Turkish

Swahili: New Testament

Hebrews

8

1Söylediklerimizin özü şudur: Göklerde, Yüce Olanın tahtının sağında oturan, kutsal yerde, insanın değil, Rabbin kurduğu asıl tapınma çadırında görev yapan böyle bir başkâhinimiz vardır.
1Basi, jambo muhimu katika hayo tunayosema ni hili: sisi tunaye Kuhani Mkuu wa namna hiyo, ambaye anaketi upande wa kulia wa kiti cha enzi cha Mwenyezi Mungu mbinguni.
3Her başkâhin sunular, kurbanlar sunmak için atanır. Bu nedenle bizim başkâhinimizin de sunacak bir şeyi olması gerekir.
2Yeye hutoa huduma ya Kuhani Mkuu katika Mahali Patakatifu sana, yaani ndani ya ile hema ya kweli iliyojengwa na Bwana, siyo na binadamu.
4Eğer kendisi yeryüzünde olsaydı, kâhin olamazdı. Çünkü Kutsal Yasa uyarınca sunuları sunanlar var.
3Kila Kuhani Mkuu ameteuliwa kumtolea Mungu vipawa na dhabihu, na hivyo Kuhani Mkuu wetu lazima pia awe na kitu cha kutolea.
5Bunlar göktekinin örneği ve gölgesi olan tapınakta hizmet ediyorlar. Nitekim Musa tapınma çadırını kurmak üzereyken Tanrı tarafından şöyle uyarıldı: ‹‹Her şeyi sana dağda gösterilen örneğe göre yapmaya dikkat et.››
4Kama yeye angekuwa wa hapa duninani, asingekuwa kamwe kuhani, kwani wako makuhani wengine wanaotoa sadaka kufuatana na Sheria.
6Şimdiyse, İsa daha iyi vaatler üzerine kurulmuş daha iyi bir antlaşmanın aracısı olduğu kadar, daha üstün bir göreve de sahip olmuştur.
5Huduma zao za kikuhani ni mfano tu na kivuli cha yale yaliyoko mbinguni. Ndivyo pia ilivyokuwa kwa Mose. Wakati alipokuwa karibu kuitengeneza ile hema, Mungu alimwambia: "Tengeneza kila kitu kufuatana na ule mfano ulioonyeshwa kule mlimani."
7Eğer o ilk antlaşma kusursuz olsaydı, ikincisine gerek duyulmazdı.
6Lakini sasa Yesu amepewa huduma ya kikuhani iliyo bora zaidi kuliko yao, kama vile agano alilothibitisha kati ya watu na Mungu ni bora zaidi, kwani lina msingi wake katika ahadi za mambo yaliyo bora zaidi.
8Oysa halkını kusurlu bulan Tanrı şöyle diyor: ‹‹ ‹İsrail halkıyla ve Yahuda halkıyla Yeni bir antlaşma yapacağım günler geliyor› Diyor Rab.
7Maana kama lile agano la kwanza halingalikuwa na dosari, hakungalikuwa na haja ya agano la pili.
9‹Atalarını Mısırdan çıkarmak için Ellerinden tuttuğum gün Onlarla yaptığım antlaşmaya benzemeyecek. Çünkü onlar antlaşmama bağlı kalmadılar, Ben de onlardan yüz çevirdim› Diyor Rab.
8Lakini Mungu aliwalaumu watu wake aliposema: "Siku zinakuja, asema Bwana, ambapo nitafanya agano jipya na watu wa Israeli na kabila la Yuda.
10‹O günlerden sonra İsrail halkıyla Yapacağım antlaşma şudur› diyor Rab, ‹Yasalarımı zihinlerine işleyeceğim, Yüreklerine yazacağım. Ben onların Tanrısı olacağım, Onlar da benim halkım olacak.
9Agano hili halitakuwa kama lile nililofanya na babu zao siku ile nilipowaongoza kwa mkono kutoka nchi ya Misri. Hawakuwa waaminifu kwa agano langu; na hivyo mimi sikuwajali, asema Bwana.
11Hiç kimse yurttaşını, kardeşini, Rabbi tanı diye eğitmeyecek. Çünkü küçük büyük hepsi tanıyacak beni.
10Na hili ndilo agano nitakalofanya na watu wa Israeli siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu akilini mwao, na kuziandika mioyoni mwao. Mimi nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
12Çünkü suçlarını bağışlayacağım, Günahlarını artık anmayacağım.› ››
11Hakuna mtu atakayemfundisha mwananchi mwenzake, wala atakayemwambia ndugu yake: Mjue Bwana. Maana watu wote, wadogo na wakubwa, watanijua mimi.
13Tanrı, ‹‹Yeni bir antlaşma›› demekle ilkini eskimiş saymıştır. Eskiyip köhneleşense çok geçmeden yok olur.
12Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao."
13Kwa kusema juu ya agano jipya, Mungu alilichakaza lile la kwanza; na chochote kinachochakaa na kuwa kikuukuu kitatoweka karibuni.