1Bu nedenle, Rabbin uğruna tutuklu olan ben, aldığınız çağrıya yaraşır biçimde yaşamanızı rica ederim.
1Basi, mimi niliye mfungwa kwa kuwa namtumikia Bwana, nawasihi muishi maisha yanayostahili wito mlioitiwa.
2Her bakımdan alçakgönüllü, yumuşak huylu, sabırlı olun. Birbirinize sevgiyle, hoşgörüyle davranın.
2Muwe daima wanyenyekevu, wapole na wenye saburi; vumilianeni ninyi kwa ninyi kwa mapendo.
3Ruhun birliğini esenlik bağıyla korumaya gayret edin.
3Fanyeni bidii ya kuhifadhi umoja uletwao na Roho kwa kuzingatia amani iliyo kati yenu.
4Çağrınızdan doğan tek bir umuda çağrıldığınız gibi, beden bir, Ruh bir, Rab bir, iman bir, vaftiz bir, her şeyden üstün, her şeyle ve her şeyde olan herkesin Tanrısı ve Babası birdir.
4Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile tumaini mliloitiwa na Mungu ni moja.
7Ama lütuf her birimize Mesihin armağanı ölçüsünde bağışlandı.
5Kuna Bwana mmoja, imani moja na ubatizo mmoja;
8Bunun için Kutsal Yazı şöyle der: ‹‹Yükseğe çıktı ve tutsakları peşine taktı, İnsanlara armağanlar verdi.››
6kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote.
9Şimdi bu ‹‹çıktı›› sözcüğü, Mesih önce aşağılara, yeryüzüne indi demek değil de nedir?
7Kila mmoja wetu amepewa neema kadiri ya kipimo alichojaliwa na Kristo.
10İnen de Odur, her şeyi doldurmak üzere bütün göklerin çok üstüne çıkan da Odur.
8Kama yasemavyo Maandiko: "Alipopaa mbinguni juu kabisa, alichukua mateka; aliwapa watu zawadi."
11Kendisi kimini elçi, kimini peygamber, kimini müjdeci, kimini önder ve öğretmen atadı.
9Basi, inaposemwa: "alipaa juu," ina maana gani? Maana yake ni kwamba, kwanza alishuka mpaka chini kabisa duniani.
12Öyle ki, kutsallar hizmet görevini yapmak ve Mesihin bedenini geliştirmek üzere donatılsın.
10Basi, huyo aliyeshuka hapa duniani, ndiye aliyepaa juu ya mbingu zote apate kuujaza ulimwengu.
13Sonunda hepimiz imanda ve Tanrı Oğlunu tanımada birliğe, yetkinliğe, Mesih doluluğundaki olgunluk düzeyine erişeceğiz.
11Ndiye aliyewapa watu zawadi: wengine aliwajalia wawe mitume, wengine manabii, wengine wawe waeneza Habari Njema, wengine wachungaji na walimu.
14Böylece artık insanların kurnazlığıyla, aldatıcı düzenler kurmaktaki becerileriyle, her öğretinin rüzgarıyla çalkalanıp öteye beriye sürüklenen çocuklar olmayacağız.
12Alifanya hivyo apate kuwatayarisha watu wote wa Mungu kwa ajili ya kazi ya huduma ya Kikristo ili kuujenga mwili wa Kristo,
15Tersine, sevgiyle gerçeğe uyarak bedenin başı olan Mesihe doğru her yönden büyüyeceğiz.
13na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe.
16Onun önderliğinde bütün beden, her eklemin yardımıyla kenetlenip kaynaşmış olarak her üyesinin düzenli işleyişiyle büyüyüp sevgide gelişiyor.
14Basi, hatutakuwa tena kama watoto, tukitupwa na kupeperushwa huko na huko kwa kila upepo wa mafundisho wanayozua watu wadanganyifu, ili wawapotoshe wengine kwa hila.
17Bunun için şunu söylüyor ve Rab adına sizi uyarıyorum: Artık öteki uluslar gibi boş düşüncelerle yaşamayın.
15Ila, sisi tukisema ukweli kwa moyo wa mapendo tutakua zidi katika kila jambo kulingana na Kristo ambaye ndiye kichwa;
18Onların zihinleri karardı. Bilgisizlikleri ve yüreklerinin duygusuzluğu yüzünden Tanrının yaşamına yabancılaştılar.
