1Sizler bir zamanlar içinde yaşadığınız suçlardan ve günahlardan ötürü ölüydünüz. Bu dünyanın gidişine ve havadaki hükümranlığın egemenine, yani söz dinlemeyen insanlarda şimdi etkin olan ruha uymaktaydınız.
1Ninyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa na dhambi zenu.
3Bir zamanlar hepimiz böyle insanların arasında, benliğin ve aklın isteklerini yerine getirerek benliğimizin tutkularına göre yaşıyorduk. Doğal olarak ötekiler gibi biz de gazap çocuklarıydık.
2Wakati ule mliishi kufuatana na mtindo mbaya wa ulimwengu huu, mkawa mnamtii mtawala wa pepo wenye nguvu wa anga, pepo ambao huwatawala sasa watu wasiomtii Mungu.
4Ama merhameti bol olan Tanrı bizi çok sevdiği için, suçlarımızdan ötürü ölü olduğumuz halde, bizi Mesihle birlikte yaşama kavuşturdu. Onun lütfuyla kurtuldunuz.
3Na hata sisi sote tulikuwa kama wao; tuliishi kufuatana na tamaa zetu za kidunia na kufanya tu mambo yale yaliyoipendeza miili na akili zetu. Kidunia, sisi kama vile pia wao, tulistahili ghadhabu ya Mungu.
6Tanrı bizi Mesih İsada, Mesihle birlikte diriltip göksel yerlerde oturttu.
4Lakini Mungu ni mwenye huruma nyingi. Alitupenda kwa mapendo yasiyopimika,
7Bunu, Mesih İsada bize gösterdiği iyilikle, lütfunun sonsuz zenginliğini gelecek çağlarda sergilemek için yaptı.
5hata, ingawa tulikuwa tumekufa kwa sababu ya dhambi, alitufanya hai pamoja na Kristo. Kwa neema ya Mungu ninyi mmeokolewa.
8İman yoluyla, lütufla kurtuldunuz. Bu sizin başarınız değil, Tanrının armağanıdır.
6Kwa kuungana na Kristo Yesu, Mungu alitufufua pamoja naye, tukatawale pamoja naye mbinguni.
9Kimsenin övünmemesi için iyi işlerin ödülü değildir.
7Ndivyo alivyopenda kuonyesha kwa watu wa nyakati za baadaye, ukuu wa neema yake aliyotujalia kwa ukarimu katika kuungana kwetu na Kristo Yesu.
10Çünkü biz Tanrının yapıtıyız, Onun önceden hazırladığı iyi işleri yapmak üzere Mesih İsada yaratıldık.
8Maana, kwa neema ya Mungu mmekombolewa kwa njia ya imani. Jambo hili si matokeo ya juhudi zenu, bali ni zawadi ya Mungu.
11Bunun için, öteki uluslardan doğan sizler bir zamanlar ne olduğunuzu anımsayın: Bedende elle yapılmış sünnete sahip olup ‹‹sünnetli›› diye anılanların ‹‹sünnetsiz›› dedikleri sizler,
9Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.
12o zaman Mesihsiz, İsrailde vatandaşlıktan yoksun, vaade dayanan antlaşmalara yabancı, dünyada umutsuz ve tanrısızdınız.
10Sisi ni viumbe vyake Mungu, na kwa kuungana na Kristo Yesu, alituumba kwa ajili ya kuishi maisha ya matendo mema aliyotutayarishia tuyatende.
13Ama bir zamanlar uzak olan sizler, şimdi Mesih İsada Mesihin kanı sayesinde yakın kılındınız.
11Ninyi mlio kwa asili watu wa mataifa mengine--mnaoitwa, "wasiotahiriwa" na Wayahudi ambao hujiita, "Waliotahiriwa," (kwa sababu ya kile wanachoifanyia miili yao) --kumbukeni mlivyokuwa zamani.
14Çünkü Mesihin kendisi barışımızdır. Kutsal Yasayı, buyrukları ve kurallarıyla birlikte etkisiz kılarak iki topluluğu birleştirdi, aradaki engel duvarını, yani düşmanlığı kendi bedeninde yıktı. Amacı bu iki topluluktan kendisinde yeni bir insan yaratarak esenliği sağlamak, düşmanlığı çarmıhta öldürmek ve çarmıh aracılığıyla bir bedende iki topluluğu Tanrıyla barıştırmaktı.
12Wakati ule ninyi mlikuwa bila Kristo; mlikuwa nje ya jamii ya Israeli; mlikuwa wageni na hamkuwa na sehemu yoyote katika lile agano la zile ahadi. Mlikuwa bila matumaini Mungu hapa duniani.
17O gelip hem uzakta olan sizlere hem de yakındakilere esenliği müjdeledi.
13Lakini sasa, kwa kuungana na Kristo Yesu, ninyi ambao hapo awali mlikuwa mbali, mmekaribishwa kwa njia ya damu yake Kristo.
18Onun aracılığıyla hepimiz tek Ruhta Babanın huzuruna çıkabiliriz.
14Maana Kristo mwenyewe ametuletea amani kwa kuwafanya Wayahudi na watu wa mataifa mengine kuwa jamii moja. Kwa mwili wake yeye mwenyewe aliubomoa ule ukuta uliowatenganisha na kuwafanya maadui.
19Böylece artık yabancı ve garip değil, kutsallarla birlikte yurttaş ve Tanrının ev halkısınız.
15Aliiondoa ile Sheria ya Wayahudi pamoja na amri zake na kanuni zake, ili kutokana na jamii hizo mbili aumbe jamii moja mpya katika umoja naye na hivyo kuleta amani.
20Elçilerle peygamberlerden oluşan temel üzerine inşa edildiniz. Köşe taşı Mesih İsanın kendisidir.
16Kwa mwili wake, Kristo aliuangamiza uadui wao; kwa msalaba wake aliziunganisha jamii hizo kuwa moja na kuzipatanisha na Mungu.
21Bütün yapı Rabbe ait kutsal bir tapınak olmak üzere Onda kenetlenip yükseliyor.
17Basi, Kristo alikuja akahubiri Habari Njema ya amani kwenu ninyi watu wa mataifa mengine mliokuwa mbali na Mungu, na pia kwa Wayahudi ambao walikuwa karibu na Mungu.
22Siz de Ruh aracılığıyla Tanrı'nın konutu olmak üzere hep birlikte Mesih'te inşa ediliyorsunuz.
18Hivyo, kwa njia yake, sisi sote, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, tunaweza kumwendea Baba katika Roho mmoja.
19Basi, ninyi si wageni tena, wala si watu wa nje; ninyi ni raia pamoja na watu wa Mungu, na ni watu wa jamaa ya Mungu.
20Mmejengwa juu ya msingi uliowekwa na mitume na manabii, naye Kristo mwenyewe ndiye jiwe kuu la msingi.
21Yeye ndiye mwenye kulitengeneza jengo lote na kulikuza hata liwe hekalu takatifu kwa ajili ya B wana.
22Katika kuungana naye, ninyi pia mnajengwa pamoja na wote wengine, muwe makao ya Mungu kwa njia ya Roho wake.