Turkish

Swahili: New Testament

1 Timothy

6

1Kölelik boyunduruğu altında olanların hepsi kendi efendilerini tam bir saygıya layık görsünler ki, Tanrının adı ve öğretisi kötülenmesin.
1Watumwa wote wanapaswa kuwaheshimu wakuu wao ili kusiwe na sababu ya watu kulitukana jina la Mungu na mafundisho yetu.
2Efendileri iman etmiş olanlarsa, nasıl olsa kardeşiz deyip efendilerine saygısızlık etmesinler. Tersine, daha iyi hizmet etsinler. Çünkü bu iyi hizmetten yararlananlar, sevdikleri imanlılardır. Bu ilkeleri öğret ve öğütle.
2Watumwa ambao wakuu wao ni Wakristo wasiwadharau kwani ni ndugu zao. Badala yake, wanapaswa kuwatumikia hata vizuri zaidi, maana hao wanaopata faida kutokana na kazi yao ni waumini ambao wanawapenda. Unapaswa kufundisha na kuhubiri mambo haya.
3Eğer biri farklı öğretiler yayar, doğru sözleri, yani Rabbimiz İsa Mesihin sözlerini ve Tanrı yoluna dayanan öğretiyi onaylamazsa, kendini beğenmiş, bilgisiz bir kişidir. Böyle biri tartışmaları ve kelime kavgalarını hastalık derecesinde sever. Bu şeyler kıskançlığa, çekişmeye, iftiraya, kötü kuşkulara, düşünceleri yozlaşmış ve gerçeği yitirmiş kişilerin durmadan sürtüşmesine yol açar. Onlar Tanrı yolunu kazanç yolu sanıyorlar.
3Mtu yeyote anayefundisha kinyume cha mambo haya, na ambaye hakubaliani na maneno ya kweli ya Bwana wetu Yesu Kristo na mafundisho ya dini,
6Oysa eldekiyle yetinerek Tanrı yolunda yürümek büyük kazançtır.
4huyo amejaa majivuno na wala hajui chochote. Ni mtu wa kupenda ubishi na magombano juu ya maneno matupu, na hiyo husababisha wivu, ugomvi, matusi, shuku mbaya,
7Çünkü dünyaya ne bir şey getirdik, ne de ondan bir şey götürebiliriz.
5na ubishi usio na kikomo kutoka kwa watu ambao akili zao zimeharibika, na ambao hawana tena ukweli. Wanadhani dini ni njia ya kujipatia utajiri.
8Yiyeceğimiz, giyeceğimiz varsa bunlarla yetiniriz.
6Kweli dini humfanya mtu awe tajiri sana, ikiwa anatosheka na vitu alivyo navyo.
9Zengin olmak isteyenler ayartılıp tuzağa düşerler, insanı çöküşe ve yıkıma götüren birçok saçma ve zararlı arzulara kapılırlar.
7Maana hatukuleta kitu chochote hapa duniani, wala hatutachukua chochote.
10Çünkü her türlü kötülüğün bir kökü de para sevgisidir. Kimileri zengin olma hevesiyle imandan saptılar, kendi kendilerine çok acı çektirdiler.
8Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.
11Ama sen, ey Tanrı adamı, bu şeylerden kaç! Doğruluğun, Tanrı yolunun, imanın, sevginin, sabrın, uysallığın ardından koş.
9Lakini wale wanaotaka kutajirika huanguka katika majaribu, na kunaswa katika mtego wa tamaa nyingi mbaya za kipumbavu, ambazo huwavuta mpaka kwenye uharibifu na maangamizi.
12İman uğrunda yüce mücadeleyi sürdür. Sonsuz yaşama sımsıkı sarıl. Bunun için çağrıldın ve birçok tanık önünde yüce inancı açıkça benimsedin.
10Kwa maana kupenda sana fedha ni chanzo cha uovu wote. Watu wengine wametamani sana kupata fedha hata wakatangatanga mbali na imani, na wameivunja mioyo yao kwa huzuni nyingi.
13Her şeye yaşam veren Tanrının ve Pontius Pilatus önünde yüce inanca tanıklık etmiş olan Mesih İsanın huzurunda sana buyuruyorum: Rabbimiz İsa Mesihin gelişine dek Tanrı buyruğunu lekesiz ve kusursuz olarak koru.
11Lakini wewe, mtu wa Mungu, jiepushe na mambo hayo. Zingatia uadilifu, uchaji wa Mungu, imani, mapendo, subira na unyenyekevu.
15Mübarek ve tek Hükümdar, kralların Kralı, rablerin Rabbi, ölümsüzlüğün tek sahibi, yaklaşılmaz ışıkta yaşayan, hiçbir insanın görmediği ve göremeyeceği Tanrı, Mesihi belirlenen zamanda ortaya çıkaracaktır. Onur ve kudret sonsuza dek Onun olsun! Amin.
12Piga mbio kadiri uwezavyo katika shindano la mbio za imani, ukajipatie tuzo la uzima wa milele, uliloitiwa wakati ulipokiri imani yako mbele ya mashahidi wengi.
17Şimdiki çağda zengin olanlara gururlanmamalarını, gelip geçici zenginliğe umut bağlamamalarını buyur. Zevk almamız için bize her şeyi bol bol veren Tanrıya umut bağlasınlar.
13Mbele ya Mungu anayevipa vitu vyote uhai, na mbele ya Yesu Kristo aliyetoa ushahidi na kukiri ukweli mbele ya Pontio Pilato,
18İyilik yapmalarını, iyilikten yana zengin, eliaçık ve paylaşmaya istekli olmalarını buyur.
14nakuamuru ushike maagizo yako na kuyatii kwa uaminifu mpaka Siku ile atakapotokea Bwana wetu Yesu Kristo.
19Böylelikle gerçek yaşama kavuşmak üzere gelecek için kendilerine sağlam temel olacak bir hazine biriktirmiş olurlar.
15Kutokea kwake kutafanyika wakati ufaao uliopangwa na Mungu mwenye heri na aliye Mtawala pekee, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana.
20Ey Timoteos, sana emanet edileni koru! Kutsallıktan yoksun, boş sözlerden, yalan yere ‹‹bilgi›› denen düşüncelerin çelişkilerinden sakın.
16Yeye peke yake anaishi milele, katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. Kwake iwe heshima na uwezo wa milele! Amina.
21Kimileri bu sözde bilgiye sahip olduklarını ileri sürerek imandan saptılar. Tanrı'nın lütfu sizlerle birlikte olsun.
17Waamuru watu walio matajiri katika mambo ya maisha ya sasa, wasijivune, wasiweke tumaini lao katika mali isiyoweza kutegemewa; bali wamtegemee Mungu, ambaye kwa ukarimu hutupatia vitu vyote tuvifurahie.
18Waamuru watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, na wawe wakarimu na walio tayari kuwashirikisha wengine mali zao.
19Kwa namna hiyo watajiwekea hazina ambayo itakuwa kwao msingi imara kwa wakati ujao. Hapo wataweza kujipatia uzima ambao ni uzima wa kweli.
20Timotheo, tunza salama yote yale uliyokabidhiwa. Jiepushe na majadiliano ya kidunia na ubishi wa kipumbavu juu ya kile wanachokiita watu wengine: "Elimu".
21Maana wengine wamejidai kuwa na hiyo elimu, na matokeo yake wamepoteza imani. Nawatakieni nyote neema!