Turkish

Swahili: New Testament

Revelation

19

1Bundan sonra gökte büyük bir kalabalığın sesini andıran yüksek bir ses işittim. ‹‹Haleluya!›› diyorlardı. ‹‹Kurtarış, yücelik ve güç Tanrımıza özgüdür.
1Baada ya hayo nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati wa watu wengi mbinguni ikisema, "Haleluya! Ukombozi, utukufu na nguvu ni mali yake Mungu wetu!
2Çünkü Onun yargıları doğru ve adildir. Yeryüzünü fuhşuyla yozlaştıran Büyük fahişeyi yargılayıp Kendi kullarının kanının öcünü aldı.››
2Maana hukumu yake ni ya kweli na ya haki. Amemhukumu yule mzinzi mkuu ambaye alikuwa ameipotosha dunia kwa uzinzi wake. Amemwadhibu kwa sababu ya kumwaga damu ya watumishi wake!"
3İkinci kez, ‹‹Haleluya! Onun dumanı sonsuzlara dek tütecek›› dediler.
3Wakasema, "Asifiwe Mungu! Moshi wa moto unaoteketeza mji huo utapanda juu milele na milele!"
4Yirmi dört ihtiyarla dört yaratık yere kapanıp, ‹‹Amin! Haleluya!›› diyerek tahtta oturan Tanrıya tapındılar.
4Na wale wazee ishirini na wanne, na vile viumbe hai vinne, wakajitupa chini, wakamwabudu Mungu aliyeketi juu ya kiti cha enzi wakisema, "Amina! Asifiwe Mungu!"
5Sonra tahttan bir ses yükseldi: ‹‹Ey Tanrımızın bütün kulları! Küçük büyük, Ondan korkan hepiniz, Onu övün!››
5Kisha kukatokea sauti kwenye kiti cha enzi: "Msifuni Mungu enyi watumishi wake wote, nyote mnaomcha, wadogo kwa wakubwa."
6Ardından büyük bir kalabalığın, gürül gürül akan suların, güçlü gök gürlemelerinin sesine benzer sesler işittim. ‹‹Haleluya!›› diyorlardı. ‹‹Çünkü Her Şeye Gücü Yeten Rab Tanrımız Egemenlik sürüyor.
6Kisha nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa wa watu na sauti ya maji mengi na ya ngurumo kubwa, ikisema, "Haleluya! Maana Bwana Mungu wetu Mwenye Uwezo ni Mfalme!
7Sevinelim, coşalım! Onu yüceltelim! Çünkü Kuzunun düğünü başlıyor, Gelini hazırlandı.
7Tufurahi na kushangilia; tumtukuze, kwani wakati wa arusi ya Mwanakondoo umefika, na bibi arusi yuko tayari.
8Giymesi için ona temiz ve parlak İnce keten giysiler verildi.››
8Amepewa uwezo wa kujivalia nguo ya kitani safi, iliyotakata na yenye kung'aa!" (Nguo hiyo ya kitani safi ni matendo mema ya watu wa Mungu.)
9Sonra melek bana, ‹‹Yaz!›› dedi. ‹‹Ne mutlu Kuzunun düğün şölenine çağrılmış olanlara!›› Ardından ekledi: ‹‹Bunlar gerçek sözlerdir, Tanrının sözleridir.››
9Kisha malaika akaniambia, "Andika haya: Heri wale walioalikwa kwenye karamu ya arusi ya Mwanakondoo!" Tena akaniambia, "Hayo ni maneno ya kweli ya Mungu."
10Ona tapınmak üzere ayaklarına kapandım. Ama o, ‹‹Sakın yapma!›› dedi. ‹‹Ben de senin ve İsaya tanıklığını sürdüren kardeşlerin gibi bir Tanrı kuluyum. Tanrıya tap! Çünkü İsaya tanıklık, peygamberlik ruhunun özüdür.››
10Basi, mimi nikaanguka kifudifudi mbele ya miguu yake nikataka kumwabudu. Lakini yeye akaniambia, "Acha! Mimi ni mtumishi tu kama wewe na ndugu zako; sote tunauzingatia ukweli ule alioufunua Yesu. Mwabudu Mungu! Maana ukweli alioufunua Yesu ndio unaowaangazia manabii."
11Bundan sonra göğün açılmış olduğunu, beyaz bir atın orada durduğunu gördüm. Binicisinin adı Sadık ve Gerçektir. Adaletle yargılar, savaşır.
