1Tanrının seçtiği kişilerin iman etmeleri, Tanrı yoluna uygun gerçeği anlamaları için Tanrının kulu ve İsa Mesihin elçisi atanan ben Pavlustan selam!
1Mimi Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Yesu Kristo naandika. Mimi nimechaguliwa kuijenga imani ya wateule wa Mungu na kuwaongoza waufahamu ukweli wa dini yetu,
2Elçiliğim, yalan söylemeyen Tanrının zamanın başlangıcından önce vaat ettiği sonsuz yaşam umuduna dayanmaktadır.
2ambayo msingi wake ni tumaini la kupata uzima wa milele. Mungu ambaye hasemi uongo, alituahidia uzima huo kabla ya mwanzo wa nyakati,
3Kurtarıcımız Tanrının buyruğuyla bana emanet edilen bildiride Tanrı, kendi sözünü uygun zamanda açıklamıştır.
3na wakati ufaao ulipowadia, akaudhihirisha katika ujumbe wake. Mimi nilikabidhiwa ujumbe huo nuutangaze kufuatana na amri ya Mungu, Mwokozi wetu.
4Ortak imanımıza göre öz oğlum olan Titusa Baba Tanrıdan ve Kurtarıcımız Mesih İsadan lütuf ve esenlik olsun.
4Ninakuandikia wewe Tito, mwanangu wa kweli katika imani tunayoshiriki. Nakutakia neema na amani kutoka kwa Mungu Baba, na kutoka kwa Kristo Yesu, Mkombozi wetu.
5Geri kalan işleri düzene sokman ve sana buyurduğum gibi her kentte ihtiyarlar ataman için seni Giritte bıraktım.
5Nilikuacha Krete ili urekebishe yale mambo ambayo hayakuwa yamekamilika bado, na kuwateua wazee wa kanisa katika kila mji. Kumbuka maagizo yangu:
6İhtiyar seçilecek kişi eleştirilecek yönü olmayan, tek karılı biri olsun. Çocukları imanlı olmalı, sefahatle suçlanan ya da asi çocuklar olmamalı.
6mzee wa kanisa anapaswa kuwa mtu asiye na hatia; aliye na mke mmoja tu, na watoto wake wanapaswa kuwa waumini, wasiojulikana kuwa wakorofi au wakaidi.
7Gözetmen, Tanrı evinin kâhyası olduğuna göre, eleştirilecek yönü olmamalı. Dikbaşlı, tez öfkelenen, şarap düşkünü, zorba, haksız kazanç peşinde koşan biri olmamalı.
7Maana kwa vile kiongozi wa kanisa ni mkurugenzi wa kazi ya Mungu, anapaswa kuwa mtu asiye na hatia. Asiwe mwenye majivuno, mwepesi wa hasira, mlevi, mkorofi au mchoyo.
8Tersine, konuksever, iyiliksever, sağduyulu, adil, pak, kendini denetleyebilen biri olmalı.
8Anapaswa kuwa mkarimu na anayependa mambo mema. Anapaswa kuwa mtu mtaratibu, mwadilifu, mtakatifu na mwenye nidhamu.
9Hem başkalarını sağlam öğretiyle yüreklendirmek, hem de karşı çıkanları ikna edebilmek için imanlılara öğretilen güvenilir söze sımsıkı sarılmalı.
9Ni lazima ashike kikamilifu ujumbe ule wa kuaminika kama unavyofundishwa. Ndivyo atakavyoweza kuwatia wengine moyo kwa mafundisho ya kweli na kuyafichua makosa ya wale wanaoyapinga mafundisho hayo.
10Çünkü asi, boşboğaz, aldatıcı birçok kişi vardır. Özellikle sünnet yanlıları bunlardandır.
10Maana, wako watu wengi, hasa wale walioongoka kutoka dini ya Kiyahudi, ambao ni wakaidi, wanaowapotosha wengine kwa upumbavu wao.
11Onların ağzını kapamak gerek. Haksız kazanç uğruna, öğretmemeleri gerekeni öğreterek bazı aileleri tümüyle yıkıyorlar.
11Lazima kukomesha maneno yao, kwani wanavuruga jumuiya nzima kwa kufundisha mambo ambayo hawapaswi kufundisha; wanafanya hivyo kwa nia mbaya ya kupata faida ya fedha.
12Kendilerinden biri, öz peygamberlerinden biri şöyle demiştir: ‹‹Giritliler hep yalancıdır, azgın canavarlar, tembel oburlardır.››
12Hata mmoja wa manabii wao, ambaye naye pia ni Mkrete, alisema: "Wakrete, husema uongo daima; ni kama wanyama wabaya, walafi na wavivu!"
13Bu tanıklık doğrudur. Bu nedenle, Yahudi masallarına, gerçeği reddedenlerin buyruklarına kulak vermeyip sağlam imana sahip olmaları için onları sert bir şekilde uyar.
13Naye alitoboa ukweli kwa sababu hiyo, unapaswa kuwakaripia vikali, ili wawe na imani kamilifu.
15Yüreği temiz olanlar için her şey temizdir, ama yüreği kirli olanlar ve imansızlar için hiçbir şey temiz değildir. Çünkü onların zihinleri de vicdanları da kirlenmiştir.
14Wasiendelee kushikilia hadithi tupu za Kiyahudi na maagizo ya kibinadamu yanayozuka kwa watu walioukataa ukweli.
16Tanrı'yı tanıdıklarını ileri sürer, ama yaptıklarıyla O'nu yadsırlar. Söz dinlemez, hiçbir iyi işe yaramaz iğrenç kişilerdir.
15Kila kitu ni safi kwa watu walio safi; lakini hakuna chochote kilicho safi kwa wale waliochafuliwa na wasioamini, maana dhamiri na akili zao zimechafuliwa.
16Watu kama hao hujidai kwamba wanamjua Mungu, lakini kwa matendo yao humkana. Ni watu wa kuchukiza mno na wakaidi, hawafai kwa jambo lolote jema.