1Mesih İsanın elçisi ben Petrustan Pontus, Galatya, Kapadokya, Asya İli ve Bitinyaya dağılmış ve buralarda yabancı olarak yaşayan seçilmişlere selam!
1Mimi Petro, mtume wa Yesu Kristo nawaandikia ninyi wateule wa Mungu Baba, ambao mmetawanyika na mnaishi kama wakimbizi huko Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithunia.
2İsa Mesihin sözünü dinlemeniz ve Onun kanının üzerinize serpilmesi için, Baba Tanrının öngörüsü uyarınca Ruh tarafından kutsal kılınarak seçildiniz. Lütuf ve esenlik artan ölçüde sizin olsun.
2Mungu Baba aliwateua ninyi kufuatana na kusudi lake, na mmefanywa watakatifu na Roho, mpate kumtii Yesu Kristo na kusafishwa kwa damu yake. Nawatakieni neema na amani tele.
3Rabbimiz İsa Mesihin Tanrısı ve Babasına övgüler olsun. Çünkü O büyük merhametiyle yeniden doğmamızı sağladı. İsa Mesihi ölümden diriltmekle bizi yaşayan bir umuda, çürümez, lekesiz, solmaz bir mirasa kavuşturdu. Bu miras sizin için göklerde saklıdır.
3Asifiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa huruma yake kuu alitufanya tuzaliwe upya kwa kumfufua Yesu kutoka wafu. Ametujalia tumaini lenye uzima,
5Zaman sona ererken açığa çıkarılmaya hazır olan kurtuluşa kavuşasınız diye iman sayesinde Tanrının gücüyle korunuyorsunuz.
4na hivyo tunatazamia kupata baraka zile ambazo Mungu aliwawekea watu wake. Mungu amewawekeeni baraka hizo mbinguni ambako haziwezi kuoza au kuharibika au kufifia.
6Bu nedenle şimdi kısa bir süre çeşitli denemeler sonucu acı çekmeniz gerekiyorsa da, sevinçle coşmaktasınız.
5Hizo zitakuwa zenu ninyi ambao kwa imani mnalindwa salama kwa nguvu ya Mungu kwa ajili ya wokovu ambao uko tayari kufunuliwa mwishoni mwa nyakati.
7Böylelikle içtenliği kanıtlanan imanınız, İsa Mesih göründüğünde size övgü, yücelik, onur kazandıracak. İmanınız, ateşle arıtıldığı halde yok olup giden altından daha değerlidir.
6Furahini kuhusu jambo hilo, ijapokuwa sasa, kwa kitambo kidogo, itawabidi kuhuzunika kwa sababu ya majaribio mbalimbali mnayoteseka.
8Mesihi görmemiş olsanız da Onu seviyorsunuz. Şu anda Onu görmediğiniz halde Ona iman ediyor, sözle anlatılmaz yüce bir sevinçle coşuyorsunuz.
7Shabaha yake ni kuthibitisha imani yenu. Hata dhahabu yenyewe ambayo huharibika, hujaribiwa kwa moto; hali kadhalika na imani yenu ambayo ni ya thamani zaidi kuliko dhahabu, ni lazima ijaribiwe ipate kuwa thabiti. Hapo mtapokea sifa na utukufu na heshima Siku ile Yesu Kristo atakapofunuliwa.
9Çünkü imanınızın sonucu olarak canlarınızın kurtuluşuna erişiyorsunuz.
8Ninyi mnampenda ingawaje hamjamwona, na mnamwamini ingawa hamumwoni sasa. Hivyo, mnafurahi kwa furaha tukufu isiyoelezeka,
10Size bağışlanacak lütuftan söz etmiş olan peygamberler, bu kurtuluşla ilgili dikkatli incelemeler, araştırmalar yaptılar.
9kwa sababu mnapokea wokovu wa roho zenu ambao ni lengo la imani yenu.
11İçlerinde olan Mesih Ruhu, Mesihin çekeceği acılara ve bu acıların ardından gelecek yüceliklere tanıklık ettiğinde, Ruhun hangi zamanı ya da nasıl bir dönemi belirttiğini araştırdılar.
10Manabii walipeleleza kwa makini na kufanya uchunguzi juu ya wokovu huo, wakabashiri juu ya neema hiyo ambayo ninyi mngepewa.
12Şimdi size de bildirilen gerçeklerle kendilerine değil, size hizmet ettikleri onlara açıkça gösterildi. Bu gerçekleri gökten gönderilen Kutsal Ruhun gücüyle size Müjdeyi iletenler bildirdi. Melekler bu gerçekleri yakından görmeye büyük özlem duyarlar.
