Turkish

Swahili: New Testament

1 Timothy

3

1İşte güvenilir söz: Bir kimse gözetmen olmayı gönülden istiyorsa, iyi bir görev arzu etmiş olur.
1Msemo huu ni wa kweli: mtu akitaka kuwa kiongozi katika kanisa, huyo anatamani kazi nzuri.
2Ancak gözetmen ayıplanacak bir yanı olmayan, tek karılı, ölçülü, sağduyulu, saygın, konuksever, öğretmeye yetenekli biri olmalı.
2Basi, kiongozi wa kanisa anapaswa awe mtu asiye na lawama; anapaswa awe na mke mmoja tu, awe mwenye kiasi, nidhamu na utaratibu; ni lazima awe mkarimu na anayeweza kufundisha;
3Şarap düşkünü, zorba olmamalı; uysal, kavgadan ve para sevgisinden uzak olmalı.
3asiwe mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye amani; asiwe mtu wa kupenda fedha;
4Evini iyi yönetmeli, çocuklarına söz dinletmeli, her yönden saygılı olmalarını sağlamalı.
4anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote.
5Kendi evini yönetmesini bilmeyen, Tanrının topluluğunu nasıl kayırabilir?
5Maana kama mtu hawezi kuongoza vema nyumba yake, atawezaje kulitunza kanisa la Mungu?
6Gözetmen yeni iman etmiş biri olmamalı. Yoksa gurura kapılıp İblisin uğradığı yargıya uğrayabilir.
6Mtu ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi katika kanisa, asije akajaa majivuno na kuhukumiwa kama vile Ibilisi alivyohukumiwa.
7Topluluğun dışındakiler tarafından da iyi bir insan olarak tanınmalıdır. Öyle ki, ayıplanacak duruma ve İblisin tuzağına düşmesin.
7Anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa Ibilisi.
8Aynı şekilde kilise görevlileri, özü sözü ayrı, şarap tutkunu, haksız kazanç peşinde koşan kişiler değil, ağırbaşlı kişiler olmalı.
8Wasaidizi katika kanisa wanapaswa pia kuwa watu wenye tabia njema na wanyofu; wasiwe wanywaji mno wa divai au wenye tamaa ya fedha;
9Temiz vicdanla imanın sırrına sarılmalıdırlar.
9wanapaswa kuzingatia kwa dhamiri njema ukweli wa ndani wa imani.
10Bunlar da önce denensin; eleştirilecek bir yönleri yoksa görev alsınlar.
10Ni lazima kwanza wathibitishwe, na wakionekana kuwa wanafaa, basi, watoe huduma yao.
11Aynı şekilde kadınlar ağırbaşlı olmalı; iftiracı değil, ama ölçülü ve her bakımdan güvenilir olmalı.
11Wake zao wanapaswa pia kuwa na tabia njema, wasiowasengenya watu, wenye kiasi na waaminifu katika mambo yote.
12Görevliler tek karılı, çocuklarını ve evlerini iyi yöneten kişiler olsun.
12Msaidizi katika kanisa lazima awe na mke moja tu, na awezaye kuongoza vema watoto wake na nyumba yake.
13Görevlerini iyi yapanlar, kendileri için iyi bir yer edinir, Mesih İsaya imanda büyük cesaret kazanırlar.
13Maana wasaidizi wanaofanya kazi yao vizuri hujipatia msimamo mzuri, na wanaweza kusema bila hofu juu ya imani yao katika Kristo Yesu.
14Yakında yanına gelmeyi umuyorum. Ama gecikirsem, gerçeğin direği ve dayanağı olan Tanrının ev halkı arasında, yani yaşayan Tanrının topluluğunda nasıl davranmak gerektiğini bilesin diye sana bunları yazıyorum.
14Ninakuandikia barua hii nikiwa na matumaini ya kuja kwako hivi karibuni.
16Kuşkusuz Tanrı yolunun sırrı büyüktür. O, bedende göründü, Ruh'ça doğrulandı, Meleklerce görüldü, Uluslara tanıtıldı, Dünyada O'na iman edildi, Yücelik içinde yukarı alındı.
15Lakini kama nikicheleweshwa, basi, barua hii itakufahamisha mwenendo tunaopaswa kuwa nao katika nyumba ya Mungu, ambayo ni kanisa la Mungu aliye hai, na ambalo ni nguzo na msingi wa ukweli.
16Hakuna mashaka yoyote juu ya ukuu wa siri ya dini yetu: Alionekana katika umbo la kibinadamu alithibitishwa na Roho kuwa ni mwadilifu, akaonekana na malaika. Alihubiriwa kati ya mataifa, aliaminiwa popote ulimwenguni, akachukuliwa juu mbinguni katika utukufu.