1Mkaribisheni kwenu mtu aliye dhaifu, lakini msibishane naye juu ya mawazo yake binafsi.
1İmanı zayıf olanı kabul edin, ama düşünceleri üzerinde onunla tartışmaya girmeyin.
2Watu huhitilafiana: mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu; lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula tu mboga za majani.
2Biri her şeyi yiyebileceğine inanır; öte yandan, imanı zayıf olan yalnız sebze yer.
3Mtu ambaye hula kila kitu asimdharau yule ambaye hawezi kula kila kitu; naye ambaye hula tu mboga za majani asimhukumu anayekula kila kitu, maana Mungu amemkubali.
3Her şeyi yiyen, yemeyeni hor görmesin. Her şeyi yemeyen, yiyeni yargılamasın. Çünkü Tanrı onu kabul etmiştir.
4Wewe ni nani hata uthubutu kumhukumu mtumishi wa mwingine? Akisimama au akianguka ni shauri la Bwana wake; naam, atasimama imara, maana Bwana anaweza kumsimamisha.
4Sen kimsin ki, başkasının kulunu yargılıyorsun? Kulu haklı çıkaran da, suçlu çıkaran da kendi efendisidir. Kul haklı çıkacaktır. Çünkü Rab'bin onu haklı çıkarmaya gücü vardır.
5Mtu anaweza kufikiria siku fulani kuwa ya maana zaidi kuliko nyingine; mtu mwingine aweza kuzifikiria siku zote kuwa sawa. Kila mmoja na afuate msimamo wa akili yake.
5Kimi bir günü başka bir günden üstün sayar, kimi her günü bir sayar. Herkesin kendi görüşüne tam güveni olsun.
6Anayeadhimisha siku fulani anaadhimisha siku hiyo kwa ajili ya kumtukuza Mungu; naye anayekula chakula fulani anafanya hivyo kwa kumtukuza Bwana maana anamshukuru Mungu. Kadhalika naye anayeacha kula chakula fulani anafanya hivyo kwa ajili ya kumtukuza Bwana, naye pia anamshukuru Mungu.
6Günü kutlayan, Rab için kutlar. Her şeyi yiyen, Tanrı'ya şükrederek bunu Rab için yer. Bazı şeyleri yemeyen de Rab için yemez ve Tanrı'ya şükreder.
7Maana hakuna mtu yeyote miongoni mwetu aishiye kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna anayekufa kwa ajili yake mwenyewe
7Hiçbirimiz kendimiz için yaşamayız, hiçbirimiz de kendimiz için ölmeyiz.
8maana tukiishi twaishi kwa ajili ya Bwana; tukifa, tunakufa kwa ajili ya Bwana. Basi, kama tukiishi au tukifa, sisi ni mali yake Bwana.
8Yaşarsak, Rab için yaşarız; ölürsek, Rab için ölürüz. Böylece yaşasak da, ölsek de Rabbin'iz.
9Maana Kristo alikufa, akafufuka ili wapate kuwa Bwana wa wazima na wafu.
9Mesih, hem ölülerin hem de yaşayanların Rabbi olmak üzere ölüp dirildi.
10Kwa nini, basi wewe wamhukumu ndugu yako? Nawe, kwa nini wamdharau ndugu yako? Sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.
10Öyleyse sen, kardeşini neden yargılıyorsun? Ya sen, kardeşini neden hor görüyorsun? Tanrı'nın yargı kürsüsü önüne hepimiz çıkacağız.
11Maana Maandiko yanasema: "Kama niishivyo, asema Bwana kila mtu atanipigia magoti, na kila mmoja atakiri kwamba mimi ni Mungu."
11Yazılmış olduğu gibi: «Rab şöyle diyor: `Varlığım hakkı için her diz önümde çökecek ve her dil Tanrı olduğumu açıkça söyleyecek.'»
12Kwa hiyo, kila mmoja wetu atatoa hoja yake mbele ya Mungu.
12Böylece her birimiz kendi adına Tanrı'ya hesap verecektir.
13Basi, tuache kuhukumiana, bali tuazimie kutokuwa kamwe kikwazo kwa ndugu yetu au kumsababisha aanguke katika dhambi.
13Bunun için, artık birbirimizi yargılamayalım. Tam tersine, herhangi bir kardeşin yoluna sürçme ya da tökezleme taşı koymamaya kararlı olun.
14Katika kuungana na Bwana Yesu, nina hakika kwamba hakuna kitu chochote kilicho najisi kwa asili yake; lakini, mtu akidhani kwamba kitu fulani ni najisi, basi, kwake huwa najisi.
14Rab İsa'ya ait biri olarak şunu kesinlikle biliyorum ki, hiçbir şey kendiliğinden murdar değildir. Ama bir şeyi murdar sayan kimse için o şey murdardır.
15Kama ukimhuzunisha ndugu yako kwa sababu ya chakula unachokula, basi mwenendo wako hauongozwi na mapendo. Usikubali hata kidogo chakula chako kiwe sababu ya kupotea kwa mtu mwingine ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake!
15Yediğin bir şey yüzünden kardeşin incinirse, artık sevgi yolunda yürümüyorsun demektir. Mesih'in, uğruna öldüğü kardeşi yiyeceğinle mahvetme!
16Basi, msikubalie kitu mnachokiona kuwa kwenu ni kitu chema kidharauliwe.
16Size göre iyi olan şey kötülenmesin.
17Maana Utawala wa Mungu si shauri la kula na kunywa, bali unahusika na kuwa na uadilifu, amani na furaha iletwayo na Roho Mtakatifu.
17Çünkü Tanrı'nın Egemenliği, yiyecek ve içecek sorunu değil, doğruluk, esenlik ve Kutsal Ruh'ta sevinçtir.
18Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu.
18Mesih'e bu yolda hizmet eden, Tanrı'yı hoşnut eder ve insanların beğenisinikazanır.
19Kwa hiyo tuyazingatie daima mambo yenye kuleta amani, na yanayotusaidia kujengana.
19O halde kendimizi esenlik getiren ve birbirimizi geliştiren işlere verelim.
20Basi, usiiharibu kazi ya Mungu kwa sababu ya ubishi juu ya chakula. Vyakula vyote ni halali, lakini haifai kula chakula ambacho kitamfanya mtu aanguke katika dhambi.
20Yiyecek uğruna Tanrı'nın işini bozma! Her yiyecek temizdir, ama yedikleriyle başkasının sürçmesine yol açan kişi kötülük yapmış olur.
21Afadhali kuacha kula nyama, kunywa divai, au kufanya chochote ambacho chaweza kumsababisha ndugu yako aanguke.
21Et yememen, şarap içmemen ya da kardeşinin sürçmesine yol açacak bir şey yapmaman iyidir.
22Basi, shikilia unachoamini kati yako na Mungu wako. Heri mtu yule ambaye, katika kujiamulia la kufanya, haipingi dhamiri yake.
22Bu konulardaki inancını Tanrı'nın önünde kendine sakla. Onayladığı şeyden ötürü kendini yargılamayan kişi ne mutludur!
23Lakini mtu anayeona shaka juu ya chakula anachokula, anahukumiwa kama akila, kwa sababu msimamo wa kitendo chake haumo katika imani. Na, chochote kisicho na msingi wake katika imani ni dhambi.
23Ama bir yiyecekten kuşkulanan kişi o yiyeceği yerse yargılanır; çünkü imanla yemiyor. İmanla yapılmayan her şey günahtır.