Turkish

Swahili: New Testament

1 Timothy

1

1Kurtarıcımız Tanrının ve umudumuz Mesih İsanın buyruğuyla Mesih İsanın elçisi atanan ben Pavlustan imanda öz oğlum Timoteosa selam! Baba Tanrıdan ve Rabbimiz Mesih İsadan sana lütuf, merhamet ve esenlik olsun.
1Mimi Paulo, mtume wa Yesu Kristo kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Yesu Kristo tumaini letu,
3Makedonyaya giderken sana rica ettiğim gibi, Efeste kal ve bazı kişilerin farklı öğretiler yaymamasını, masallarla ve sonu gelmeyen soyağaçlarıyla uğraşmamasını öğütle. Bu şeyler, imana dayanan tanrısal düzene hizmet etmekten çok, tartışmalara yol açar.
2nakuandikia Timotheo mwanangu halisi katika imani. Nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Kristo Yesu Bwana wetu.
5Bu buyruğun amacı, pak yürekten, temiz vicdandan, içten imandan doğan sevgiyi uyandırmaktır.
3Napenda ukae huko Efeso, kama nilivyokuomba nilipokuwa ninakwenda Makedonia. Wako watu fulani huko wanaofundisha mafundisho ya uongo. Wakomeshe watu hao.
6Bazı kişiler bunlardan saparak boş konuşmalara daldılar.
4Waambie waachane na zile hadithi tupu na orodha ndefu za mababu, ambazo huleta tu ubishi, wala haviwajengi watu katika mpango ujulikanao kwa imani.
7Kutsal Yasa öğretmeni olmak istiyorlar, ama ne söyledikleri sözleri ne de iddialı oldukları konuları anlıyorlar.
5Shabaha ya amri hii ni kuhimiza mapendo yatokayo katika moyo safi, dhamiri njema, na imani ya kweli.
8Yasayı özüne uygun biçimde kullanan için Yasanın iyi olduğunu biliyoruz.
6Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.
9Çünkü biliyoruz ki, Yasa doğrular için değil, yasa tanımayanlarla asiler, tanrısızlarla günahkârlar, kutsallıktan yoksunlarla kutsala karşı saygısız olanlar, anne ya da babasını öldürenler, katiller, fuhuş yapanlar, oğlancılar, köle tüccarları, yalancılar, yalan yere ant içenler ve sağlam öğretiye karşıt olan başka ne varsa onlar için konmuştur.
7Wanapenda kuwa walimu wa Sheria, lakini hawaelewi maneno yao wenyewe au mambo wanayosisitiza.
11Mübarek Tanrının bana emanet edilen yüce Müjdesine göre bu böyledir.
8Twajua kwamba Sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo.
12Beni güçlendiren Rabbimiz Mesih İsaya şükrederim. Çünkü beni güvenilir sayarak hizmetine aldı.
9Lakini tunapaswa kukumbuka kwamba sheria haziwekwi kwa ajili ya watu wema, bali kwa ajili ya wahalifu na wasiotii, wasiomcha Mungu na wenye dhambi, watu wasio na dini na wa kidunia. Watu wanaowaua baba na mama zao, au wauaji wowote wale;
13Bir zamanlar Ona küfreden, zalim ve küstah biri olduğum halde bana merhamet edildi. Çünkü ne yaptıysam bilgisizlikten ve imansızlıktan yaptım.
10sheria imewekwa kwa ajili ya waasherati, wafiraji, wanaowaiba watu, waongo, na wanaoapa uongo au wanaofanya chochote ambacho ni kinyume cha mafundisho ya kweli.
14Ama Rabbimizin lütfu, imanla ve Mesih İsada olan sevgiyle birlikte bol bol üzerime döküldü.
11Mafundisho hayo hupatikana katika Habari Njema ambayo mimi nimekabidhiwa niihubiri, Habari Njema ya Mungu mtukufu na mwenye heri.
15‹‹Mesih İsa günahkârları kurtarmak için dünyaya geldi›› sözü, güvenilir ve her bakımdan kabule layık bir sözdür. Günahkârların en kötüsü benim.
12Namshukuru Bwana wetu Yesu Kristo aliyenipa nguvu kwa ajili ya kazi yangu. Namshukuru kwa kuniona mimi kuwa ni mwaminifu, akaniteua nimtumikie,
16Ama Mesih İsa, kendisine iman edip sonsuz yaşama kavuşacak olanlara örnek olayım diye sınırsız sabrını öncelikle bende sergilemek için bana merhamet etti.
13ingawa pale awali mimi nilimtukana na kumtesa na kumdhulumu. Lakini Mungu alinionea huruma, kwa sababu sikuwa na imani bado, na hivyo sikujua nilichokuwa ninafanya.
17Onur ve yücelik sonsuzlara dek bütün çağların Kralı, ölümsüz ve görünmez tek Tanrının olsun! Amin.
14Lakini Bwana wetu alinijalia neema yake kwa wingi, akanipa imani na upendo katika kuungana na Kristo Yesu.
18Oğlum Timoteos, senin hakkında önceden söylenen peygamberlik sözleri uyarınca, bu buyruğu sana emanet ediyorum. Öyle ki, bu sözlere dayanarak iyi savaşı sürdüresin.
15Usemi huu ni wa kuaminika, na tena unafaa kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuwaokoa wenye dhambi. Nami ni mkosefu zaidi kuliko hao wote,
19İmana ve temiz vicdana sarıl. Bazıları temiz vicdanı bir yana iterek iman konusunda battılar.
16lakini Mungu alinionea huruma, ili Kristo aonyeshe uvumilivu wake wote kwangu mimi, kama mfano kwa wale wote ambao baadaye watamwamini na kupokea uzima wa milele.
20Himeneos ve İskender bunlardandır. Küfür etmemeyi öğrensinler diye onları Şeytan'a teslim ettim.
17Kwake yeye aliye Mfalme wa milele na asiyekufa, yeye aliye Mungu pekee--kwake viwe heshima na utukufu milele na milele! Amina.
18Mwanangu Timotheo, nakukabidhi amri hii kufuatana na maneno ya unabii yaliyosemwa zamani juu yako. Yatumie maneno hayo yawe silaha yako katika kupigana vita vizuri,
19na ushike imani yako na dhamiri njema. Watu wengine hawakusikiliza dhamiri zao na hivyo wakaiharibu imani yao.
20Miongoni mwao ni Humenayo na Aleksanda ambao nimewakabidhi kwa Shetani, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.