1Ruh açıkça diyor ki, son zamanlarda bazıları yalancıların ikiyüzlülüğü nedeniyle aldatıcı ruhlara ve cinlerin öğretilerine kulak vererek imandan dönecek. Vicdanları adeta kızgın bir demirle dağlanmış bu yalancılar evlenmeyi yasaklayacak, iman edip gerçeği bilenlerin şükranla yemesi için Tanrının yarattığı yiyeceklerden çekinmek gerektiğini buyuracaklar.
1Roho asema waziwazi kwamba siku za baadaye watu wengine wataitupilia mbali imani; watazitii roho danganyifu na kufuata mafundisho ya pepo.
4Oysa Tanrının yarattığı her şey iyidir, hiçbir şey reddedilmemeli; yeter ki, şükranla kabul edilsin.
2Mafundisho ya namna hiyo yanaenezwa na watu waongo wadanganyifu, ambao dhamiri zao ziko kama zimechomwa kwa chuma cha moto.
5Çünkü her şey Tanrının sözüyle ve duayla kutsal kılınır.
3Watu hao hufundisha kwamba ni makosa kuona na pia kula vyakula fulani. Lakini Mungu aliviumba vyakula hivyo, ili wale walio waumini na ambao wanapata kuujua ukweli, wavitumie kwa shukrani.
6Bunları kardeşlere öğütlersen, imanın ve izlediğin iyi öğretinin sözleriyle beslenmiş olarak Mesih İsanın iyi bir görevlisi olursun.
4Kila kitu alichoumba Mungu ni chema, wala hakuna kinachohitaji kukataliwa, bali vyote vipokelewe kwa sala ya shukrani,
7Kutsallıktan yoksun kocakarı masallarını reddet. Kendini Tanrı yolunda eğit.
5kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.
8Bedeni eğitmenin biraz yararı var; ama şimdiki ve gelecek yaşamın vaadini içeren Tanrı yolunda yürümek her yönden yararlıdır.
6Kama ukiwapa ndugu wote maagizo haya, utakuwa mtumishi mwema wa Kristo Yesu, ukijiendeleza kiroho kwa maneno ya imani na mafundisho ya kweli, ambayo wewe umeyafuata.
9Bu güvenilir ve her bakımdan kabule layık bir sözdür.
7Lakini achana na hadithi zile zisizo za kidini na ambazo hazina maana. Jizoeshe kuishi maisha ya uchaji wa Mungu.
10Bunun için emek veriyor, mücadele ediyoruz. Çünkü umudumuzu bütün insanların, özellikle iman edenlerin Kurtarıcısı olan diri Tanrıya bağladık.
8Mazoezi ya mwili yana faida yake, lakini mazoezi ya kiroho yana faida za kila namna, maana yanatuahidia uzima katika maisha ya sasa, na pia hayo yanayokuja.
11Bunları buyur ve öğret.
9Usemi huo ni wa kusadikika kabisa na unastahili kukubaliwa.
12Gençsin diye kimse seni küçümsemesin. Konuşmada, davranışta, sevgide, imanda, paklıkta imanlılara örnek ol.
10Sisi tunajitahidi na kufanya kazi kwa bidii kwani tumemwekea tumaini letu Mungu aliye hai ambaye ni Mwokozi wa watu wote, na hasa wale wanaoamini.
13Ben yanına gelinceye dek kendini topluluğa Kutsal Yazıları okumaya, öğüt vermeye, öğretmeye ada.
11Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.
14Peygamberlik sözüyle, ihtiyarlar kurulunun ellerini senin üzerine koymasıyla sana verilen ve hâlâ sende olan ruhsal armağanı ihmal etme.
12Usikubali mtu yeyote akudharau kwa sababu wewe ni kijana, lakini jitahidi uwe mfano kwa wanaoamini: katika usemi wako, mwenendo wako, upendo, imani na maisha safi.
15Bu konuların üzerinde dur, kendini bunlara ver ki, ilerlediğini herkes görsün.
13Tumia wakati wako na juhudi yako katika kusoma hadharani Maandiko Matakatifu, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja.
16Kendine ve öğretine dikkat et, bu yolda yürümeye devam et. Çünkü bunu yapmakla hem kendini hem seni dinleyenleri kurtaracaksın.
14Usiache kukitumia kile kipaji cha Kristo ndani yako ulichopewa kwa maneno ya manabii na kwa kuwekewa mikono na wazee.
15Fikiri kwa makini juu ya hayo yote na kuyatekeleza kusudi maendeleo yako yaonekane na wote.
16Angalia sana mambo yako mwenyewe, na mafundisho yako. Endelea kufanya hayo maana ukifanya hivyo utajiokoa mwenyewe na wale wanaokusikiliza.