Swahili: New Testament

Turkish: New Testament

Matthew

9

1Yesu alipanda mashua, akavuka ziwa na kufika katika mji wake.
1İsa bir kayığa binip karşı kıyıya geçti ve kendi kentine gitti.
2Hapo watu walimletea mtu mmoja aliyepooza mwili, amelazwa juu ya kitanda. Yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu aliyepooza, "Jipe moyo mwanangu! Umesamehewa dhambi zako."
2Kendisine, şilteye yatırılmış felçli bir adam getirdiler. Onların imanını gören İsa felçliye, «Oğlum, cesur ol, günahların bağışlandı» dedi.
3Baadhi ya walimu wa Sheria wakaanza kufikiri, "Mtu huyu anamkufuru Mungu!"
3Bunun üzerine bazı din bilginleri içlerinden, «Bu adam Tanrı'ya küfrediyor!» dediler.
4Yesu aliyajua mawazo yao, akasema, "Kwa nini mnawaza mabaya mioyoni mwenu?
4Onların ne düşündüklerini bilen İsa dedi ki, «Yüreğinizde neden kötü düşüncelere yer veriyorsunuz?
5Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Simama, utembee?
5Hangisi daha kolay? `Günahların bağışlandı' demek mi, yoksa `Kalk, yürü' demek mi?
6Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo wa kuwasamehe watu dhambi duniani." Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, "Inuka, chukua kitanda chako, uende nyumbani kwako."
6Ne var ki, İnsanoğlu'nun yeryüzünde günahları bağışlama yetkisine sahip olduğunu bilesiniz diye...» Sonra felçliye, «Kalk, şilteni topla ve evine git!» dedi.
7Huyo mtu aliyekuwa amepooza akainuka, akaenda nyumbani kwake.
7Adam da kalkıp evine gitti.
8Watu wote katika ule umati walipoona hayo, walishangaa na kuogopa; wakamtukuza Mungu aliyewapa binadamu uwezo wa namna hiyo.
8Halk bunu görünce korkuya kapıldı. İnsana böyle bir yetki veren Tanrı'yı yücelttiler.
9Yesu aliondoka hapo, na alipokuwa anakwenda zake, alimwona mtu mmoja aitwaye Mathayo, ameketi katika ofisi ya ushuru. Basi, Yesu akamwambia, "Nifuate." Naye Mathayo akainuka, akamfuata.
9İsa oradan geçerken, vergi toplama kulübesinde oturan birini gördü. Adı Matta olan bu adama, «Ardımdan gel» dedi. Adam da kalkıp İsa'nın ardından gitti.
10Yesu alipokuwa nyumbani ameketi kula chakula, watoza ushuru wengi na wahalifu walikuja wakaketi pamoja naye na wanafunzi wake.
10Sonra İsa, Matta'nın evinde sofrada otururken, birçok vergi görevlisi ve günahkâr birçok kişi gelip O'nunla ve öğrencileriyle birlikte oturdu.
11Mafarisayo walipoona hayo, wakawaambia wanafunzi wake, "Mbona mwalimu wenu anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?"
11Bunu gören Ferisiler, İsa'nın öğrencilerine, «Sizin öğretmeniniz neden vergi görevlileri ve günahkârlarla birlikte yemek yiyor?» diye sordular.
12Yesu aliwasikia, akasema, "Watu wenye afya hawahitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa. Sikuja kuwaita watu wema, ila wenye dhambi.
12İsa söylenenleri işitince şöyle dedi: «Sağlamların değil, hastaların hekime ihtiyacı var.
13Basi, kajifunzeni maana ya maneno haya: Nataka huruma, wala si dhabihu. Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi."
13Gidin de, `Ben kurban değil, merhamet isterim' sözünün anlamını öğrenin. Çünkü ben doğrukişileri değil, günahkârları çağırmaya geldim.»
14Kisha wanafunzi wa Yohane mbatizaji walimwendea Yesu, wakamwuliza, "Sisi na Mafarisayo hufunga mara nyingi; mbona wanafunzi wako hawafungi?"
14Bu arada Yahya'nın öğrencileri gelip İsa'ya, «Biz ve Ferisiler oruç tutuyoruz da, senin öğrencilerin niçin tutmuyor?» diye sordular.
15Yesu akawajibu, "Je, walioalikwa arusini wanaweza kuomboleza wakati bwana arusi yupo pamoja nao? La hasha! Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kati yao; wakati huo ndipo watakapofunga.
15İsa şöyle karşılık verdi: «Güvey hâlâ aralarındayken, davetliler yas tutar mı hiç? Ama güveyin aralarından alınacağı günler gelecek, onlar işte o zaman oruç tutacaklar.
16"Hakuna mtu atiaye kiraka cha nguo mpya katika vazi kuukuu. Maana kiraka hicho kitararua hilo vazi kuukuu, na pale palipokuwa pameraruka pataongezeka.
16Hiç kimse eski bir giysiyi çekmemiş bir kumaş parçasıyla yamamaz. Çünkü konulan yama, giysiden kopar ve yırtık daha kötü duruma gelir.
17Wala hakuna mtu awekaye divai mpya katika viriba vikuukuu. Akifanya hivyo, viriba hupasuka na divai ikamwagika, navyo viriba vikaharibika. Ila divai mpya hutiwa katika viriba vipya, na vyote viwili, viriba na divai, vikahifadhiwa salama."
