1Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza.
1He entered again into the synagogue, and there was a man there who had his hand withered.
2Humo baadhi ya watu walimngojea amponye mtu huyo siku ya sabato ili wapate kumshtaki.
2They watched him, whether he would heal him on the Sabbath day, that they might accuse him.
3Yesu akamwambia huyo mtu aliyekuwa na mkono uliopooza, "Njoo hapa katikati."
3He said to the man who had his hand withered, “Stand up.”
4Kisha, akawauliza, "Je, ni halali siku ya Sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuua?" Lakini wao hawakusema neno.
4He said to them, “Is it lawful on the Sabbath day to do good, or to do harm? To save a life, or to kill?” But they were silent.
5Hapo akawatazama wote kwa hasira, akaona huzuni kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao. Kisha akamwambia huyo mtu, "Nyosha mkono wako!" Naye akaunyosha mkono wake, ukawa mzima tena.
5When he had looked around at them with anger, being grieved at the hardening of their hearts, he said to the man, “Stretch out your hand.” He stretched it out, and his hand was restored as healthy as the other.
6Mara Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri pamoja na watu wa kikundi cha Herode jinsi ya kumwangamiza Yesu.
6The Pharisees went out, and immediately conspired with the Herodians against him, how they might destroy him.
7Yesu aliondoka hapo pamoja na wanafunzi wake, akaenda kando ya ziwa, na umati wa watu ukamfuata. Watu hao walikuwa wametoka Yerusalemu, Yudea,
7Jesus withdrew to the sea with his disciples, and a great multitude followed him from Galilee, from Judea,
8Idumea, ng'ambo ya mto Yordani, Tiro na Sidoni. Watu hao wengi walimwendea Yesu kwa sababu ya kusikia mambo mengi aliyokuwa ameyatenda.
8from Jerusalem, from Idumaea, beyond the Jordan, and those from around Tyre and Sidon. A great multitude, hearing what great things he did, came to him.
9Yesu akawaambia wanafunzi wake wamtayarishie mashua moja, ili umati wa watu usije ukamsonga.
9He spoke to his disciples that a little boat should stay near him because of the crowd, so that they wouldn’t press on him.
10Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.
10For he had healed many, so that as many as had diseases pressed on him that they might touch him.
11Na watu waliokuwa wamepagawa na pepo wachafu walipomwona, walijitupa chini mbele yake na kupaaza sauti, "Wewe ni Mwana wa Mungu!"
11The unclean spirits, whenever they saw him, fell down before him, and cried, “You are the Son of God!”
12Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu.
12He sternly warned them that they should not make him known.
13Yesu alipanda kilimani, akawaita wale aliowataka. Basi, wakamwendea,
13He went up into the mountain, and called to himself those whom he wanted, and they went to him.
14naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, wakae naye, awatume kuhubiri
14He appointed twelve, that they might be with him, and that he might send them out to preach,
15na wawe na mamlaka ya kuwafukuza pepo.
15and to have authority to heal sicknesses and to cast out demons:
16Basi, hao kumi na wawili walioteuliwa ndio hawa: Simoni (ambaye Yesu alimpa jina, Petro),
16Simon, to whom he gave the name Peter;
17Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo (Yesu aliwapa hawa ndugu wawili jina Boanerge, maana yake "wanangurumo"),
17James the son of Zebedee; John, the brother of James, and he surnamed them Boanerges, which means, Sons of Thunder;
18Andrea na Filipo, Batholomayo, Mathayo, Thoma, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkanani na
18Andrew; Philip; Bartholomew; Matthew; Thomas; James, the son of Alphaeus; Thaddaeus; Simon the Zealot;
19Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.
19and Judas Iscariot, who also betrayed him. He came into a house.
20Kisha Yesu alikwenda nyumbani. Umati wa watu ukakusanyika tena, hata Yesu na wafuasi wake wasiweze kupata nafasi ya kula chakula.
20The multitude came together again, so that they could not so much as eat bread.
21Basi, watu wa jamaa yake walipopata habari hiyo wakatoka kwenda kumchukua maana walikuwa wanasema kwamba amepatwa na wazimu.
21When his friends heard it, they went out to seize him: for they said, “He is insane.”
22Nao walimu wa Sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu, wakasema, "Ana Beelzebuli! Tena, anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo."
22The scribes who came down from Jerusalem said, “He has Beelzebul,” and, “By the prince of the demons he casts out the demons.”
23Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, "Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?
23He summoned them, and said to them in parables, “How can Satan cast out Satan?
24Ikiwa utawala mmoja umegawanyika makundimakundi yanayopigana, utawala huo hauwezi kudumu.
24 If a kingdom is divided against itself, that kingdom cannot stand.
25Tena, ikiwa jamaa moja imegawanyika makundimakundi yanayopingana, jamaa hiyo itaangamia.
25 If a house is divided against itself, that house cannot stand.
26Ikiwa basi, utawala wa Shetani umegawanyika vikundivikundi hauwezi kudumu, bali utaangamia kabisa.
26 If Satan has risen up against himself, and is divided, he can’t stand, but has an end.
27"Hakuna mtu awezaye kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang'anya mali yake, isipokuwa kwanza amemfunga huyo mtu mwenye nguvu; hapo ndipo atakapoweza kumnyang'anya mali yake.
27 But no one can enter into the house of the strong man to plunder, unless he first binds the strong man; and then he will plunder his house.
28"Kweli nawaambieni, watu watasamehewa dhambi zao zote na kufuru zao zote;
28 Most certainly I tell you, all sins of the descendants of man will be forgiven, including their blasphemies with which they may blaspheme;
29lakini anayesema mabaya dhidi ya Roho Mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele."
29 but whoever may blaspheme against the Holy Spirit never has forgiveness, but is guilty of an eternal sin”
30(Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, "Ana pepo mchafu.")
30—because they said, “He has an unclean spirit.”
31Mama yake Yesu na ndugu zake walifika hapo, wakasimama nje, wakampelekea ujumbe kutaka kumwona.
31His mother and his brothers came, and standing outside, they sent to him, calling him.
32Umati wa watu ulikuwa umekaa hapo kumzunguka. Basi, wakamwambia, "Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kukuona."
32A multitude was sitting around him, and they told him, “Behold, your mother, your brothers, and your sisters TR omits “your sisters” are outside looking for you.”
33Yesu akawaambia, "Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?"
33He answered them, “Who are my mother and my brothers?”
34Hapo akawatazama watu waliokuwa wamemzunguka, akasema, "Tazameni! Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu.
34Looking around at those who sat around him, he said, “Behold, my mother and my brothers!
35Mtu yeyote anayefanya anayotaka Mungu, huyo ndiye kaka yangu, dada yangu na mama yangu."
35 For whoever does the will of God, the same is my brother, and my sister, and mother.”