Turkish

Swahili: New Testament

Jude

1

1İsa Mesihin kulu, Yakupun kardeşi ben Yahudadan, Baba Tanrı tarafından sevilip İsa Mesih için korunmuş olan çağrılmışlara selam!
1Mimi Yuda, mtumishi wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na Mungu na ambao mnaishi katika upendo wa Mungu Baba, na katika ulinzi wa Yesu Kristo.
2Merhamet, esenlik ve sevgi artan ölçüde sizin olsun.
2Nawatakieni huruma, amani na upendo kwa wingi.
3Sevgili kardeşlerim, size ortak kurtuluşumuzla ilgili yazmaya çok gayret ettim. Bu arada sizi kutsallara ilk ve son kez emanet edilen iman uğrunda mücadeleye özendirmek için yazma gereğini duydum.
3Ndugu wapenzi, wakati nimo katika jitihada ya kuwaandikieni juu ya ule wokovu tunaoshiriki sote, nimeona lazima ya kuwaandikieni na kuwahimizeni mwendelee kupigana kwa ajili ya imani ambayo Mungu amewajalia watu wake mara moja tu kwa wakati wote.
4Çünkü Tanrımızın lütfunu sefahate araç eden, tek Efendimiz ve Rabbimiz İsa Mesihi yadsıyan bazı tanrısızlar gizlice aranıza sızdılar. Onların yargılanacakları çoktan beri yazılmıştır.
4Maana watu wasiomcha Mungu wamepata kujiingiza kwa siri miongoni mwetu, watu ambao, kwa faida ya maisha yao mabaya, wanaupotosha ujumbe wa neema ya Mungu wetu na kumkana Yesu Kristo aliye peke yake kiongozi na Bwana wetu. Maandiko Matakatifu yalikwisha bashiri tangu awali hukumu inayowangojea watu hao.
5Bütün bunları bildiğiniz halde, size anımsatmak isterim ki, ilk ve son kez halkı Mısırdan kurtaran Rab iman etmeyenleri daha sonra yok etti.
5Nataka kuwakumbusheni mambo fulani ambayo mmekwisha yajua: kumbukeni jinsi Bwana alivyowaokoa watu wa Israeli na kuwatoa katika nchi ya Misri, lakini baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.
6Yetkilerinin sınırı içinde kalmayıp kendilerine ayrılan yeri terk etmiş olan melekleri, büyük yargı günü için çözülmez bağlarla bağlayarak karanlığa hapsetti.
6Na, malaika ambao hawakuridhika na cheo chao, wakayaacha makao yao ya asili, Mungu amewafunga gizani kwa minyororo ya milele wahukumiwe Siku ile kuu.
7Sodom, Gomora ve çevrelerindeki kentler de benzer biçimde kendilerini fuhuş ve sapıklığa teslim ettiler. Sonsuza dek ateşte yanma cezasını çeken bu kentler ders alınacak birer örnektir.
7Kumbukeni pia Sodoma na Gomora, na miji ya kandokando yake; wenyeji wake walifanya kama wale malaika; walifanya uzinzi na mambo yaliyo kinyume cha maumbile, wakapewa hukumu ya moto wa milele, iwe onyo kwa watu wote.
8Aranıza sızan bu kişiler de onlar gibi gördükleri düşlere dayanarak öz bedenlerini kirletiyor, Rabbin yetkisini hiçe sayıyor, yüce varlıklara sövüyorlar.
8Hivyo ndivyo pia walivyo watu hawa. ndoto zao huwaongoza katika kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau mamlaka ya Mungu na kuvitukana viumbe vitukufu vya huko juu.
9Oysa Başmelek Mikail bile Musanın cesedi konusunda İblisle çekişip tartışırken, söverek onu yargılamaya kalkışmadı. Ancak, ‹‹Seni Rab azarlasın›› dedi.
9Hata Mikaeli, malaika mkuu, hakufanya hivyo. Katika ule ubishi kati yake na Ibilisi waliobishana juu ya mwili wa Mose, Mikaeli hakuthubutu kumhukumu Ibilisi kwa matusi; ila alisema: "Bwana mwenyewe na akukaripie."
10Ama bu kişiler anlamadıkları her şeye sövüyorlar. Öte yandan, akıldan yoksun hayvanlar gibi içgüdüleriyle anladıkları ne varsa, onları yıkıma götürüyor.
10Lakini watu hawa hutukana chochote wasichokielewa; mambo yaleyale wanayoyajua kwa silika kama vile wanyama wanayoyajua ndiyo yanayowaangamiza.
11Vay onların haline! Çünkü Kayinin yolundan gittiler. Kazanç için kendilerini Balamınkine benzer bir yanılgıya kaptırdılar. Korahınkine benzer bir isyanda mahvoldular.
11Ole wao! Watu hao wamefuata mwenendo uleule wa Kaini. Kwa ajili ya fedha, wamejiingiza katika mkosi uleule wa Baalamu. Wameasi kama Kora alivyoasi na wameangamizwa kama yeye alivyoangamizwa.
