Turkish

Swahili: New Testament

Hebrews

6

1Bunun için, ölü işlerden tövbe etmenin ve Tanrıya inanmanın temelini, vaftizler, elle kutsama, ölülerin dirilişi ve sonsuz yargıyla ilgili öğretinin temelini yeni baştan atmadan Mesihle ilgili ilk öğretileri aşarak yetkinliğe doğru ilerleyelim.
1Basi, tusonge mbele kwa yale yaliyokomaa na kuyaacha nyuma yale mafundisho ya mwanzo ya Kikristo. Hatuhitaji kuweka msingi tena kwa kurudia yale mafundisho ya mwanzo kama vile kuachana na matendo ya kifo, kumwamini Mungu;
3Tanrı izin verirse, bunu yapacağız.
2mafundisho juu ya ubatizo na kuwekewa mikono; ufufuo wa wafu na hukumu ya milele.
4Bir kez aydınlatılmış, göksel armağanı tatmış ve Kutsal Ruha ortak edilmiş, Tanrı sözünün iyiliğini ve gelecek çağın güçlerini tatmış oldukları halde yoldan sapanları yeniden tövbe edecek duruma getirmeye olanak yoktur. Çünkü onlar Tanrının Oğlunu adeta yeniden çarmıha geriyor, herkesin önünde aşağılıyorlar.
3tusonge mbele! Hayo tutayafanya, Mungu akitujalia.
7Üzerine sık sık yağan yağmuru emen ve kimler için işleniyorsa onlara yararlı bitkiler üreten toprağı Tanrı bereketli kılar.
4Maana watu wanaoiasi imani yao inawezekanaje kuwarudisha watubu tena? Watu hao walikwisha kuwa katika mwanga wa Mungu, walikwisha onja zawadi ya mbinguni na kushirikishwa Roho Mtakatifu;
8Ama dikenli bitki, devedikeni üreten toprak yararsızdır; lanetlenmeye yakındır, sonu yanmaktır.
5walikwisha onja wema wa neno la Mungu na nguvu za ulimwengu ujao,
9Size gelince, sevgili kardeşler, böyle konuştuğumuz halde, durumunuzun daha iyi olduğuna, kurtuluşa uygun düştüğüne eminiz.
6kisha wakaiasi imani yao! Haiwezekani kuwarudisha watubu tena, kwa sababu wanamsulubisha tena Mwana wa Mungu na kumwaibisha hadharani.
10Tanrı adaletsiz değildir; emeğinizi ve kutsallara hizmet etmiş olarak ve etmeye devam ederek Onun adına gösterdiğiniz sevgiyi unutmaz.
7Mungu huibariki ardhi ambayo huipokea mvua inayoinyeshea mara kwa mara, na kuotesha mimea ya faida kwa mkulima.
11Umudunuzdan doğan tam güvenceye kavuşmanız için her birinizin sona dek aynı gayreti göstermesini diliyoruz.
8Lakini kama ardhi hiyo ikiota miti ya miiba na magugu, haina faida; karibu italaaniwa na Mungu na mwisho wake ni kuchomwa moto.
12Tembel olmamanızı, vaat edilenleri iman ve sabır aracılığıyla miras alanların örneğine uymanızı istiyoruz.
9Lakini, ingawa twasema namna hii, wapenzi wetu, tunalo tumaini kubwa juu ya hali yenu. Tunajua kwamba mmepokea baraka zile bora za wokovu wenu.
13Tanrı İbrahime vaatte bulunduğu zaman, üzerine ant içecek daha üstün biri olmadığı için kendi üzerine ant içerek şöyle dedi:
10Mungu hakosi haki; yeye hataisahau kazi mliyoifanya au upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake katika huduma mliyowapa na mnayowapa sasa watu wake.
14‹‹Seni kutsadıkça kutsayacağım, Soyunu çoğalttıkça çoğaltacağım.››
11Hamu yetu ni kwamba kila mmoja wenu aonyeshe bidii hiyohiyo mpaka mwisho, ili yale mnayotumainia yapate kutimia.
15Böylece İbrahim sabırla dayanarak vaade erişti.
12Msiwe wavivu, bali muwe kama wale wanaoamini na wenye uvumilivu na hivyo wanapokea yake aliyoahidi Mungu.
16İnsanlar kendilerinden üstün biri üzerine ant içerler. Onlar için ant, söyleneni doğrular ve her tartışmayı sona erdirir.
13Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa.
17Tanrı da amacının değişmezliğini vaadin mirasçılarına daha açıkça belirtmek istediği için vaadini antla pekiştirdi.
14Mungu alisema: "Hakika nitakubariki na nitakupa wazawa wengi."
18Öyle ki, önümüze konan umuda tutunmak için Tanrıya sığınan bizler, Tanrının yalan söylemesi olanaksız olan bu iki değişmez şey aracılığıyla büyük cesaret bulalım.
15Abrahamu alisubiri kwa uvumilivu na hivyo alipokea kile alichoahidiwa na Mungu.
19Canlarımız için gemi demiri gibi sağlam ve güvenilir olan bu umut, perdenin arkasındaki iç bölmeye geçer.
16Watu wanapoapa, huapa kwa mmoja aliye mkuu zaidi kuliko wao, na kiapo hicho husuluhisha ubishi wote.
20Melkisedek düzeni uyarınca sonsuza dek başkâhin olan İsa oraya uğrumuza öncü olarak girdi.
17Naye Mungu aliimarisha ahadi yake kwa kiapo; na kwa namna hiyo akawaonyesha wazi wale aliowaahidia kwamba hatabadili nia yake.
18Basi, kuna vitu hivi viwili: ahadi na kiapo, ambavyo haviwezi kubadilika na wala juu ya hivyo Mungu hawezi kusema uongo. Kwa hiyo sisi tuliokimbilia usalama kwake, tunapewa moyo wa kushikilia imara tumaini lililowekwa mbele yetu.
19Tunalo tumaini hilo kama nanga ya maisha yetu. Tumaini hilo ni imara na thabiti, nalo lapenya lile pazia la hekalu la mbinguni mpaka patakatifu ndani.
20Yesu ametangulia kuingia humo kwa niaba yetu, na amekuwa kuhani mkuu milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.