Turkish

Swahili: New Testament

1 Corinthians

12

1Ruhsal armağanlara gelince, kardeşlerim, bu konuda bilgisiz kalmanızı istemem.
1Ndugu, kuhusu vipaji vya kiroho, napenda mfahamu vizuri mambo haya:
2Biliyorsunuz, putperestken şöyle ya da böyle saptırılıp dilsiz putlara tapmaya yöneltilmiştiniz.
2Mnajua kwamba, kabla ya kuongoka kwenu, mlitawaliwa na kupotoshwa na sanamu tupu.
3Bunun için bilmenizi isterim ki: Tanrının Ruhu aracılığıyla konuşan hiç kimse, ‹‹İsaya lanet olsun!›› demez. Kutsal Ruhun aracılığı olmaksızın da kimse, ‹‹İsa Rabdir›› diyemez.
3Basi, jueni kwamba mtu yeyote anayeongozwa na Roho wa Mungu hawezi kusema: "Yesu alaaniwe!" Hali kadhalika, mtu yeyote hawezi kusema: "Yesu ni Bwana," asipoongozwa na Roho Mtakatifu.
4Çeşitli ruhsal armağanlar vardır, ama Ruh birdir.
4Vipaji vya kiroho ni vya namna nyingi, lakini Roho avitoaye ni mmoja.
5Çeşitli görevler vardır, ama Rab birdir.
5Kuna namna nyingi za kutumikia, lakini Bwana anayetumikiwa ni mmoja.
6Çeşitli etkinlikler vardır, ama herkeste hepsini etkin kılan aynı Tanrıdır.
6Kuna namna mbalimbali za kufanya kazi ya huduma, lakini Mungu ni mmoja, anayewezesha kazi zote katika wote.
7Herkesin ortak yararı için herkese Ruhu belli eden bir yetenek veriliyor.
7Kila mtu hupewa mwangaza wa Roho kwa faida ya wote.
8Ruh aracılığıyla birine bilgece konuşma yeteneği, ötekine aynı Ruhtan bilgi iletme yeteneği, birine aynı Ruh aracılığıyla iman, ötekine aynı Ruh aracılığıyla hastaları iyileştirme armağanları, birine mucize yapma olanakları, birine peygamberlikte bulunma, birine ruhları ayırt etme, birine çeşitli dillerle konuşma, bir başkasına da bu dilleri çevirme armağanı veriliyor.
8Roho humpa mmoja ujumbe wa hekima, na mwingine ujumbe wa elimu apendavyo Roho huyohuyo.
11Bunların tümünü etkin kılan tek ve aynı Ruhtur. Ruh bunları herkese dilediği gibi, ayrı ayrı dağıtır.
9Roho huyohuyo humpa mmoja imani, na humpa mwingine kipaji cha kuponya;
12Beden bir olmakla birlikte birçok üyeden oluşur ve çok sayıdaki bu üyelerin hepsi tek bir beden oluşturur. Mesih de böyledir.
10humpa mmoja kipaji cha kufanya miujiza, mwingine kipaji cha kusema ujumbe wa Mungu, mwingine kipaji cha kubainisha vipaji vitokavyo kwa Roho na visivyo vya Roho; humpa mmoja kipaji cha kusema lugha ngeni, na mwingine kipaji cha kuzifafanua.
13İster Yahudi ister Grek, ister köle ister özgür olalım, hepimiz bir beden olmak üzere aynı Ruhta vaftiz edildik ve hepimizin aynı Ruhtan içmesi sağlandı.
11Hizo zote ni kazi za Roho huyohuyo mmoja, ambaye humpa kila mtu kipaji tofauti, kama apendavyo mwenyewe.
14İşte beden tek üyeden değil, birçok üyeden oluşur.
12Kama vile mwili ulivyo mmoja wenye viungo vingi, na viungo hivyo vyote--ingawaje ni vingi--hufanya mwili mmoja, ndivyo ilivyo pia kwa Kristo.
15Ayak, ‹‹El olmadığım için bedene ait değilim›› derse, bu onu bedenden ayırmaz.
13Maana sisi, tukiwa Wayahudi au watu wa mataifa mengine, watumwa au watu huru, sote tumebatizwa kwa Roho mmoja katika mwili huo mmoja; na sote tukanyweshwa Roho huyo mmoja.
16Kulak, ‹‹Göz olmadığım için bedene ait değilim›› derse, bu onu bedenden ayırmaz.
14Mwili hauna kiungo kimoja tu, bali una viungo vingi.
17Bütün beden göz olsaydı, nasıl duyardık? Bütün beden kulak olsaydı, nasıl koklardık?
15Kama mguu ungejisemea: "Kwa kuwa mimi si mkono, basi mimi si mali ya mwili", je, ungekoma kuwa sehemu ya mwili? La hasha!
18Gerçek şu ki, Tanrı bedenin her üyesini dilediği biçimde bedene yerleştirmiştir.
16Kama sikio lingejisemea: "Kwa vile mimi si jicho, basi mimi si mali ya mwili", je, kwa hoja hiyo lingekoma kuwa sehemu ya mwili? La!
19Eğer hepsi bir tek üye olsaydı, beden olur muydu?
17Kama mwili wote ungekuwa jicho, sikio lingekuwa wapi? Na kama mwili wote ungekuwa sikio, mtu angewezaje kunusa?
20Gerçek şu ki, çok sayıda üye, ama tek beden vardır.
18Lakini kama ilivyo, Mungu alizipanga sehemu hizo tofauti katika mwili kama alivyopenda.
21Göz ele, ‹‹Sana ihtiyacım yok!›› ya da baş ayaklara, ‹‹Size ihtiyacım yok!›› diyemez.
19Kama sehemu zote zingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?
22Tam tersine, bedenin daha zayıf görünen üyeleri vazgeçilmezdir.
20Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.
23Bedenin daha az değerli saydığımız üyelerine daha çok değer veririz. Böylece gösterişsiz üyelerimiz daha gösterişli olur.
21Basi, jicho haliwezi kuuambia mkono: "Sikuhitaji wewe", wala kichwa hakiwezi kuiambia miguu: "Siwahitaji ninyi."
24Gösterişli üyelerimizin özene ihtiyacı yoktur. Ama Tanrı, değeri az olana daha çok değer vererek bedende birliği sağladı.
22Zaidi ya hayo, inaonekana kwamba sehemu zile za mwili zinazoonekana kuwa ni dhaifu ndizo zilizo muhimu zaidi.
25Öyle ki, bedende ayrılık olmasın, üyeler birbirini eşit biçimde gözetsin.
23Tena, viungo vile tunavyovifikiria kuwa havistahili heshima kubwa, ndivyo tunavyovitunza kwa uangalifu zaidi; viungo vya mwili ambavyo havionekani kuwa vizuri sana, huhifadhiwa zaidi,
26Bir üye acı çekerse, bütün üyeler birlikte acı çeker; bir üye yüceltilirse, bütün üyeler birlikte sevinir.
24ambapo viungo vingine havihitaji kushughulikiwa. Mungu mwenyewe ameuweka mwili katika mpango, akakipa heshima zaidi kiungo kile kilichopungukiwa heshima,
27Sizler Mesihin bedenisiniz, bu bedenin ayrı ayrı üyelerisiniz.
25ili kusiweko na utengano katika mwili bali viungo vyote vishughulikiane.
28Tanrı kilisede ilkin elçileri, ikinci olarak peygamberleri, üçüncü olarak öğretmenleri, sonra mucize yapanları, hastaları iyileştirme armağanlarına sahip olanları, başkalarına yardım edenleri, yönetme yeteneği olanları ve çeşitli dillerle konuşanları atadı.
26Kama kiungo kimoja kinaumia viungo vyote huumia pamoja nacho. Kiungo kimoja kikisifiwa viungo vingine vyote hufurahi pamoja nacho.
29Hepsi elçi mi? Hepsi peygamber mi? Hepsi öğretmen mi? Hepsi mucize yapar mı?
27Basi, ninyi nyote ni mwili wa Kristo; kila mmoja wenu ni kiungo cha mwili huo.
30Hepsinin hastaları iyileştirme armağanları var mı? Hepsi bilmediği dilleri konuşabilir mi? Hepsi bu dilleri çevirebilir mi?
28Mungu ameweka katika kanisa: kwanza mitume, pili manabii, tatu walimu; kisha ameweka wale wenye kipaji cha kufanya miujiza, kuponya, kusaidia; viongozi na wenye kusema lugha ngeni.
31Ama siz daha üstün armağanları gayretle isteyin. Şimdi size en iyi yolu göstereyim.
29Je, wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni walimu? Wote ni wenye kipaji cha kufanya miujiza?
30Je, wote ni wenye kipaji cha kuponya? Wote ni wenye kipaji cha kusema lugha ngeni? Je, wote hufafanua lugha?
31Muwe basi, na tamaa ya kupata vipaji muhimu zaidi. Nami sasa nitawaonyesheni njia bora zaidi kuliko hizi zote.