12Sevgi şölenlerinizde sizinle birlikte pervasızca yiyip içen bu kişiler birer kara lekedir. Yalnız kendilerini besleyen çobanlardır. Rüzgarın sürüklediği yağmursuz bulutlara, iki kez ölmüş, kökünden sökülmüş, sonbaharın meyvesiz ağaçlarına benzerler.
12Kwa makelele yao yasiyo na adabu, watu hao ni kama madoa machafu katika mikutano yenu ya karamu ya Bwana. Hujipendelea wao wenyewe tu, na wako kama mawingu yanayopeperushwa huko na huko na upepo bila ya kuleta mvua. Wao ni kama miti isiyozaa matunda hata wakati wa majira yake, wamekufa kabisa.
13Köpüğünü savuran denizin azgın dalgaları gibi ayıplarını çevreye savururlar. Serseri yıldızlar gibidirler. Onları sonsuza dek sürecek koyu karanlık bekliyor.
13Watu hao ni kama mawimbi makali ya bahari, na matendo yao ya aibu yanaonekana dhahiri kama vile mapovu ya mawimbi. Wao ni kama nyota zinazotangatanga, ambao Mungu amewawekea mahali pao milele katika giza kuu.
14Ademden sonraki altıncı kuşaktan olan Hanok, bu adamlara ilişkin şu peygamberlikte bulundu: ‹‹İşte Rab herkesi yargılamak üzere on binlerce kutsalıyla geliyor. Tanrı yoluna aykırı, tanrısızca yapılan bütün işlerden ve tanrısız günahkârların kendisine karşı söylediği bütün ağır sözlerden ötürü Rab, bütün insanlara suçluluklarını gösterecektir.››
14Henoki, ambaye ni babu wa saba tangu Adamu, alibashiri hivi juu ya watu hawa: "Sikilizeni! Bwana atakuja pamoja na maelfu ya malaika wake watakatifu
16Bunlar hep yakınıp söylenir, kendi tutkularının peşinden giderler. Ağızlarından kurumlu sözler çıkar, kendi çıkarları için başkalarını pohpohlarlar.
15kutoa hukumu juu ya binadamu wote, kuwahukumu wote kwa ajili ya matendo yao yote maovu waliyotenda na kwa ajili ya maneno yote mabaya ambayo watu waovu walimkashifu nayo."
17Ama siz, sevgili kardeşlerim, Rabbimiz İsa Mesihin elçileri tarafından önceden söylenen sözleri anımsayın.
16Watu hawa wananung'unika daima na kuwalaumu watu wengine. Hufuata tamaa zao mbaya, hujigamba na kuwasifu watu wengine mno kusudi wafaulu katika mipango yao.
18Size demişlerdi ki, ‹‹Dünyanın son günlerinde alay edenler, tanrısızlığa yönelip kendi tutkularına göre yaşayanlar olacaktır.››
17Lakini ninyi wapenzi wangu, kumbukeni yale mliyoambiwa hapo awali ni mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo.
19Bunlar bölücü, insan doğasıyla sınırlı, Kutsal Ruhtan yoksun kişilerdir.
18Waliwaambieni: "Siku za mwisho zitakapofika, watatokea watu watakaowadhihaki ninyi, watu wafuatao tamaa zao mbaya."
20Ama siz, sevgili kardeşlerim, kendinizi tümden kutsal olan imanınızın temeli üzerinde geliştirin. Kutsal Ruhun yönetiminde dua edin.
19Hao ndio watu wanaosababisha mafarakano, watu wanaotawaliwa na tamaa zao za kidunia, watu wasio na Roho wa Mungu.
21Rabbimiz İsa Mesihin sizi sonsuz yaşama kavuşturacak olan merhametini beklerken kendinizi Tanrının sevgisinde koruyun.
20Lakini ninyi, wapenzi wangu, endeleeni kujijenga kikamilifu katika imani yenu takatifu. Salini kwa nguvu ya Roho Mtakatifu,
22Kimi kararsızlara merhamet edin.
21na kubaki katika upendo wa Mungu, mkiwa mnamngojea Bwana wetu Yesu Kristo awapeni uzima wa milele kwa huruma yake.
23Kimini ateşten çekip kurtarın. Kimine de korkuyla merhamet edin. Ama günahlı bir bedenin lekelediği giysiden bile tiksinin.
22Muwe na huruma kwa watu walio na mashaka;
24Kurtarıcımız tek Tanrı, sizi düşmekten alıkoyacak, büyük sevinç içinde lekesiz olarak yüce huzuruna çıkaracak güçtedir. Yücelik, ululuk, güç ve yetki Rabbimiz İsa Mesih aracılığıyla bütün çağlardan önce, şimdi ve bütün çağlar boyunca Tanrı'nın olsun! Amin.
23waokoeni kwa kuwanyakua kutoka motoni; na kwa wengine muwe na huruma pamoja na hofu, lakini chukieni hata mavazi yao ambayo yamechafuliwa na tamaa zao mbaya.
24Kwake yeye awezaye kuwalinda msije mkaanguka, na kuwaleta ninyi bila hatia mpaka mbele ya utukufu wake,
25kwake yeye aliye peke yake Mungu, Mkombozi wetu, uwe utukufu, ukuu, nguvu na mamlaka kwa njia ya Kristo Bwana wetu, tangu zama zote, sasa na hata milele! Amina.