16chini ya uongozi wake, viungo vyote vya mwili hushikamana pamoja, na mwili wote hutegemezwa kwa msaada wa viungo vyake. Basi, kila kiungo kikitekeleza kazi yake ipasavyo, mwili wote hukua na kujijenga katika upendo.
19Bütün duyarlılıklarını yitirip açgözlülükle her türlü pisliği yapmak üzere kendilerini sefahate verdiler.
17Basi, kwa jina la Bwana, nawaonyeni: msiishi tena kama watu wasiomjua Mungu, ambao fikira zao zimekuwa upuuzi mtupu,
20Ama siz Mesihi böyle öğrenmediniz.
18na akili zao zimo gizani. Wako mbali na uzima wa Mungu, kwa sababu ya upumbavu ulio ndani yao na ukaidi wao.
21Kuşkusuz İsanın sesini duydunuz, Ondaki gerçeğe uygun olarak Onun yolunda eğitildiniz.
19Wamepotoka na hawana aibu, wamejitosa katika ufisadi; hufanya kwa pupa kila aina ya mambo ya aibu.
22Önceki yaşayışınıza ait olup aldatıcı tutkularla yozlaşan eski yaradılışı üzerinizden sıyırıp atmayı, düşüncede ve ruhta yenilenmeyi,
20Lakini ninyi hamkujifunza hivyo juu ya Kristo.
24gerçek doğruluk ve kutsallıkta Tanrıya benzer yaratılan yeni yaradılışı giyinmeyi öğrendiniz.
21Ni dhahiri kwamba mlisikia barabara habari zake, na mkiwa wafuasi wake mkafundishwa ukweli ulivyo katika Yesu.
25Bunun için yalanı üzerinizden sıyırıp atarak her biriniz komşusuna gerçeği söylesin. Çünkü hepimiz aynı bedenin üyeleriyiz.
22Basi, acheni mwenendo wenu wa awali, yaani ule utu wenu wa kale uliokuwa unaangamizwa kwa tamaa zake danganyifu.
26Öfkelenin, ama günah işlemeyin. Öfkenizin üzerine güneş batmasın.
23Jirekebisheni upya rohoni na katika fikira zenu.
27İblise de fırsat vermeyin.
24Vaeni hali mpya ya utu ambayo imeumbwa kwa mfano wa Mungu na ambayo hujionyesha katika maisha ya kweli ya uadilifu na utakatifu.
28Hırsızlık eden artık hırsızlık etmesin. Tersine, kendi elleriyle iyi olanı yaparak emek versin; böylece ihtiyacı olanla paylaşacak bir şeyi olsun.
25Kwa hiyo, acheni uongo. Kila mmoja anapaswa kumwambia mwenzake ukweli, maana kila mmoja wetu ni kiungo cha mwili wa Kristo.
29Ağzınızdan hiç kötü söz çıkmasın. İşitenler yararlansın diye, ihtiyaca göre, başkalarının gelişmesine yarayacak olanı söyleyin.
26Kama mkikasirika, msikubali hasira yenu iwafanye mtende dhambi, na wala msikae na hasira kutwa nzima.
30Tanrının Kutsal Ruhunu kederlendirmeyin. Kurtuluş günü için o Ruhla mühürlendiniz.
27Msimpe Ibilisi nafasi.
31Her kötü niyetle birlikte her türlü kin, öfke, kızgınlık, bağrışma ve iftira sizden uzak olsun.
28Aliyekuwa akiiba, asiibe tena, bali na aanze kufanya kazi njema kwa mikono yake, apate kuwa na kitu cha kumsaidia mtu aliye maskini.
32Birbirinize karşı iyi yürekli, şefkatli olun. Tanrı sizi Mesih'te bağışladığı gibi, siz de birbirinizi bağışlayın.
29Maneno mabaya hata yasisikike kamwe miongoni mwenu; kila mara maneno yenu yawe ya kufaa na ambayo hujenga na kuwasaidia wengine, ili yawaneemeshe wasikilizaji wenu.
30Msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu maana Roho huyo ni alama ya Mungu kwenu kwamba ninyi ni watu wake, na thibitisho kwamba siku itakuja ambapo Mungu atawakomboeni.
31Basi, achaneni na uhasama, chuki, hasira, kelele, matusi! Achaneni na kila uovu!
32Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe ninyi kwa njia ya Kristo.