1Gökte büyük ve şaşılası başka bir belirti gördüm: Son yedi belayı taşıyan yedi melekti. Çünkü Tanrının öfkesi bu belalarla son buluyordu.
1Kisha nikaona ishara nyingine mbinguni, kubwa na ya kushangaza. Palikuwa hapo malaika saba wenye mabaa makubwa saba ya mwisho. Kwa mabaa hayo makubwa saba, ghadhabu ya Mungu imekamilishwa.
2Ateşle karışık camdan deniz gibi bir şey gördüm. Canavara, heykeline ve adını simgeleyen sayıya karşı zafer kazananlar, ellerinde Tanrının verdiği lirlerle cam denizin üzerinde durmuşlardı.
2Kisha nikaona kitu kama bahari ya kioo, imechanganywa na moto. Nikawaona pia wale watu waliomshinda yule mnyama na sanamu yake na ambaye jina lake lilitajwa kwa ile tarakimu. Watu hao walikuwa wamesimama kando ya hiyo bahari ya kioo, wakiwa na vinubi walivyopewa na Mungu.
3Tanrı kulu Musanın ve Kuzunun ezgisini söylüyorlardı: ‹‹Her Şeye Gücü Yeten Rab Tanrı, Senin işlerin büyük ve şaşılası işlerdir. Ey ulusların kralı, Senin yolların doğru ve adildir. Ya Rab, senden kim korkmaz, Adını kim yüceltmez? Çünkü kutsal olan yalnız sensin. Bütün uluslar gelip sana tapınacaklar. Çünkü adil işlerin açıkça görüldü.››
3Walikuwa wakiimba wimbo wa Mose, mtumishi wa Mungu, na wimbo wa Mwanakondoo: "Bwana Mungu Mwenye Uwezo, matendo yako ni makuu mno! Ewe Mfalme wa mataifa, njia zako ni za haki na za kweli!
5Bundan sonra gökteki tapınağın, yani Tanıklık Çadırının açıldığını gördüm.
4Bwana, ni nani asiyekucha wewe? Nani asiyelitukuza jina lako? Wewe peke yako ni Mtakatifu. Mataifa yote yatakujia na kukuabudu maana matendo yako ya haki yameonekana na wote."
6Yedi belayı taşıyan yedi melek temiz, parlak keten giysiler giymiş, göğüslerine altın kuşaklar sarınmış olarak tapınaktan çıktı.
5Baada ya hayo nikaona Hekalu limefunguliwa mbinguni, na ndani yake hema ionyeshayo kuwapo kwa Mungu.
7Dört yaratıktan biri yedi meleğe, sonsuzluklar boyunca yaşayan Tanrının öfkesiyle dolu yedi altın tas verdi.
6Basi, wale malaika saba wenye mabaa saba wakatoka humo Hekaluni, wakiwa wamevaa nguo za kitani safi zenye kung'aa, na kanda za dhahabu vifuani mwao.
8Tapınak Tanrı'nın yüceliğinden ve gücünden ötürü dumanla doldu. Yedi meleğin yedi belası sona erinceye dek kimse tapınağa giremedi.
7Kisha, mmojawapo wa vile viumbe vinne akawapa hao malaika saba mabakuli ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, aishiye milele na milele.
8Hekalu likajaa moshi uliosababishwa na utukufu na nguvu ya Mungu, na hakuna mtu aliyeweza kuingia Hekaluni mpaka mwisho wa mabaa makubwa saba ya wale malaika saba.