11Walijaribu kujua nyakati na mazingira ya tukio hilo, yaani wakati alioudokezea Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao, akibashiri juu ya mateso yatakayompata Kristo na utukufu utakaofuata.
13Bu nedenle zihinlerinizi eyleme hazırlayın, ayık olun. Umudunuzu tümüyle İsa Mesihin görünmesiyle size sağlanacak olan lütfa bağlayın.
12Mungu aliwafunulia kwamba wakati walipokuwa wanasema juu ya hayo mambo ambayo ninyi mmekwisha sikia sasa kutoka kwa wale wajumbe waliowatangazieni Habari Njema kwa nguvu ya Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, hiyo kazi yao haikuwa kwa faida yao wenyewe, bali kwa ajili yenu. Hayo ndiyo mambo ambayo hata malaika wangependa kuyafahamu.
14Söz dinleyen çocuklar olarak, bilgisiz olduğunuz geçmiş zamandaki tutkularınıza uymayın.
13Kwa hiyo, basi, muwe tayari kabisa kwa nia, na kukesha. Wekeni tumaini lenu lote katika baraka ile mtakayopewa wakati Yesu Kristo atakapoonekana!
15Sizi çağıran Tanrı kutsal olduğuna göre, siz de her davranışınızda kutsal olun.
14Kama watoto wa Mungu wenye utii, msikubali kamwe kufuata tena tamaa mbaya mlizokuwa nazo wakati mlipokuwa wajinga.
16Nitekim şöyle yazılmıştır: ‹‹Kutsal olun, çünkü ben kutsalım.››
15Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu.
17Kimseyi kayırmadan, kişiyi yaptıklarına bakarak yargılayan Tanrıyı Baba diye çağırdığınıza göre, gurbeti andıran bu dünyadaki zamanınızı Tanrı korkusuyla geçirin.
16Maandiko yasema: "Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu."
18Biliyorsunuz ki, atalarınızdan kalma boş yaşayışınızdan altın ya da gümüş gibi geçici şeylerle değil, kusursuz ve lekesiz kuzuyu andıran Mesihin değerli kanının fidyesiyle kurtuldunuz.
17Mnapomtaja Mungu ninyi humwita Baba. Basi, jueni kwamba yeye humhukumu kila mmoja kadiri ya matendo yake, bila ubaguzi. Hivyo tumieni wakati wenu uliowabakia hapa ugenini katika kumcha Mungu.
20Dünyanın kuruluşundan önce bilinen Mesih, çağların sonunda sizin yararınıza ortaya çıktı.
18Maana mnajua kwamba ninyi mlikombolewa katika mwenendo wenu usiofaa ambao mliupokea kutoka kwa wazee wenu, si kwa vitu vyenye kuharibika: kwa fedha na dhahabu;
21Onu ölümden diriltip yücelten Tanrıya Onun aracılığıyla iman ediyorsunuz. Böylece imanınız ve umudunuz Tanrıdadır.
19bali mlikombolewa kwa damu tukufu ya Kristo, ambaye alikuwa kama mwana kondoo asiye na dosari wala doa.
22Gerçeğe uymakla kendinizi arıttınız, kardeşler için içten bir sevgiye sahip oldunuz. Onun için birbirinizi candan, yürekten sevin.
20Yeye alikuwa ameteuliwa na Mungu kabla ya ulimwengu kuumbwa, akafunuliwa siku hizi za mwisho kwa ajili yenu.
23Çünkü ölümlü değil, ölümsüz bir tohumdan, yani Tanrının diri ve kalıcı sözü aracılığıyla yeniden doğdunuz.
21Kwa njia yake, ninyi mnamwamini Mungu aliyemfufua kutoka wafu na kumpa utukufu; na hivyo imani na matumaini yenu yako kwa Mungu.
24Nitekim, ‹‹İnsan soyu ota benzer, Bütün yüceliği kır çiçeği gibidir. Ot kurur, çiçek solar, Ama Rab'bin sözü sonsuza dek kalır.››
22Maadamu sasa, kwa kuutii ukweli, ninyi mmezitakasa roho zenu na kuwapenda wenzenu bila unafiki, basi, pendaneni kwa moyo wote.
23Maana kwa njia ya neno hai la Mungu, ninyi mmezaliwa upya, si kama watoto wa baba awezaye kufa, bali baba asiyekufa milele.
24Kama Maandiko yasemavyo: "Kila binadamu ni kama nyasi, na utukufu wake wote ni kama maua ya porini. Nyasi hunyauka na maua huanguka.
25Lakini neno la Bwana hudumu milele." Neno hilo ni hiyo Habari Njema iliyohubiriwa kwenu.