11Kisha nikaona mbingu zimefunguliwa; na huko alikuwako farasi mmoja mweupe, na mpanda farasi wake aliitwa "Mwaminifu" na "Kweli". Huyo huhukumu na kupigana kwa ajili ya haki.
12Gözleri alev alev yanan ateş gibidir. Başında çok sayıda taç var. Üzerinde kendisinden başka kimsenin bilmediği bir ad yazılıdır.
12Macho yake ni kama mwali wa moto, na alikuwa amevaa taji nyingi kichwani. Alikuwa ameandikwa jina ambalo hakuna mtu alijuaye isipokuwa tu yeye mwenyewe.
13Kana batırılmış bir kaftan giymişti. Tanrının Sözü adıyla anılır.
13Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni "Neno la Mungu."
14Beyaz, temiz, ince ketene bürünmüş olan gökteki ordular, beyaz atlara binmiş Onu izliyorlardı.
14Majeshi ya mbinguni yalimfuata yakiwa yamepanda farasi weupe na walikuwa wamevaa mavazi ya kitani, meupe na safi.
15Ağzından ulusları vuracak keskin bir kılıç uzanıyor. Onları demir çomakla güdecek. Her Şeye Gücü Yeten Tanrının ateşli gazabının şarabını üreten masarayı kendisi çiğneyecek.
15Upanga mkali hutoka kinywani mwake, na kwa upanga huo atawashinda mataifa. Yeye ndiye atakayetawala kwa fimbo ya chuma na kuikamua divai katika chombo cha kukamulia zabibu za ghadhabu kuu ya Mungu Mwenye Uwezo.
16Kaftanının ve kalçasının üzerinde şu ad yazılıydı: KRALLARIN KRALI VE RABLERİN RABBİ
16Juu ya vazi lake, na juu ya mguu wake, alikuwa ameandikwa jina: "Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana."
17Bundan sonra güneşte duran bir melek gördüm. Göğün ortasında uçan bütün kuşları yüksek sesle çağırdı: ‹‹Kralların, komutanların, güçlü adamların, atlarla binicilerinin, özgür köle, küçük büyük, hepsinin etini yemek için toplanın, Tanrının büyük şölenine gelin!››
17Kisha nikamwona malaika mmoja amesimama katika jua. Akapaaza sauti na kuwaambia ndege wote waliokuwa wanaruka juu angani, "Njoni! Kusanyikeni pamoja kwa karamu kuu ya Mungu.
19Sonra canavarı, dünya krallarını ve onların ordularını, ata binmiş Olanla Onun ordusuna karşı savaşmak üzere toplanmış gördüm.
18Njoni mkaitafune miili ya wafalme, ya majemadari, ya watu wenye nguvu, ya farasi na wapanda farasi wao; njoni mkaitafune miili ya watu wote: walio huru na watumwa, wadogo na wakubwa."
20Canavarla onun önünde doğaüstü belirtiler gerçekleştiren sahte peygamber yakalandı. Sahte peygamber, canavarın işaretini alıp heykeline tapanları bu belirtilerle saptırmıştı. Her ikisi de kükürtle yanan ateş gölüne diri diri atıldı.
19Kisha nikaona yule mnyama pamoja na mfalme wa dunia na askari wao wamekusanyika pamoja kusudi wapigane na yule aliyekuwa ameketi juu ya farasi, pamoja na jeshi lake.
21Geriye kalanlar, ata binmiş Olan'ın ağzından uzanan kılıçla öldürüldü. Bütün kuşlar bunların etiyle doydu.
20Lakini huyo mnyama akachukuliwa mateka, pamoja na nabii wa uongo aliyekuwa akifanya miujiza mbele yake. (Kwa miujiza hiyo, alikuwa amewapotosha wale waliokuwa na chapa ya huyo mnyama, na ambao walikuwa wameiabudu sanamu yake.) Huyo mnyama pamoja na huyo nabii walitupwa wote wawili, wakiwa wazimawazima, ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti.
21Majeshi yao yaliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa yule anayepanda farasi. Ndege wote wakajishibisha kwa nyama zao.