Turkish

Swahili: New Testament

Hebrews

3

1Bunun için, göksel çağrıya ortak olan kutsal kardeşlerim, dikkatinizi açıkça benimsediğimiz inancın elçisi ve başkâhini İsaya çevirin.
1Ndugu zangu watu wa Mungu ambao mmeitwa na Mungu, fikirini juu ya Yesu ambaye Mungu alimtuma awe Kuhani Mkuu wa imani tunayoiungama.
2Musa Tanrının bütün evinde Tanrıya nasıl sadık kaldıysa, İsa da kendisini görevlendirene sadıktır.
2Yeye alikuwa mwaminifu kwa Mungu aliyemteua kufanya kazi yake kama vile Mose alivyokuwa mwaminifu katika nyumba yote ya Mungu.
3Evi yapan nasıl evden daha çok saygı görürse, İsa da Musadan daha büyük yüceliğe layık sayıldı.
3Mjenzi wa nyumba hupata heshima zaidi kuliko hiyo nyumba yenyewe. Hali kadhalika naye Yesu anastahili heshima kubwa zaidi kuliko Mose.
4Her evin bir yapıcısı vardır, her şeyin yapıcısı ise Tanrıdır.
4Kila nyumba hujengwa na mjenzi fulani--na Mungu ndiye mjenzi wa vitu vyote.
5Musa, gelecekte söylenecek sözlere tanıklık etmek için Tanrının bütün evinde bir hizmetkâr olarak sadık kaldı.
5Mose alikuwa mwaminifu katika nyumba yote ya Bwana kama mtumishi, na alinena juu ya mambo ambayo Mungu atayasema hapo baadaye.
6Oysa Mesih, Onun evi üzerinde yetkili oğul olarak sadıktır. Eğer cesaretimizi ve övündüğümüz umudu gevşemeden sonuna dek sürdürürsek, Onun evi biziz.
6Lakini Kristo ni mwaminifu kama Mwana mwenye mamlaka juu ya nyumba ya Mungu. Sisi ni nyumba yake kama tukizingatia uhodari wetu na uthabiti wetu katika kile tunachotumainia.
7Bu nedenle, Kutsal Ruhun dediği gibi, ‹‹Bugün Onun sesini duyarsanız, Atalarınızın başkaldırdığı, Çölde Onu sınadığı günkü gibi Yüreklerinizi nasırlaştırmayın.
7Kwa hiyo, basi, kama asemavyo Roho Mtakatifu: "Kama mkisikia sauti ya Mungu leo,
9Atalarınız beni orada sınayıp denediler Ve kırk yıl boyunca yaptıklarımı gördüler.
8msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama wazee wenu walivyokuwa wakati walipomwasi Mungu; kama walivyokuwa siku ile kule jangwani,
10Bu nedenle o kuşağa darıldım Ve dedim ki, ‹Yürekleri hep kötüye sapar, Yollarımı öğrenmediler.
9Huko wazee wenu walinijaribu na kunichunguza, asema Bwana, ingawa walikuwa wameyaona matendo yangu kwa miaka arobaini.
11Öfkelendiğimde ant içtiğim gibi, Onlar huzur diyarıma asla girmeyecekler.› ››
10Kwa sababu hiyo niliwakasirikia watu hao nikasema, Fikira za watu hawa zimepotoka, hawajapata kamwe kuzijua njia zangu.
12Ey kardeşler, hiçbirinizde diri Tanrıyı terk eden kötü, imansız bir yüreğin bulunmamasına dikkat edin.
11Basi, nilikasirika, nikaapa: Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko."
13‹‹Gün bugündür›› denildikçe birbirinizi her gün yüreklendirin. Öyle ki, hiçbirinizin yüreği günahın aldatıcılığıyla nasırlaşmasın.
12Basi ndugu, jihadharini asije akawako yeyote miongoni mwenu aliye na moyo mbaya hivyo na asiyeamini hata kujitenga na Mungu aliye hai.
14Çünkü Mesihe ortak olduk. Yalnız başlangıçtaki güvenimizi gevşemeden sonuna dek sürdürmeliyiz.
13Maadamu hiyo "Leo" inayosemwa katika Maandiko bado inatuhusu sisi, mnapaswa kusaidiana daima, ili mtu yeyote miongoni mwenu asidanganywe na dhambi na kuwa mkaidi.
15Yukarıda belirtildiği gibi, ‹‹Bugün Onun sesini duyarsanız, Atalarınızın başkaldırdığı günkü gibi Yüreklerinizi nasırlaştırmayın.››
14Maana sisi tunashirikiana na Kristo ikiwa tutazingatia kwa uthabiti tumaini tulilokuwa nalo mwanzoni.
16Onun sesini işitip başkaldıran kimlerdi? Musa önderliğinde Mısırdan çıkanların hepsi değil mi?
15Maandiko yasema hivi: "Kama mkisikia sauti ya Mungu leo, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama wazee wenu walivyokuwa wakati walipomwasi Mungu."
17Tanrı kimlere kırk yıl dargın kaldı? Günah işleyip cesetleri çöle serilenlere değil mi?
16Ni akina nani basi, waliosikia sauti ya Mungu wakamwasi? Ni wale wote walioongozwa na Mose kutoka Misri.
18Sözünü dinlemeyenler dışında kendi huzur diyarına kimlerin girmeyeceğine ant içti?
17Mungu aliwakasirikia akina nani kwa miaka arobaini? Aliwakasirikia wale waliotenda dhambi, maiti zao zikatapakaa kule jangwani.
19Görüyoruz ki, imansızlıklarından ötürü oraya giremediler.
18Mungu alipoapa: "Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko," alikuwa anawasema akina nani? Alikuwa anasema juu ya hao walioasi.
19Basi, twaona kwamba hawakuingia huko kwa sababu hawakuamini.