17Hiç kimse yeni şarabı eski tulumlara doldurmaz. Yoksa tulumlar patlar; hem şarap dökülür, hem de tulumlar mahvolur. Yeni şarap yeni tulumlara doldurulur, böylece her ikisi de korunmuş olur.»
18Yesu alipokuwa akisema hayo, ofisa mmoja Myahudi alifika, akamwinamia na kusema, "Binti yangu amekufa sasa hivi. Lakini, tafadhali njoo umwekee mkono wako naye ataishi."
18İsa onlara bu sözleri söylerken bir havra yöneticisi gelip O'nun önünde yere kapanarak, «Kızım az önce öldü. Ama sen gelip elini onun üzerine koyarsan, dirilecek» dedi.
19Yesu akaondoka pamoja na wanafunzi wake, akamfuata.
19İsa kalkıp öğrencileriyle birlikte adamın ardından gitti.
20Mama mmoja, mgonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili, alimfuata Yesu nyuma, akagusa pindo la vazi lake.
20Tam o sırada, on iki yıldır kanaması olan bir kadın İsa'nın arkasından yetişip giysisinin eteğine dokundu.
21Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: "Nikigusa tu vazi lake, nitapona."
21İçinden, «Giysisine bir dokunsam kurtulacağım» diyordu.
22Basi, Yesu akageuka akamwona, akamwambia, "Binti, jipe moyo! Imani yako imekuponya." Mama huyo akapona saa ileile.
22İsa arkasına dönüp onu görünce, «Cesur ol, kızım! İmanın seni kurtardı» dedi. Ve kadın o anda iyileşti.
23Kisha Yesu akaingia nyumbani kwa yule ofisa. Na alipowaona wapiga filimbi na umati wa watu wanaofanya matanga,
23İsa, yöneticinin evine varıp kaval çalanlarla gürültülü kalabalığı görünce, «Çekilin!» dedi. «Kız ölmedi, sadece uyuyor.» Onlar ise kendisiyle alay ettiler.
24akasema, "Ondokeni hapa! Msichana huyu hakufa, amelala tu." Nao wakamcheka.
25Kalabalık dışarı çıkarılınca İsa içeri girip kızın elinden tuttu, kız da ayağa kalktı.
25Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.
26Bu olayın haberi o yörenin tümüne yayıldı.
26Habari hiyo ikavuma sana katika nchi ile yote.
27İsa oradan ayrılırken iki kör adam, «Ey Davut Oğlu, halimize acı!» diye feryat ederek O'nun ardından gittiler.
27Yesu aliondoka hapo, na alipokuwa anakwenda, vipofu wawili walimfuata wakipiga kelele, "Mwana wa Daudi, utuhurumie!"
28İsa eve girince iki kör adam da yanına geldi. Onlara, «İstediğinizi yapabileceğime inanıyor musunuz?» diye sordu. Adamlar, «İnanıyoruz, ya Rab!» dediler.
28Yesu alipoingia nyumbani, vipofu hao wawili wakamwendea, naye akawauliza, "Je, mnaamini kwamba naweza kuwafanyia jambo hilo?" Nao wakamjibu, "Naam, Mheshimiwa."
29Bunun üzerine İsa körlerin gözlerine dokunarak, «İmanınıza göre olsun» dedi.
29Hapo Yesu akayagusa macho yao, akasema, "Na iwe kwenu kama mnavyoamini."
30Ve adamların gözleri açıldı. İsa, «Sakın kimse bunu bilmesin» diyerek onları kesin bir şekilde uyardı.
30Macho yao yakafunguliwa. Naye Yesu akawaonya kwa ukali: "Msimwambie mtu yeyote jambo hili."
31Onlar ise çıkıp İsa'yla ilgili haberi o yörenin tümüne yaydılar.
31Lakini wao wakaondoka, wakaeneza habari za Yesu katika nchi ile yote.
32Adamlar çıkarken İsa'ya, cine tutsak dilsiz biri getirildi.
32Watu walipokuwa wanakwenda zao, wengine walimletea Yesu mtu mmoja aliyekuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo.
33Cin kovulunca adamın dili çözüldü. Halk hayret içinde, «İsrail'de böylesi hiç görülmemiştir» diyordu.
33Mara tu huyo pepo alipotolewa, mtu huyo aliyekuwa bubu akaanza kuongea tena. Watu wakashangaa na kusema, "Jambo kama hili halijapata kuonekana katika Israeli!"
34Ferisiler ise, «Cinleri, cinlerin reisinin gücüyle kovuyor» diyorlardı.
34Lakini Mafarisayo wakawa wanasema, "Anawatoa pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo wabaya."
35İsa tüm kent ve köyleri dolaştı. Buralardaki havralarda ders veriyor, Göksel Egemenliğin müjdesini duyuruyor, her hastalığı, her illeti iyileştiriyordu.
35Yesu alitembelea miji yote na vijiji, akafundisha katika masunagogi yao akihubiri Habari Njema ya Ufalme wa Mungu, na kuponya magonjwa yote na udhaifu wa kila namna.
36Kalabalıkları görünce onlara acıdı. Çünkü çobansız koyunlar gibi şaşkın ve perişandılar.
36Basi, alipowaona watu, makundi kwa makundi, aliwaonea huruma kwa sababu walikuwa hoi na wenye wasiwasi kama kondoo wasio na mchungaji.
37O zaman İsa öğrencilerine şöyle dedi: «Ürün bol, ama işçi az.
37Hapo akawaambia wanafunzi wake, "Mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache.
38Bu nedenle ürünün sahibi olan Rab'be yalvarın da, ürününü kaldıracak işçiler göndersin.»
38Kwa hivyo mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake."