1Sevginin ardınca koşun ve ruhsal armağanları, özellikle peygamberlik yeteneğini gayretle isteyin.
1Jitahidini kuwa na upendo. Vilevile fanyeni bidii ya kupata vipaji vingine vya kiroho, hasa kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu.
2Bilmediği dilde konuşan, insanlarla değil, Tanrıyla konuşur. Kimse onu anlamaz. O, ruhuyla sırlar söyler.
2Mwenye kunena lugha ngeni hasemi na watu bali anasema na Mungu. Yeye hunena kwa nguvu ya Roho mambo yaliyofichika.
3Peygamberlikte bulunansa insanların ruhça gelişmesi, cesaret ve teselli bulması için insanlara seslenir.
3Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, husema na watu kwa ajili ya kuwajenga, kuwafariji na kuwatia moyo.
4Bilmediği dilde konuşan kendi kendini geliştirir; ama peygamberlikte bulunan, inanlılar topluluğunu geliştirir.
4Mwenye kunena lugha ngeni anajijenga mwenyewe. Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, analijenga kanisa.
5Hepinizin dillerle konuşmasını isterim, ama peygamberlikte bulunmanızı yeğlerim. Diller inanlılar topluluğunun gelişmesi için çevrilmedikçe peygamberlikte bulunan, dillerle konuşandan üstündür.
5Basi, ningependa ninyi nyote mseme kwa lugha ngeni lakini ningependelea hasa muwe na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, maana mtu mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, ni wa maana zaidi kuliko yule mwenye kusema lugha ngeni, isipokuwa tu kama yupo hapo mtu awezaye kuyafafanua hayo mambo asemayo, ili kanisa lipate kujengwa.
6Şimdi kardeşlerim, yanınıza gelip dillerle konuşsam, ama size bir vahiy, bir bilgi, bir peygamberlik sözü ya da bir öğreti getirmesem, size ne yararım olur?
6Hivyo, ndugu zangu, kama nikija kwenu na kusema nanyi kwa lugha ngeni itawafaa nini? Haitawafaa chochote, isipokuwa tu kama nitawaelezeni ufunuo wa Mungu au ujuzi fulani au ujumbe wa Mungu au mafundisho fulani.
7Kaval ya da lir gibi ses veren cansız nesneler bile değişik sesler çıkarmasa, kaval mı, lir mi çalındığını kim anlar?
7Ndivyo ilivyo kwa vyombo visivyo na uhai vyenye kutoa sauti kama vile filimbi au kinanda. Je, mtu anawezaje kuutambua wimbo unaochezwa kama vyombo hivyo havitoi sauti waziwazi vinapopigwa?
8Borazan belirgin bir ses çıkarmasa, kim savaşa hazırlanır?
8La mgambo likilia bila kufuata taratibu zake, nani atajiweka tayari kwa vita?
9Bunun gibi, siz de anlaşılır bir dil konuşmazsanız, söyledikleriniz nasıl anlaşılır? Havaya konuşmuş olursunuz!
9Hali kadhalika na ninyi, kama ulimi wenu hausemi kitu chenye kueleweka, nani ataweza kufahamu mnayosema? Maneno yenu yatapotea hewani.
10Kuşkusuz dünyada çeşit çeşit diller vardır, hiçbiri de anlamsız değildir.
10Zipo lugha mbalimbali ulimwenguni, na hakuna hata mojawapo isiyo na maana.
11Ne var ki, konuşulan dili anlamazsam, ben konuşana yabancı olurum, konuşan da bana yabancı olur.
11Lakini ikiwa mimi sifahamu maana ya lugha asemayo mtu fulani, mimi ni mgeni kwake mtu huyo naye pia ni mgeni kwangu.
12Bu nedenle, siz de ruhsal armağanlara heveslendiğinize göre, inanlılar topluluğunu geliştiren ruhsal armağanlar bakımından zenginleşmeye bakın.
12Hali kadhalika na ninyi, maadam mna hamu ya kupata vipaji vya Roho, jitahidini hasa kujipatia vile vinavyosaidia kulijenga kanisa.
13Bunun için, bilmediği dili konuşan, kendi söylediklerini çevirebilmek için dua etsin.
13Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua.
14Bilmediğim dille dua edersem ruhum dua eder, ama zihnimin buna katkısı olmaz.
14Maana, nikisali kwa lugha ngeni roho yangu ndiyo inayosali, lakini akili yangu hubaki bure.
15Öyleyse ne yapmalıyım? Ruhumla da zihnimle de dua edeceğim. Ruhumla da zihnimle de ilahi söyleyeceğim.
15Nifanye nini, basi? Nitasali kwa roho yangu, nitasali pia kwa akili yangu; nitaimba kwa roho yangu, nitaimba pia kwa akili yangu.
16Tanrıyı yalnız ruhunla översen, yeni katılanlar senin ne söylediğini bilmediğinden, ettiğin şükran duasına nasıl ‹‹Amin!›› desin?
16Ukimsifu Mungu kwa roho yako tu, atawezaje mtu wa kawaida aliye katika mkutano kuitikia sala yako ya shukrani kwa kusema: "Amina," kama haelewi unachosema?
17Uygun biçimde şükrediyor olabilirsin, ama bu başkasını geliştirmez.
17Sala yako ya shukrani yaweza kweli kuwa bora, lakini huyo mwingine haitamfaidia.
18Dillerle hepinizden çok konuştuğum için Tanrıya şükrediyorum.
18Namshukuru Mungu kwamba mimi nasema kwa lugha ngeni zaidi kuliko ninyi nyote.
19Ama inanlılar topluluğunda dillerle on bin söz söylemektense, başkalarını eğitmek için zihnimden beş söz söylemeyi yeğlerim.
19Lakini katika mikutano ya waumini napendelea zaidi kusema maneno matano yenye kueleweka ili niwafundishe wengine, kuliko kusema maneno elfu ya lugha ngeni.
20Kardeşler, çocuk gibi düşünmeyin. Kötülük konusunda çocuklar gibi, ama düşünmekte yetişkinler gibi olun.
20Ndugu, msiwe kama watoto katika fikira zenu. Kuhusu uovu muwe kama watoto wachanga lakini katika kufikiri ni lazima muwe kama watu waliokomaa.
21Kutsal Yasada şöyle yazılmıştır: ‹‹Rab, ‹Yabancı diller konuşanların aracılığıyla, Yabancıların dudaklarıyla bu halka sesleneceğim; Yine de beni dinlemeyecekler!› diyor.››
21Imeandikwa katika Sheria: "Bwana asema hivi: Kwa njia ya wenye kunena lugha ngeni, na kwa midomo ya wageni, nitasema na watu hawa, hata hivyo, hawatanisikiliza."
22Görülüyor ki, bilinmeyen diller imanlılar için değil, imansızlar için bir belirtidir. Peygamberlikse imansızlar için değil, imanlılar için bir belirtidir.
22Hivyo basi, kipaji cha kusema lugha ngeni ni ishara, si kwa ajili ya watu wenye imani, bali kwa ajili ya wale wasioamini; lakini kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni kwa ajili ya wale wanaoamini na si kwa ajili ya wasioamini.
23Şimdi bütün inanlılar topluluğu bir araya gelip hep birlikte bilmedikleri dillerle konuşurlarken yeni katılanlar ya da iman etmeyenler içeri girerse, ‹‹Siz çıldırmışsınız!›› demezler mi?
23Basi, kanisa lote linapokutana pamoja, na wote wakaanza kusema kwa lugha ngeni, kama wakija watu wa kawaida au wasioamini, je, hawatasema kwamba ninyi mna wazimu?
24Ama herkes peygamberlikte bulunurken iman etmeyen ya da yeni katılan biri içeri girerse, söylenen her sözle günahlı olduğuna ikna edilecek, her sözle yargılanacak.
24Lakini, wote wakiwa wanautangaza ujumbe wa Mungu, akija mtu wa kawaida au asiyeamini, yote atakayosikia yatamhakikishia ubaya wake mwenyewe; yote atakayosikia yatamhukumu.
25Yüreğindeki gizli düşünceler açığa çıkacak ve, ‹‹Tanrı gerçekten aranızdadır!›› diyerek yüzüstü yere kapanıp Tanrıya tapınacaktır.
25Siri za moyo wake zitafichuliwa, naye atapiga magoti na kumwabudu Mungu akisema: "Kweli Mungu yupo pamoja nanyi."
26Öyleyse ne diyelim, kardeşler? Toplandığınızda her birinizin bir ilahisi, öğretecek bir konusu, bir vahyi, bilmediği dilde söyleyecek bir sözü ya da bir çevirisi vardır. Her şey topluluğun gelişmesi için olsun.
26Ndugu, tuseme nini, basi? Mnapokutana pamoja, mmoja aimbe wimbo, mwingine atoe mafundisho, mwingine awe na ufunuo kutoka kwa Mungu, mwingine atumie kipaji cha kusema kwa lugha ngeni na mwingine afafanue yanayosemwa. Yote yawe kwa ajili ya kulijenga kanisa.
27Eğer bilinmeyen dillerle konuşulacaksa, iki ya da en çok üç kişi sırayla konuşsun, biri de söylenenleri çevirsin.
27Wakiwepo watu wenye vipaji vya kusema kwa lugha ngeni, waseme wawili au watatu, si zaidi, tena mmojammoja; na aweko mtu wa kufafanua yanayosemwa.
28Çeviri yapacak biri yoksa, bilmediği dilde konuşan, toplulukta sessiz kalsın, içinden Tanrıyla konuşsun.
28Lakini kama hakuna awezaye kufafanua, basi, mwenye kusema lugha ngeni anyamaze mkutanoni, aseme na nafsi yake mwenyewe na Mungu.
29İki ya da üç peygamber konuşsun, öbürleri söylenenleri iyice düşünüp tartsın.
29Kuhusu wale wenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, waseme wawili au watatu, na wengine wayapime maneno yao.
30Toplantıda oturanlardan birine vahiy gelirse, konuşmakta olan sussun.
30Ikiwa mmoja anaposema mwingine wa wasikilizaji amepata ufunuo kutoka kwa Mungu, basi, yule anayesema anyamaze.
31Herkesin öğrenmesi ve cesaret bulması için hepiniz teker teker peygamberlikte bulunabilirsiniz.
31Maana nyote mwaweza kutangaza ujumbe wa Mungu, mmoja baada ya mwingine, ili nyote mpate kujifunza na kutiwa moyo.
32Peygamberlerin ruhları peygamberlerin denetimi altındadır.
32Kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji.
33Çünkü Tanrı karışıklık değil, esenlik Tanrısıdır. Kutsalların bütün topluluklarında böyledir.
33Maana Mungu si Mungu wa fujo, ila wa amani.
34Kadınlar toplantılarınızda sessiz kalsın. Konuşmalarına izin yoktur. Kutsal Yasanın da belirttiği gibi, uysal olsunlar.
34Kama ilivyo desturi katika makanisa yote ya watu wa Mungu, wanawake wakae kimya katika mikutano ya waumini. Hawana ruhusa kusema; ila wawe watii kama isemavyo Sheria.
35Öğrenmek istedikleri bir şey varsa, evde kocalarına sorsunlar. Çünkü kadının toplantı sırasında konuşması ayıptır.
35Ikiwa wanayo maswali ya kuuliza, wawaulize waume zao nyumbani, maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika mikutano ya waumini.
36Tanrının sözü sizden mi kaynaklandı, ya da yalnız size mi ulaştı?
36Je, mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu ninyi au kwamba limewajieni ninyi peke yenu?
37Kendini peygamber ya da ruhça olgun sayan varsa, bilsin ki, size yazdıklarım Rabbin buyruğudur.
37Kama mtu yeyote anadhani kwamba yeye ni mjumbe wa Mungu au kwamba anacho kipaji cha Roho, na ajue kwamba haya ninayowaandikia ninyi ni amri ya Bwana.
38Bunları önemsemeyenin kendisi de önemsenmesin.
38Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.
39Özet olarak, kardeşlerim, peygamberlikte bulunmayı gayretle isteyin, bilinmeyen dillerle konuşulmasına engel olmayın. Ancak her şey uygun ve düzenli biçimde yapılsın.
39Hivyo basi, ndugu zangu, mnapaswa kuwa na hamu ya kutangaza ujumbe wa Mungu; lakini msimkataze mtu kusema kwa lugha ngeni.
40Lakini yote yafanyike kwa heshima na kwa utaratibu.