alın, on talantı olana verin!
28Basi, mnyang'anyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi.
29Çünkükimde varsa, ona daha çok verilecek ve o bolluk içinde olacak. Ama kimde yoksa, kendisinde olan da elinden alınacak.
29Maana, aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
30Şu yararsız köleyi dışarıya, karanlığa atın. Orada ağlayış ve diş gıcırtısı olacaktır.'
30Na kuhusu huyu mtumishi asiye na faida, mtupeni nje gizani! Huko kutakuwa na kilio na kusaga meno.
31«İnsanoğlu kendi görkemi içinde bütün melekleriyle birlikte gelince, görkemli tahtına oturacak.
31"Wakati Mwana wa Mtu atakapokuja katika utukufu wake na malaika wote wakiwa pamoja naye, hapo ataketi juu ya kiti chake cha enzi kitukufu,
32Ulusların hepsi O'nun önünde toplanacak, O da koyunları keçilerden ayıran bir çoban gibi, onları birbirinden ayıracak.
32na mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.
33Koyunları sağına, keçileri soluna alacak.
33Atawaweka kondoo upande wake wa kulia na mbuzi upande wake wa kushoto.
34«O zaman Kral, sağındaki kişilere, `Sizler, Babamın kutsadıkları, gelin!' diyecek. `Dünya kurulduğundan beri sizin için hazırlanmış olan egemenliği miras alın!
34"Kisha Mfalme atawaambia wale walio upande wake wa kulia, Njoni enyi mliobarikiwa na Baba yangu; pokeeni Ufalme mliotayarishiwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
35Çünkü acıkmıştım, bana yiyecek verdiniz; susamıştım, bana içecek verdiniz; yabancıydım, beni içeri aldınız.
35Maana nilikuwa na njaa nanyi mkanipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi mkanipa maji; nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;
36Çıplaktım, beni giydirdiniz; hastaydım, benimle ilgilendiniz; zindandaydım, yanıma geldiniz.'
36nilikuwa uchi, mkanivika; nilikuwa mgonjwa nanyi mkaja kunitazama; nilikuwa gerezani nanyi mkaja kunitembelea.
37«O vakit doğru kişiler O'na şu karşılığı verecekler: `Ya Rab, biz seni ne zaman aç görüp doyurduk, ya da susamış görüp içecek verdik?
37Hapo, hao watu wema watamjibu mfalme Bwana, ni lini tulikuona mwenye njaa nasi tukakupa chakula, au ukiwa na kiu nasi tukakunywesha maji?
38Seni ne zaman yabancı gördük de içeri aldık, ya da çıplak görüp giydirdik?
38Ni lini tulikuona ukiwa mgeni nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?
39Seni ne zaman hasta ya da zindanda görüp yanına geldik?'
39Ni lini tulikuona ukiwa mgonjwa au mfungwa nasi tukaja kukutazama?
40«Kral da onlara şöyle cevap verecek: `Size doğrusunu söyleyeyim, bu en basit kardeşlerimden biri için yaptığınızı, benim için yapmış oldunuz.'
40Mfalme atawajibu, Kweli nawaambieni, kila kitu mlichomtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu wadogo, mlinitendea mimi.
41«Sonra solundakilere şöyle diyecek: `Ey lanetliler, çekilin önümden! İblis ile onun melekleri için hazırlanmış sönmez ateşe yollanın!
41"Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, Ondokeni mbele yangu enyi mliolaaniwa! Nendeni katika moto wa milele aliotayarishiwa Ibilisi na malaika wake.
42Çünkü acıkmıştım, bana yiyecek vermediniz; susamıştım, bana içecek vermediniz; yabancıydım, beni içeri almadınız; çıplaktım, beni giydirmediniz; hastaydım, zindandaydım, benimle ilgilenmediniz.
42Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji.
44«O vakit onlar da şöyle karşılık verecekler: `Ya Rab, seni ne zaman aç, susamış, yabancı, çıplak, hasta ya da zindanda gördük de sana hizmet etmedik?'
43Nilikuwa mgeni nanyi hamkunikaribisha; nilikuwa mgonjwa na mfungwa nanyi hamkuja kunitazama.
45«Kral da onlara şu cevabı verecek: `Size doğrusunu söyleyeyim, mademki bu en basit kardeşlerimden biri için bunu yapmadınız, benim için de yapmamış oldunuz.'
44"Hapo nao watajibu, Bwana, ni lini tulikuona ukiwa na njaa au kiu, ukiwa mgeni au bila nguo, ukiwa mgonjwa au mfungwa, nasi hatukuja kukuhudumia?
46«Bunlar sonsuz azaba uğrayacak, doğrular ise sonsuz yaşama kavuşacaklar.»
45Naye atawajibu, Nawaambieni kweli, kila mlipokataa kumtendea mambo haya mmojawapo wa hawa wadogo, mlikataa kunitendea mimi.
46Basi, hawa watakwenda kwenye adhabu ya milele, lakini wale waadilifu watakwenda kwenye uzima wa milele."